Rais Samia amteua Zuhura Yunus kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Jaffar Haniu kupangiwa kazi nyingine

Mwaka wa Waislamu huu, Ndugu yangu Jaffar Haniu kakosea wapi? Sitaki kuamini kakubali kirahisi hivyo kuacha yale mapochopocho mix kuku sambusa wa ikulu.

Mwezake Msigwa tangu afutwe kazi ikulu siku hizi kapauka kweli, Ikulu ikulu tu.
Haya sio Maneno ya kuongelewa na mstaarabu
 
Nyerere alikwishatwambia kuwa ubaguzi ni sawa na kula nyama ya mtu. Samia hakuanza. Walianza watu wengine. Lakini kwa vile ni sawa na kula nyama ya mtu, anaendeleza. Mwishoe tutaanza kupigia kura wagombea wa dini, makabila, kanda zetu, nk tukitegemea kuwa watatuteua kwa misingi hiyo hiyo baada ya kukalia hivyo viti. Hapo ndio tutasambaratika.
Mwaka wa Waislamu huu, Ndugu yangu Jaffar Haniu kakosea wapi? Sitaki kuamini kakubali kirahisi hivyo kuacha yale mapochopocho mix kuku sambusa wa ikulu.

Mwezake Msigwa tangu afutwe kazi ikulu siku hizi kapauka kweli, Ikulu ikulu tu.
 
Hapo roho inakuuma sana. Ndio uelewe sasa kusifia Sana sio kupata teuzi, zuhura hakua mtu wa kusifia na kuabudu lakini kateuliwa.
Daah unapiga ikulu mzee twende taratibu
 
Mwaka wa Waislamu huu, Ndugu yangu Jaffar Haniu kakosea wapi? Sitaki kuamini kakubali kirahisi hivyo kuacha yale mapochopocho mix kuku sambusa wa ikulu.

Mwezake Msigwa tangu afutwe kazi ikulu siku hizi kapauka kweli, Ikulu ikulu tu.
Miaka hii ya waislamu na wazanzibari

Wagalatia wafa
 
Mwaka wa Waislamu huu, Ndugu yangu Jaffar Haniu kakosea wapi? Sitaki kuamini kakubali kirahisi hivyo kuacha yale mapochopocho mix kuku sambusa wa ikulu.

Mwezake Msigwa tangu afutwe kazi ikulu siku hizi kapauka kweli, Ikulu ikulu tu.
Kwani Haniu alikuwa anasali kanisa gani mkuu???
 
Kwani Haniu alikuwa anasali kanisa gani mkuu???
Hujaelewa nilichomaanisha kwenye hiyo post hapo juu mkuu, kama Jaffar kafutwa kazi kwanini nafasi hiyo isijazwe na mkiristo.

Maana 95% ya watendaji pale ikulu wote ni waislamu kwanini isiwe 50% kwa 50%
 
Mtakufa midomo wazi kwa ajili ya chuki na kushindwa kuvumilia.Kumbe WAKIRISITO ni wepesi kiasi hiki.[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
In short, wewe unajua kuwa dunia imeshikiliwa na hao uliowaita "wepesi"
 
Nchi yetu imeharibika sana. Hakuiharibu Samia. Samia anaendeleza tu sera za CCM. Aliyeanzisha ni yule alikuwa anateua Wasukuma wenzie na kupeleka miradi ya kimkakati ya kitaifa kijijini kwake. Huo ndio ukweli. Wala haihitaji Waislam na Wakristo kugombana.
Mtakufa midomo wazi kwa ajili ya chuki na kushindwa kuvumilia.Kumbe WAKIRISITO ni wepesi kiasi hiki.[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
 
Kazi sio za kuteuliwa tuu wala hizo nafasi hazitoshi hata nusu ya theluthi ya watanzania
Wakati hawa wachache wanateuliwa sisi wengi tufanye vitu vingine vikubwa zaidi kwa maslahi yetu, taifa na vizazi vyetu

Wakumbushe walipokuwa wakiteuliwa wao sisi tuliamua kufanya biashara ,mziki,mpira na vitu vingine na walisema kwa sababu hatujasoma sasa mbona upande wa pili vilio vimeanza asubuhi mapema?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…