Ummy Shahuluru
Member
- Aug 30, 2018
- 89
- 88
Watu wanalalamikia vitu ambavyo hawawezi kubadili wala kuvipata
Wakati walipokua wanalalamika oooh wachaga hawapewi nafasi wametengwa, wachaga wenyewe walikua busy kuongeza nafasi ya kutanua wigo wao kwenye kazi zao binafsi
Siyo kweli. Alisema mzazi wake mmoja ni kutoka Bara na mwingine kutoka Zanzibar.Kipindi Cha salama na, yeye zuhurua alisema ni mzanzibari
Huo ndio ukweli,hata magufuli aliwabeba wagalatia,huyu nae anawabeba maushungi wenzie,hata mi ningefanya hivy
Mkuu nilijua utapewa wewe, nashauri ubadili jina uondoe Mayalla uweke Mahela uitwe Paschal MahelaDuh! Usipime!
Kazi imepata mtu stahiki.
Hongera Zuhura Yunus!
P
Muislamu + mzanzibar=✓✓✓✓✓Hakuna ukweli wowote hapa, kinachofanya kazi sio ushungi wake ni utendaji wake..alikuwa BBC watazamaji na wasikilizaji wa BBC wameona utendaji wake, Rais kalidhishwa nao na kamteuwa..wakati wa Magufuli wateule wake kilichokuwa kinafanya kazi sio dini yao ni ujuzi wao....tukiendelea kutizama haya mambo kwa jicho hili la udini basi hawa watendaji hawatapimwa kwa ujuzi wao bali dini zao...akikosea akatenguliwa mtasema ametenguliwa kwa sababu sio Muislam! ifike mahali tufikiri kwa vichwa vyetu
Mbona nilimwona Pascal ananyanyuka bench na kuanza kupiga jalamba, imekuaje!?Na hii umeikosa Bwana Pascal
Wonders shall never end
Siamini Kinachotokea hapa uwanjani, Pascal Mayalla anawekwa benchi tena
Saa 100 amtengue mwislamu halafu aweke mkristo thubutuuNi Muislamu nilihoji tu kama Jaffar katenguliwa why nafasi hiyo asipewe sasa mkiristo safi mfano ndugu yangu Pascal Mayalla nafasi hiyo ingemfaa sana.
Aitwe Pascal Mohamed,kutoka mji wa magharibi Pemba!Mkuu nilijua utapewa wewe, nashauri ubadili jina uondoe Mayalla uweke Mahela uitwe Paschal Mahela
Alivyokuwa rais magufuli ilikuwa 50/50? si mnasema waislamu hawajasoma sasa mama anawapata wapi?Hujaelewa nilichomaanisha kwenye hiyo post hapo juu mkuu, kama Jaffar kafutwa kazi kwanini nafasi hiyo isijazwe na mkiristo.
Maana 95% ya watendaji pale ikulu wote ni waislamu kwanini isiwe 50% kwa 50%
Acha ujinga basi mkuu, zuhura mama yake ni mzanzibari na baba yake ni mpare sasa hapo yeye atakuwa kabila gani?Zuhura Yunus ni Mzanzibar halisi kabisa, baba yake alikuwa mwanajeshi kutokea unguja.
Kwa wanaosema Zuhura ni mbara, wakatafute interview yake na Salama kwanzia dk ya 25 utamsikia mwenyewe akizungumzia kwao Unguja
Hongera sasa atumie uleule weledi alokua nao BBC akilegea aka akavaa shati la kijani atapoteza heshima yake .
Muwe na uvumilivu japo kidogo ndugu zetu,kwanini mnawafanya waislamu ni kama raia daraja la pili na hivyo hawastahili kupata nafasi yoyote ya juu katika utumishi wa umma au hata wa kisiasa katika nchi hii?Mwaka wa Waislamu huu, Ndugu yangu Jaffar Haniu kakosea wapi? Sitaki kuamini kakubali kirahisi hivyo kuacha yale mapochopocho mix kuku sambusa wa ikulu.
Mwezake Msigwa tangu afutwe kazi ikulu siku hizi kapauka kweli, Ikulu ikulu tu.
Hongera kwake; Salim Kikeke aliipania sana hiyo nafasi kaachwa kaachwa!Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu amemteua aliyekuwa mtangazaji wa BBC, Zuhura Yunus kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais-Ikulu akimrithi Jaffar Haniu. Mwezi uliopita Zuhura aliaga BBC na hakusema anapoelekea.
