Huu siyo Utanzania. Watanzania hatuko hivi. Wacha haya maneno.🙏🙏🙏Ni zamu ya waumini wa Kwamtoro, Mtambani na Manyema tu sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu siyo Utanzania. Watanzania hatuko hivi. Wacha haya maneno.🙏🙏🙏Ni zamu ya waumini wa Kwamtoro, Mtambani na Manyema tu sasa.
Sahihi vipi, huyu Ni scientist au mtu wa arts maana naona fedha fedha alikotokaMnaoangalia dini kumbukeni kwamba hii taasisi nyeti inahitaji vichwa hasa bila kujali dini ili kuokoa jahazi la taifa letu. Mimi namshukuru sana Rais kwa kumteua mtu sahihi kwa mustakhabali wa taifa letu.
NzuriWafia dini acheni upuuzi wenu..acheni watu wapige kazi kwa manufaa ya nchi yetu na maendeleo ya wanachi kwa ujumla.
#MaendeleoHayanaChama