Akitupwa ndani maisha yako yatabadilika?Kwenda huko wewe uliyekosa adabu na heshima.Alipewa na Mtu mwenye cheo cha Urais na sasa Amevuliwa na Rais . Aendelee na matusi na lugha zake za uchochezi aone kama hajatupwa Ndani kujieleza .
Kinachafuata ni yeye Dr kukuvua chupiAlianza kuvuliwa upadri. Sasa kavuliwa ubalozi. Kitakachofuata kumvua ni nini?
Kuna vingi tu pia hivielewi Huwa unadanganyaUsilolijuwa ni usiku wa kiza.
Passport ya diplomat inaisha pale pale unapotoka kwenye ubalozi,ni kwa kipindi kile tu akiwa balozi akishabadilishwa anarudi kwenye passport ya kawaidaYah inaleta zaid ya ugali sababu anapewa huduma zote za ki vip iwe ndani au nje ya tz na ilikuwa ana passport ya diplomat but now mkavu tu hata kuruta anamkwida mkanda
Taifa haliwezi kumvumilia mtu anayetumia maneno ya uchochezi na kutaka kuleta mbegu ya ubaguzi pamoja na kuchochea machafuko na mapinduzi ya serikali iliyopo halali madarakaniAkitupwa ndani maisha yako yatabadilika?
Kuna padre mwenye Mke? ππWe kilza Upadri huwa hauvuliwi, nyie ndio wale vilaza wa Jf
ππ Hivi mtu anayelala njaa na hajui kesho atakula nini unaweza kusema ana amani?!Vyovyote Vile, Ila Huwezi Kuelewa Umuhmu Wa Amani Mpaka Itakapo Ondoka, Huo Ujasiri Ulionao Hapo Wa Kuchukua Simu Yako Na Kuqoute Coment Yangu Ni Kwasababu Ya Hii Amani Unayotamani Itoweke Kwa Maslah Ya Watu Ambao Hawawezi Kukukmbuka Wewe Wakifanikisha Azma Yao
Huyo mpaka baba mtakatifu alishamkataa huko Vatican. Hakuna alichobakiza duniani wala mbinguni.Mhimu Uhai...achana na hizi taito za duniani.
umenikumbusha slaa mwenyewe kipindi flani alikua anahoji kwan katiba inaleta ugali mezaniKwani hiyo hadhi pek yake inaleta ugali mezani??
Maisha gani? Wazazi wako wana mudu milo mitatu kwa siku? Acha kujitoa ufahamuHabari kubwa ni juu ya uchapa kazi uliotukuka wa Rais samia ambao umekuwa wa mfano barani Afrika na ulio leta mabadiliko chanya kwa maisha ya watanzania.
Mke yupi? Kwani alimuoa Mama yako? Tusaidie hiliKuna padre mwenye Mke? [emoji16][emoji16]
Lipi la kuunga uunga? Unaweza kuta hujalaKwani nani hana life lake? [emoji23][emoji23][emoji23] Kimekuuma
Kilichobaki ni Dr kukuvua chupi wewe na famlia yako na na wana ccm wote awapige mashineWewe mzee hebu jitafakari kama akili yako ipo sawa. Ulianza kuvuliwa upadri , Ukaingia kwenye siasa Chadema wakakuvua uanachama baada ya kusaliti chama...
Wanajitambua wachache!Nashangaa kwanini Chadema wanashangilia Dr silaa kuvuliwa ubalozi
Kisa kapinga DP world..kwanza anamvua kwani alimpa yeye?? Huyu bibi kweli zu.m.b.u.k.uku.
Mkuu weka akiba ya maneno.Kanisa Moja Takatifu la Mitume π
Dr Slaa amekataliwa kote kote!
Lipi la kuunga uunga? Unaweza kuta hujala
π¨π¨π¨π¨π€£π€£π€£π€£Mke yupi? Kwani alimuoa Mama yako? Tusaidie hili