Haniu aliyerithi kijiti kutoka kwa Gerson Msigwa Juni mwaka jana atapangiwa kazi nyingine akihudumu kwenye ofisi hiyo kwa miezi saba.
Wanawake oyeee, mpaka maji yaitwe mma.. Tunasubiri matokeo kutoka Dodoma japo tunayajua
======
Zuhura Yunus ni mwanamke wa kwanza kutangaza kipindi cha Kiswahili cha televisheni BBC, Dira ya Dunia akihudumu kwenye shirika hilo kwa miaka 14. Zuhura alijiunga na BBC Swahili mwaka 2008 akiwa mtangazaji na mtayarishaji wa matangazo. Alijulikana kwa wasikilizaji wa BBC Swahili kuwa mtangazaji kinara wa matangazao ya redio, Dira ya Dunia, Zuhura ameripoti na kutangaza uchaguzi wa Tanzania mwaka 2010.
Kabla ya kujiunga na BBC, Zuhura alifanya kazi ya utangazaji katika vipindi mbalimbali vya redio ya Times FM na Uhuru FM nchini Tanzania. Mwaka 2002 Zuhura alishinda tuzo ya Habari ya Ishi nchini Tanzania kutokana na ripoti ya HIV/Aids. Pia amefanya kazi ya uandishi wa habari katika gazeti la The Citizen newspaper.
Mwaka jana Zuhura aliandika kitabu chake cha wasifu wa Biubwa Amour Zahor, mwanaharakati mwanamke wa kisiasa wakati wa mapinduzi ya Zanzibar mwaka 1964.
Zuhura katika utumishi wake amewahoji viongozi wa Afrika kama vile Rais wa zamani wa Tanzania, Jakaya Kikwete kama sehemu ya taarifa kuhusu biashara haramu ya wanyama pori pamoja na Rais wa Uganda Yoweri Museveni. Mahojiano aliyoyafanya na mgombea urais wa upinzani, Edward Lowassa mwaka 2015 yalizua gumzo katika vyombo vya habari nchini.
Zuhura ni muhitimu wa shahada ya kwanza katika Chuo Kikuu cha Mbale IUIU, Uganda na ana shahada ya Uzamili ya Mawasiliano ya Vyombo vya Habari kutoka Chuo Kikuu cha Leicester, Uingereza.
We kubali udini upo na ukanda upo,awamu ya tano tuliyaona hayo,hii awamu ya sita dalili pia zinaonyesha the sameHakuna ukweli wowote hapa, kinachofanya kazi sio ushungi wake ni utendaji wake..alikuwa BBC watazamaji na wasikilizaji wa BBC wameona utendaji wake, Rais kalidhishwa nao na kamteuwa..wakati wa Magufuli wateule wake kilichokuwa kinafanya kazi sio dini yao ni ujuzi wao....tukiendelea kutizama haya mambo kwa jicho hili la udini basi hawa watendaji hawatapimwa kwa ujuzi wao bali dini zao...akikosea akatenguliwa mtasema ametenguliwa kwa sababu sio Muislam! ifike mahali tufikiri kwa vichwa vyetu
Duh! Usipime!
Kazi imepata mtu stahiki.
Hongera Zuhura Yunus!
P
Sasa tuna subiri Cdf na IGP. Mama sasa kaamua kuwakeraRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu amemteua aliyekuwa mtangazaji wa BBC, Zuhura Yunus kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais-Ikulu akimrithi Jaffar Haniu. Mwezi uliopita Zuhura aliaga BBC na hakusema anapoelekea.
Haniu aliyerithi kijiti kutoka kwa Gerson Msigwa Juni mwaka jana atapangiwa kazi nyingine akihudumu kwenye ofisi hiyo kwa miezi saba.
Wanawake oyeee, mpaka maji yaitwe mma.. Tunasubiri matokeo kutoka Dodoma japo tunayajua
======
Zuhura Yunus ni mwanamke wa kwanza kutangaza kipindi cha Kiswahili cha televisheni BBC, Dira ya Dunia akihudumu kwenye shirika hilo kwa miaka 14. Zuhura alijiunga na BBC Swahili mwaka 2008 akiwa mtangazaji na mtayarishaji wa matangazo. Alijulikana kwa wasikilizaji wa BBC Swahili kuwa mtangazaji kinara wa matangazao ya redio, Dira ya Dunia, Zuhura ameripoti na kutangaza uchaguzi wa Tanzania mwaka 2010.
