Rais Samia amvaa Ndugai. Asema, "Huwezi kuamini mtu mzima ana-argue tozo na mkopo wa Trilioni 1.3"

Pamoja na matatizo ya ndugai lakini je ni kweli huu mikopo ina afya kwa taifa kweli?
 
Ndugai muhuni. Hakukiri kosa na kusema eti watu walimdukua. Sasa mama kaushtukia huo uhuni akaamua ampe za uso.
 
Hajiuzulu trust me
 
Najua kauli ya Rais ni amri hebu tusubiri tuone how long atakuwa kwenye hicho kiti

Rais akipita mahali akasema hayo majani yamekuwa sana
Maana yake majani yafyekwe
 
Hawezi sasa, wameshamuwahi

Na kwa afya yake ile mbovu usisikie presha ilishuka akavuta

Kwa ufupi Ndugai is a looser in this fraca through and through
 
Ndugai aliamua kujivua nguo mwenyewe kwa kuomba msamaha, wamemvalisha wameamua wamvue wenyewe
 
Jmn si mlisema hoja inajibiwa na hoja
Mama kajibu hamtaki ama?
 
Kuna limama limoja pale lilikuwa limevaa nguo ya damu ya mzee wakat anahutubia, yule mama sijui ni nan! Yan ana kimuhe muhe...anasimama anashangilia, anaruka ruka.
Wale ndo wanafiki ogiii wale
 
Badala ya kufanya kazi ashinde imani ya watanzania kuonyesha hiyo kazi anaiweza yeye anawaza kuendelea na uraisi post 2025 na mikwara kwa wanaofikiria kum challenge.

Toka aanze kazi speech aliyotoa akaonekana kama commander in chief ni moja tu ile December 27, tone aliyotumia ilikuwa na authority na message was clear.

Leo karudi kwenye mipasho na anaongea na tone utadhani yupo kwenye sherehe sijui ya taasisi gani; not a person addressing the nation.

Watanzania ndio tutaamua kama anatufaa 2025 sio kutulazimisha lazima aendelee.
 

Mama hana muda na msamaha wa kinafiki. Huyo Ndugai alitumiwa sana na Magufuli kudhalilisha watu wasiomsujudia, na kupitisha sheria nyingi kandamizi, sasa ngoja aonyeshwe kuwa cheo ni dhamana na sio sehemu ya kudhalilishia wengine.
 
Kimsingi Job ana hoja sema kwakuwa amekuwa anafanya dhulma huko nyuma ndo maana haungwi mkono.Kingine Job kama kiongozi wa muhimili angejisamia rais angenyooka,yeye alijitia kwapani Mwa rais halafu akatusaliti.Chief Hangaya atoe majibu.
 
Sasa labda na hio return on investment its about time to rethink our strategy...., Huyu Mama Kuendelea kushikia Bango hii issue inamfanya kuonekana petty..... Ingawa sio mbaya kujibu hoja (ila hoja hujibiwa kwa hoja na sio vioja)
Haishangazi kabisa hiyo, ni kawaida ya wanawake wanapenda sana ligi ya maneno
 
Mtu mzima ambae hapaswi kuaminiwa ni Rais wa nchi ambae hataki mihimili mingine kuwa huru na ifanye kazi yake.Shame!
Your browser is not able to display this video.
 
Mama ana shida! Ndio Ndugai ni tatizo kubwa sana lakini mama anazidi kufanya tujue zile harufu za chakula pengine pua zetu zimetuingiza chaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…