Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
La kwako kubwa mno!Nimependa kwenye Nyanengh'we, Yaani ni Kisukuma fasaha cha ukweli kabisa!
Na mimi naongezea, Shindo jing'we bhana mveng'we..
Tusubiri kuona hiyo tarehe 29 Njaanuary!Inaelekea Samia hajakubali kabisa msamaha alioomba Ndugai kwa kutumia kitubio cha kanisani Anglican!
Watu wengi hawapendi kujisomea ndio tatizo kubwa la nchi yetu eti mtu anakuja na thread kama hii seriously?hao wabunge wakose Milioni zao kisa Spika?Ndio hapo tunaona umuhimu wa Katiba mpya. Kwa katiba tuliyonayo Ndugai hana ubavu anyamaze tuu asubiri astaafu ale kiinua mgongo chake. Rais wa Tanzania ni mungu mtu.
Sasa homa ikizidi ya kurudi India biioni 2 zitatoka kweli.Kwa hotuba ya leo ya Samia kama Ndugai asipojiuzulu basi hana akili timamu na anatumikia tumbo lake tu. Samia amesema wazi kuwa kilichomsukuma Ndugai kupinga mikopo ni Uchaguzi Mkuu wa 2025. Aidha amesema wale wote wanasioweza kwenda pamoja na yeye katika kuwaletea wananchi maendeleo atawaondoa katika serikali ya ili wapate muda wa kutosha kujiandaa na uchaguzi wa 2025!
Mama nae ni mwanamke!Na anadhihirisha yupo tayari kufanya lolote kwa ajili ya 2025
Ila pia nimeona mama sio mvumilivu. Alishamjibu Ndugai siku ile, angeachana nae tu
Hahahahaaaa!! Lakini ni maneno tu, hayavunji mfupa.La kwako kubwa mno!
Wala alisema akiwa bungeni, aliwaambia wabungeWapinzani
Sawa mkuuHahahahaaaa!! Lakini ni maneno tu, hayavunji mfupa.
Hiyo morning prayer aliyoandaa Ndugai inaweza yeyuka kama theluji juani!Tusubiri kuona hiyo tarehe 29 Njaanuary!
Kama namuona Mzee Mdee na mademu wake wanavyo haha nguzo yao imeanza kuliwa na mchwa
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Alipata kuyasema haya Nelson Mandela miaka mitano iliyopita na nanukuu "For anybody who changes his principles, depending on whom he is dealing, that is not a man who can lead a Nation". I concur with you that the guy is a coward.Naungana na wewe ; kafanya kosa kubwa snaa kuomba msamaha. Alitakiwa akae kimya asi comment chochote .
Angeonekana mwanaume zaidi . Kuomba msamaha means he is dumb na Hana stand, damn it.
Mwanaume kujiamini na ametoa mawazo yake huru ambayo yalikuwa ni mazuri Tu; hii Mikopo ni ya kipuuzi maana asilimia kubwa ya hii mikopo huliwa kifisadi na Hiyo ni report ya SHIRIKA LA FEDHA LA DUNIA.
Sasa yeye angebaki hapo hapo ; kuwa kama tumekopa , tozo ishushwe zaidi .
Samia Mwenyewe na kundi lake ni fisadi tu na ni Upenyo wa rushwa, unamuomba Samahani ya Nini , kwani yeye nani , atatoka kwenye kiti kama walivyotoka wengine , I can’t pleading for my thoughts and stand , ni upumbavu
Kuweka tozo ni failure ya mama , mbona tuliishi na Ngosha bila tozo
Job sio mwanaume yule , coward , mwanaume misimamo kwa unachoamini , na mwanaume hueshimika kwa misimamo yake. Ndio maana JPM ni rais bora wa maisha.
TISS wamemshauri kuomba msamaha na yeye kaomba kweli , leo mama kamtia kidole cha nyuma na msamaha wake. Haya ndio madhara ya kukosa stand. Mwanaume kujiamini hata ukibaki alone kwenye mawazo yako, poa tu ; ipo siku some people will understand you !
Maana mm najiuliza kaomba msamaha kwa kosa gani? Africa bwana
Yaani ukitoa mawazo yako kinzani, ni kosa Dah
Pole ndungai, kumbe we lofa tu
Nimekudharau sana
Ndugai saa hizi ni kilio na kusaga meno!Sasa homa ikizidi ya kurudi India biioni 2 zitatoka kweli.
Ila SSH katoa kali ya mwaka leo.
Wa kumkosoa ni Ndugai ambaye hakujua kina cha maji kipo vipi. Alitegemea kumkwaza Rais matokeo yake imekula kwake mazima.Kaongea Utopolo hadi aibu tuna head of state infant kwa hali hii ni hatari sana, anapelekeshwa ataweza siasa n.a. mihadhara Huyu? CCM tutaumbuka
Nyie mlioko nyuma ya keyboard ndyo mnampoteza ndugaiHii vita spika akiamua kupambana atashinda isitoshe huyu maza hakubaliki popote walio wengi washaona ni mweupe na anatuuza.
Kuliko kufanya kazi na mtu asiye maono, ni bora ubwage manyanga tu.Huyo hangaya amalizie muda wake atoke.Kwa hotuba ya leo ya Samia kama Ndugai asipojiuzulu basi hana akili timamu na anatumikia tumbo lake tu. Samia amesema wazi kuwa kilichomsukuma Ndugai kupinga mikopo ni Uchaguzi Mkuu wa 2025. Aidha amesema wale wote wanasioweza kwenda pamoja na yeye katika kuwaletea wananchi maendeleo atawaondoa katika serikali ya ili wapate muda wa kutosha kujiandaa na uchaguzi wa 2025!
Hata akipasuka hakuna wa kumtetea labda sukuma gang wenzake maana wamemfanya chambo.Saa hizi Ndugai atakuwa amejifungia chumbani akiugulia moyoni!
Shida ni Katiba, inatoa haki na mamlaka kwa muhimili kwa upande mmoja kisha ina nyang'anya kwa upande mwengine. It is alreay out of hand kwa Ndugai hasa baada ya hotuba ya leo ya mama. Hana mamna zaidi ya kunyamaza.Watu wengi hawapendi kujisomea ndio tatizo kubwa la nchi yetu eti mtu anakuja na thread kama hii seriously?hao wabunge wakose Milioni zao kisa Spika?