Rais Samia amvaa Ndugai. Asema, "Huwezi kuamini mtu mzima ana-argue tozo na mkopo wa Trilioni 1.3"

Rais Samia amvaa Ndugai. Asema, "Huwezi kuamini mtu mzima ana-argue tozo na mkopo wa Trilioni 1.3"

Ndio hapo tunaona umuhimu wa Katiba mpya. Kwa katiba tuliyonayo Ndugai hana ubavu anyamaze tuu asubiri astaafu ale kiinua mgongo chake. Rais wa Tanzania ni mungu mtu.
Watu wengi hawapendi kujisomea ndio tatizo kubwa la nchi yetu eti mtu anakuja na thread kama hii seriously?hao wabunge wakose Milioni zao kisa Spika?
 
Kwa hotuba ya leo ya Samia kama Ndugai asipojiuzulu basi hana akili timamu na anatumikia tumbo lake tu. Samia amesema wazi kuwa kilichomsukuma Ndugai kupinga mikopo ni Uchaguzi Mkuu wa 2025. Aidha amesema wale wote wanasioweza kwenda pamoja na yeye katika kuwaletea wananchi maendeleo atawaondoa katika serikali ya ili wapate muda wa kutosha kujiandaa na uchaguzi wa 2025!
Sasa homa ikizidi ya kurudi India biioni 2 zitatoka kweli.
Ila SSH katoa kali ya mwaka leo.
 
Naungana na wewe ; kafanya kosa kubwa snaa kuomba msamaha. Alitakiwa akae kimya asi comment chochote .

Angeonekana mwanaume zaidi . Kuomba msamaha means he is dumb na Hana stand, damn it.

Mwanaume kujiamini na ametoa mawazo yake huru ambayo yalikuwa ni mazuri Tu; hii Mikopo ni ya kipuuzi maana asilimia kubwa ya hii mikopo huliwa kifisadi na Hiyo ni report ya SHIRIKA LA FEDHA LA DUNIA.

Sasa yeye angebaki hapo hapo ; kuwa kama tumekopa , tozo ishushwe zaidi .

Samia Mwenyewe na kundi lake ni fisadi tu na ni Upenyo wa rushwa, unamuomba Samahani ya Nini , kwani yeye nani , atatoka kwenye kiti kama walivyotoka wengine , I can’t pleading for my thoughts and stand , ni upumbavu

Kuweka tozo ni failure ya mama , mbona tuliishi na Ngosha bila tozo

Job sio mwanaume yule , coward , mwanaume misimamo kwa unachoamini , na mwanaume hueshimika kwa misimamo yake. Ndio maana JPM ni rais bora wa maisha.

TISS wamemshauri kuomba msamaha na yeye kaomba kweli , leo mama kamtia kidole cha nyuma na msamaha wake. Haya ndio madhara ya kukosa stand. Mwanaume kujiamini hata ukibaki alone kwenye mawazo yako, poa tu ; ipo siku some people will understand you !

Maana mm najiuliza kaomba msamaha kwa kosa gani? Africa bwana

Yaani ukitoa mawazo yako kinzani, ni kosa Dah

Pole ndungai, kumbe we lofa tu
Nimekudharau sana
Alipata kuyasema haya Nelson Mandela miaka mitano iliyopita na nanukuu "For anybody who changes his principles, depending on whom he is dealing, that is not a man who can lead a Nation". I concur with you that the guy is a coward.
 
Kwa hotuba ya leo ya Samia kama Ndugai asipojiuzulu basi hana akili timamu na anatumikia tumbo lake tu. Samia amesema wazi kuwa kilichomsukuma Ndugai kupinga mikopo ni Uchaguzi Mkuu wa 2025. Aidha amesema wale wote wanasioweza kwenda pamoja na yeye katika kuwaletea wananchi maendeleo atawaondoa katika serikali ya ili wapate muda wa kutosha kujiandaa na uchaguzi wa 2025!
Kuliko kufanya kazi na mtu asiye maono, ni bora ubwage manyanga tu.Huyo hangaya amalizie muda wake atoke.
 
Watu wengi hawapendi kujisomea ndio tatizo kubwa la nchi yetu eti mtu anakuja na thread kama hii seriously?hao wabunge wakose Milioni zao kisa Spika?
Shida ni Katiba, inatoa haki na mamlaka kwa muhimili kwa upande mmoja kisha ina nyang'anya kwa upande mwengine. It is alreay out of hand kwa Ndugai hasa baada ya hotuba ya leo ya mama. Hana mamna zaidi ya kunyamaza.
 
Back
Top Bottom