PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Na wewe sasa unakuwa km hazikutoshi, uliyetuletea ameteuliwa ni wa nchi gani..Nchi gani hiyo
ππππ€£ aisee!!!Mpaka utakapopata jinsia ndo tutakukumbuka....
Hajafikisha 60 Bado... Au ame assadiwa???Ngewe arudi NIT akafundishe, no Way
Upo sahihi, nafsi zitangazwe, raia watume maombi na usaili ufanyike ili walio bora wapatikane.Hizi kazi watu wanapaswa kuziomba. Sio kututeulia watu tu. KATIBA ibadilike kwa kweli. Watu wenye sifa wanapaswa kuziomba interview zifanyike publicly mambo ya kuteuana yamepitwa na wakati
LATRA ndiyo nini jamani? Kuna ulaji? Maana CCM Ni ulaji not service to the peopleAsante kwa taarifa
Muwe wavumilivu,kila sehemu mmejaa nyie lakini akichomekwa mmoja tu kutoka kule kwa wenzenu mnaanza kulalamika!Toa dini ile weka yetu