Kabla ya kujiunga na BBC, Zuhura alifanya kazi ya utangazaji katika vipindi mbalimbali vya redio ya Times FM na Uhuru FM nchini Tanzania. Mwaka 2002 Zuhura alishinda tuzo ya Habari ya Ishi nchini Tanzania kutokana na ripoti ya HIV/Aids. Pia amefanya kazi ya uandishi wa habari katika gazeti la The Citizen newspaper.
Mwaka jana Zuhura aliandika kitabu chake cha wasifu wa Biubwa Amour Zahor, mwanaharakati mwanamke wa kisiasa wakati wa mapinduzi ya Zanzibar mwaka 1964.
Zuhura katika utumishi wake amewahoji viongozi wa Afrika kama vile Rais wa zamani wa Tanzania, Jakaya Kikwete kama sehemu ya taarifa kuhusu biashara haramu ya wanyama pori pamoja na Rais wa Uganda Yoweri Museveni. Mahojiano aliyoyafanya na mgombea urais wa upinzani, Edward Lowassa mwaka 2015 yalizua gumzo katika vyombo vya habari nchini.
Zuhura ni muhitimu wa shahada ya kwanza katika Chuo Kikuu cha Mbale IUIU, Uganda na ana shahada ya Uzamili ya Mawasiliano ya Vyombo vya Habari kutoka Chuo Kikuu cha Leicester, Uingereza.
Ushungi oyee! Hadi 2025 huko juu ushungi tuu kama taleban.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu amemteua aliyekuwa mtangazaji wa BBC, Zuhura Yunus kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais-Ikulu akimrithi Jaffar Haniu. Mwezi uliopita Zuhura aliaga BBC na hakusema anapoelekea.
Haniu aliyerithi kijiti kutoka kwa Gerson Msigwa Juni mwaka jana atapangiwa kazi nyingine akihudumu kwenye ofisi hiyo kwa miezi saba.
Wanawake oyeee, mpaka maji yaitwe mma.. Tunasubiri matokeo kutoka Dodoma japo tunayajua
======
Zuhura Yunus ni mwanamke wa kwanza kutangaza kipindi cha Kiswahili cha televisheni BBC, Dira ya Dunia akihudumu kwenye shirika hilo kwa miaka 14. Zuhura alijiunga na BBC Swahili mwaka 2008 akiwa mtangazaji na mtayarishaji wa matangazo. Alijulikana kwa wasikilizaji wa BBC Swahili kuwa mtangazaji kinara wa matangazao ya redio, Dira ya Dunia, Zuhura ameripoti na kutangaza uchaguzi wa Tanzania mwaka 2010.
Kabla ya kujiunga na BBC, Zuhura alifanya kazi ya utangazaji katika vipindi mbalimbali vya redio ya Times FM na Uhuru FM nchini Tanzania. Mwaka 2002 Zuhura alishinda tuzo ya Habari ya Ishi nchini Tanzania kutokana na ripoti ya HIV/Aids. Pia amefanya kazi ya uandishi wa habari katika gazeti la The Citizen newspaper.
Mwaka jana Zuhura aliandika kitabu chake cha wasifu wa Biubwa Amour Zahor, mwanaharakati mwanamke wa kisiasa wakati wa mapinduzi ya Zanzibar mwaka 1964.
Zuhura katika utumishi wake amewahoji viongozi wa Afrika kama vile Rais wa zamani wa Tanzania, Jakaya Kikwete kama sehemu ya taarifa kuhusu biashara haramu ya wanyama pori pamoja na Rais wa Uganda Yoweri Museveni. Mahojiano aliyoyafanya na mgombea urais wa upinzani, Edward Lowassa mwaka 2015 yalizua gumzo katika vyombo vya habari nchini.
Zuhura ni muhitimu wa shahada ya kwanza katika Chuo Kikuu cha Mbale IUIU, Uganda na ana shahada ya Uzamili ya Mawasiliano ya Vyombo vya Habari kutoka Chuo Kikuu cha Leicester, Uingereza.