Rais Samia amteua Zuhura Yunus kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Jaffar Haniu kupangiwa kazi nyingine

Nimesitikana sana kusikia Zuhura Yunus kaletwa ikulu sijui hata wanausalama wanaogopa kushauri
MTU aliitukana sana Tanzania Leo hangaya anamleta.
Inauma sana ndiyo maana watu wanajiunga misituni because mambo ya ajabu kama
@Moderator
 
Duh, yetu macho na masikio, mdomo kaa kimya usinene chochote, Zuhura kwao wapi vile?
 
Nimesitikana sana kusikia Zuhura Yunus kaletwa ikulu sijui hata wanausalama wanaogopa kushauri
MTU aliitukana sana Tanzania Leo hangaya anamleta.
Inauma sana ndiyo maana watu wanajiunga misituni because mambo ya ajabu kama
Huyu ndiye walewale waccm wasioisha kusema kuwa Chadema inafanya siasa za matusi na maandamano! Haohao hawaishi kusema Chadema ilikufa.
 
That man hana kitu chochote cha kusimamia uzi wake, ni watu wa majungu na roho zao mbaya.

If she qualified for the post acheni apewe.
 
Ila mimi sijahi kumsikia live akifanya hayo ila bbc haswa kipindi cha Mwendazake mara nyingi walikuwa wakiripoti habari hasi kuhusu Tz
Zilikuwa ni za uongo?
 
mchawi mpe mwanao amleleeee .... kanyaga twendeee
 
Hiyo ya watu kuingia msituni ndio habari . Hebu anza na hiyo😁
Na sijui watatumia pori gani maana mapori yote sisi tuna kazi nayo kwa ajili ya kilimo, uwindaji na utalii, makazi (wahadzabe), uchimbaji madini, ufugaji na uhifadhi (conservation).
 
Nimesitikana sana kusikia Zuhura Yunus kaletwa ikulu sijui hata wanausalama wanaogopa kushauri
MTU aliitukana sana Tanzania Leo hangaya anamleta.
Inauma sana ndiyo maana watu wanajiunga misituni because mambo ya ajabu kama
Nyie ndugu wa marehemu miyeyusho sana. Hebu tulieni kidogo.
Mlikua mnapenda kusifiwa tu, mtu akihoji kitu mnahisi mmetukanwa.
 
Wino umekoa kwelikweli.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Nimesitikana sana kusikia Zuhura Yunus kaletwa ikulu sijui hata wanausalama wanaogopa kushauri
MTU aliitukana sana Tanzania Leo hangaya anamleta.
Inauma sana ndiyo maana watu wanajiunga misituni because mambo ya ajabu kama
Alitukanaje?halafu nani kakumbia zuhura ni mzanzibar?

Sent from my VFD 600 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…