Eboo!!!Duh,mama ameona isiwe tabu amsogeze mkewe karibu
Huko aliko jino la mwisho kalionesha leoYule mzee wetu wa humu anayelialia
Anasemaje sasa,uwanja waooo huu
Ova
Ila we jamaa ni kisebengo,, [emoji851][emoji851],yaani una roho ya kutu,,Mwaka wa Waislamu huu, Ndugu yangu Jaffar Haniu kakosea wapi? Sitaki kuamini kakubali kirahisi hivyo kuacha yale mapochopocho mix kuku sambusa wa ikulu.
Mwezake Msigwa tangu afutwe kazi ikulu siku hizi kapauka kweli, Ikulu ikulu tu.
Huyu ni mzee sasa umri wakustaafu kwa hiyari ulishafika anaelekea umri wa kustaafu kwq lazimaPascal Mayala kama hakuteuliwa awamu iliyopita zama hizi ndio haiwezekani hata jina lake kupendekezwa kupelekwa mezani kwa Saa 100
Dini na asili yake Pascal ni kikwazo
Zama hizi ili upate teuzi kilaini inabidi uwe na sifa mojawapo kati ya hizi: (i) Mwislamu, (ii) Mzanzibari, & (iii) Unatokea ukanda wa Pwani
Ni Muislamu nilihoji tu kama Jaffar katenguliwa why nafasi hiyo asipewe sasa mkiristo safi mfano ndugu yangu Pascal Mayalla nafasi hiyo ingemfaa sana.
Mayala usimchukulie poa,,, ni mtu mkubwa sana huyo[emoji3]Pascal Mayalla anaendelea kupiga picha daraja la Tanzanite na kupost
Nimehoji tu kama katenguliwa muislamu why asipewe mkristo hiyo nafasi? Anarudishwa muislamu haya mambo huwa kuna ku alternate akifeli muislamu anawekwa mkiristo.
Hatuteuwi kwa kuangalia dini,, hata jpm alikataa kuteua watu kwa kutizama diniNi kweli inatakiwa tuache majungu, kikubwa tuusome mchezo vizuri ili likitokea gape tujazane kiasi cha kutosha.
Kuimba kwa kupokezana.
si kweli lugha anaijua sana kasoma HGL Ilboru secondary kule Ilboru hawapelekwi vilaza acha uongo.walikuwa na Ayubu Lyoba enzi hizooo.kipindi hicho walikuwa wanasoma watu cream hivyo usipotoshe watu humu umlaumu kwa jingine na si lugha ya kiingereza.
Yaani umpangie Rais msaidizi wake wa karibu?, Hata Rais wa US wanaojidai wana katiba nzuri, hapangiwi nani awe msaidizi wake ikuluNi Muislamu nilihoji tu kama Jaffar katenguliwa why nafasi hiyo asipewe sasa mkiristo safi mfano ndugu yangu Pascal Mayalla nafasi hiyo ingemfaa sana.
👎Hoja ya udini haipaswi kupewa nafasi.Mwaka wa Waislamu huu
Aisee,labda anataka ampe nafasi nyingine sehemu nyingine,au haiwezekani kisheriaJaffari mbona yeye ametenguliwa wakati Rais alisema yeye afukuzi anakurekebisha tuu? Jaffari yeye mbona katenguliwa jamani? Amekosea wapi kuliko wengine?
NdioKuna nafasi kubwa zaidi ya Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu ??
Ndivyo mnavyoamini kuwa kila anayekwenda Pale na yeye ni wao.Kumbe mama Zuhura naye ni Kipenyo 😊Anyway Kipele kimempata mkunaji …
Usikariri,ukiingia mjengoni unapewa training ya usalama na kufuatiliwa sana huku ukifanya kazi,hakuna ujinga unaweza kufanya wasijue,si ajabu jafar haniu kuna maadili ya kazi au ya kiusalama kayavunjaSio kweli...kwa hili hapana.
Usalama ni usiri mzito Sana,
Ila kuna kipindi hakuna kificho tena.
Huu muungano huu.Huu muungano huu.Wazanzibari mwaka wenu huu mshindwe nyie tu. Hongera sana VENUS NYOTA
Kuna kazi ni za kitumwa sanaaaa[emoji1787][emoji1787]Jamaa barua ya kufukuzwa kazi kajiandikia mwenyewe duh
Wewee mzilankende endelea kusubiri kwanzaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787],sasa ni zamu zanzibar kwanzaaaDuh! Usipime!
Kazi imepata mtu stahiki.
Hongera Zuhura Yunus!
P
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji2]dahhHajui kiingereza fasaha
Huwezi kuwa mkurugenzi wa mawasiliano ya Rais halafu lugha haipandi, Hatoshi tu
Ataenda kuwa RAS simiyu kunamtosha