Rais Samia amvua hadhi ya Ubalozi Dkt. Slaa

Peleka ujinga wako huko ww nguruwe maji
 
Kama ndivyo unavyoamini ilikuaje basi kupewa zawadi ya Ubalozi na aliyekuwa M/Kiti wa CCM Taifa wa wakati huo??? Watz siyo Wajinga.
 
Kumbe Rais Samia wa hovyo hivi? Kweli bado kuongoza nchi kwa nchi zetu hizi za kishenzi!
Kwa kosa lipi kafanya mpaka umvue ubalozi?

All in all ubalozi wenyewe ulikuwa wa shukrani baada ya usaliti kwa wapigania haki!
Nadhani msali ni yule aliyehongwa vipande vya fedha akaruhusu fisadi kugombea urais kupitia chama chao
 
Kama ndivyo unavyoamini ilikuaje basi kupewa zawadi ya Ubalozi na aliyekuwa M/Kiti wa CCM Taifa wa wakati huo??? Watz siyo Wajinga.
Unafahamu rais aliyepita alivyokuwa....angeweza kufanya hivyo kuwakomoa chadema
 
Nimekupa like yangu , saa100 ni wa hovyo lakoni kwa kuwa media zetu zinaenjoy maisha na matajir wanaelea kwenye utsjiri ,wao hutasikia baya lolote kwa huyu kibwengo mkuu
 
Bora ili mafuta yashuke bei,nfumuko wa bei na dola ziongezeke mtaani, pia kuvuliwa ubalozi ccm wamejibu hoja za kugawa bandari zetu kwa mwarabu wa Dubai.
 
Kwa hiyo tunakubaliana kwamba huyu naye ana visasi kama yule mwingine maana yule mwingine mada ingekuwa hiyo.😁.

Balozi Ali Karume yeye atavuliwa lini hiyo hadhi?
 
Mbowe ni mjesiriamali na mwenye uchu wa fedha kuliko ,aliamua liwalo na liwe ,slaa aliyesimamia msimamo wake eti ndo anaonekana msaliti watu wakiwaita wafuasi wa mbowe kuwa ni nyumbu wanakuwa wakali kama pilipili
 
Mvuaji akumbuke wapo waliovuliwa na mwendazake ,alipokuja yeye akawavalisha ,Yeye akiondoka Dr Slaa atavalishwa na mrithi wake.
 
Hii ni kawaida tu. Hata Alphayo Kidata kamishna wa sasa wa TRA aliwahi kuvuliwa hadi ya ubalozi na Rais aliyepita Mwendazake Magufuli. Sioni cha ajabu hapo.
 
Mbowe ni mjesiriamali na mwenye uchu wa fedha kuliko ,aliamua liwalo na liwe ,slaa aliyesimamia msimamo wake eti ndo anaonekana msaliti watu wakiwaita wafuasi wa mbowe kuwa ni nyumbu wanakuwa wakali kama pilipili
Niliwahi kusema kuwa ipo siku Slaa ataonekana ni shujaa kwa maamuzi ya kusimamia maneno yake
 
Mbowe ni mjesiriamali na mwenye uchu wa fedha kuliko ,aliamua liwalo na liwe ,slaa aliyesimamia msimamo wake eti ndo anaonekana msaliti watu wakiwaita wafuasi wa mbowe kuwa ni nyumbu wanakuwa wakali kama pilipili
Hayo ni mawazo yako. Lakini kwa upande mwingine ukweli unaujua.
 
umemtus bure.hiko alichoweka ndio walichosema hao wazee wanywa gahawa wa huko unguja mbele ya rais na waziri mkuu. tuanze kwanza kumsema rais wako na serikali yake na watu wa itifaki kwa kukenua na kuacha matamko ya kipumbavu kama hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…