Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Taja mambo matano (5) tu yanayokufanya umchukie Rais Samia mimi nitakutajia mazuri yake zaidi ya 100 aliyoyafanya ndani ya muda huu wa miaka miwili tu ya Uongozi wake.4 R ilikuwa ni kauli za kinafiki
Kwa jicho la kiroho: Sakata la Dr. Slaa | Page 12 - JamiiForums Kwa jicho la kiroho: Sakata la Dr. SlaaWanaomshangaa Mama kumvua ubalozi kwani ndiyo mara ya kwanza huyu Mzee kuvuliwa?
Angalia CV yake - Huyu ni Mzee wa kuvuliwa:-
...
Hata Yeye hana uwezo wa kuibabaisha SerikaliDr. wala hababaishwi kwa vitu vidogo kama hivyo.
Alipovuliwa upadri kabla hajawa balozi alikuwa na nini???Upadri kavuliwa.
Ubalozi kavuliwa
Imebaki nini???
Vyeti? WanachukuaHiyo hawajamvisha wao.....
"The good thing about education is that once you have it no one can take it from you"......simkumbuki aliyetoa hii nukuu.
Kwi kwi kwiiii
Inaaamaanisha ana msimamo. Mwanaume thabiti.Wanaomshangaa Mama kumvua ubalozi kwani ndiyo mara ya kwanza huyu Mzee kuvuliwa?...
Inawezekana ndani ya miaka 20. Hizi Jeuri, ufisadi, uhuni, hauna nafasi dunia ya sasa.
"namupige kelele , mupige kelele, Uwiiiiii"
Mda si mrefu Mbowe naye ile kesi yake itahuishwa mda si mrefuInaaamaanisha ana msimamo. Mwanaume thabiti.
Kuna makosa yoyote aliyofanya?
Nashangaa kwanini Chadema wanashangilia Dr silaa kuvuliwa ubalozi