S semtawa JF-Expert Member Joined Jul 25, 2012 Posts 1,129 Reaction score 1,175 Oct 20, 2022 #21 Lusungo said: Ni zamu ya waumini wa Kwamtoro, Mtambani na Manyema tu sasa. Click to expand... Huu siyo Utanzania. Watanzania hatuko hivi. Wacha haya maneno.πππ
Lusungo said: Ni zamu ya waumini wa Kwamtoro, Mtambani na Manyema tu sasa. Click to expand... Huu siyo Utanzania. Watanzania hatuko hivi. Wacha haya maneno.πππ
R Retired JF-Expert Member Joined Jul 22, 2016 Posts 44,629 Reaction score 83,056 Oct 20, 2022 #22 instagram said: Mnaoangalia dini kumbukeni kwamba hii taasisi nyeti inahitaji vichwa hasa bila kujali dini ili kuokoa jahazi la taifa letu. Mimi namshukuru sana Rais kwa kumteua mtu sahihi kwa mustakhabali wa taifa letu. Click to expand... Sahihi vipi, huyu Ni scientist au mtu wa arts maana naona fedha fedha alikotoka
instagram said: Mnaoangalia dini kumbukeni kwamba hii taasisi nyeti inahitaji vichwa hasa bila kujali dini ili kuokoa jahazi la taifa letu. Mimi namshukuru sana Rais kwa kumteua mtu sahihi kwa mustakhabali wa taifa letu. Click to expand... Sahihi vipi, huyu Ni scientist au mtu wa arts maana naona fedha fedha alikotoka
imhotep JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 55,997 Reaction score 88,219 Oct 20, 2022 #23 jiwe angavu said: Wafia dini acheni upuuzi wenu..acheni watu wapige kazi kwa manufaa ya nchi yetu na maendeleo ya wanachi kwa ujumla. #MaendeleoHayanaChama Click to expand... Nzuri
jiwe angavu said: Wafia dini acheni upuuzi wenu..acheni watu wapige kazi kwa manufaa ya nchi yetu na maendeleo ya wanachi kwa ujumla. #MaendeleoHayanaChama Click to expand... Nzuri