Rais Samia amwagiwa sifa kwenye Bunge la Ulaya

Rais Samia amwagiwa sifa kwenye Bunge la Ulaya

Nchi yetu ni taifa huru

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote
Taifa huru wakti hamuwezi kujitegemea wenyewe,budget ya kuendesha serikali mnategemea msaada...labda kujitegemea kwa porojo
 
David MacAllister ambaye amekiri kufahamiana na watu kadhaa ndani ya Tanzania, huku kukiwa na ushahidi kwamba Rafiki yake ni Tundu Lissu anayefahamika kwa kutunga uwongo mwingi dhidi ya Tanzania, alijiegemeza katika kesi ya Freeman Mbowe. Alitumia maneno mengi, lakini hiyo pekee ndiyo ilikuw ahoja yake, huku akilazimisha kwamba Rais wa Tanzania akiuke misingi ya Kidemokrasia na kuingilia uhuru wa Mahakama.
Wewe upo Tz kweli au kuzimu?
Kama upo Tz umeandika uongo mtupu ILA kama upo kuzimu tena kwa miaka mingi upo sawa!
 
Moja kati ya mijadala iliyojadiliwa kwenye Bunge la Ulaya ni hali ya Tanzania hususan katika eneo la Demokrasia. Mbunge wa Bunge hilo David McAllister alionekana kupotosha Bunge hilo kwa makusudi baada ya kueleza mambo ambayo alionekana hana ufahamu nayo.

David McAllister, alipotosha kwamba viongozi wengi wa upinzani wamekamwta na kuwekwa katika magerteza tofauti tofauti, wakati inafahamika kwamba tangu Rais Samia Samia Suluhu aingie madarakani kesi nyingi zilizokuwa zikipigiwa kelele na vyama vya upinzani zilifutwa ( Septemba 22,2021 Tundu Lissu alifutiwa kesi ya uchochezi, June 28,2021 Mdude Nyangali aliachiwa huru kisha akatoka na kwenda kumtukana Rais hadharani lakini yuko huru hadi leo, bila kusahau kuachiwa huru kwa Mashekhe wa Uamsho ambalo lilikuwa ombi la Wapinzani kwa miaka mingi).

David MacAllister ambaye amekiri kufahamiana na watu kadhaa ndani ya Tanzania, huku kukiwa na ushahidi kwamba Rafiki yake ni Tundu Lissu anayefahamika kwa kutunga uwongo mwingi dhidi ya Tanzania, alijiegemeza katika kesi ya Freeman Mbowe. Alitumia maneno mengi, lakini hiyo pekee ndiyo ilikuw ahoja yake, huku akilazimisha kwamba Rais wa Tanzania akiuke misingi ya Kidemokrasia na kuingilia uhuru wa Mahakama.

Hoja za kubumba za David McAllister ziligonga mwamba baada ya ukweli kuelezwa ndani ya Bunge hilo , baada ya ukweli wa mabo kusemwa.

Mbunge Rita Laranjinha alieleza kwamba, Rasis Samia Suluhu Hassan ameleta tumaini jipya ndani ya Tanzania katika kipindi kifupi alichoingia madarakani.

Tanzania imepongezwa kwa namna ilivyofaulu kubadilisha uongozi kwa amani na kufuata Katiba kufuatia kifoi cha Hayati Magufuli aliyekuwa Rais.

Lakini pia Bunge la Ulaya limeelezwa kuhusu hatua zinazochukuliwa na Rais Samia Suluhu katika kuimarisha Demokrasia, bila kusahau maamuzi yake ya kukabiliana na janga la Corona kwa njia za kisayansi zinazokubalika duniani kote.

Kung’ara huko kwa Tanzania katika Bunge la Ulaya ni muendelezo wa mema yanayoendelea kuchipua ndani ya Tanzania baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuifungua nchi kupitia diplomasia, na kulinda misingi ya demokrasia ambapo hivi sasa vyama vya siasa vinaendelea kufanya shughuli zao za ndani kwa uhuru mkubwa.
David McAllister akamamatwe mara moja na kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi
 
Wakoloni bana. Yaani etu mambo ya Tanzania yanawahusu watu wa Ulaya, kama siyo hangover ya ukoloni kwamba aliyewahi kuwa mtumwa wako atabaki mtumwa wako milele, ni kitu gani hiki?

Sema tu kuna mitanzania kibao ambayo raha yao ni kuolewaolewa na mkoloni tu basi.
Vipi kutembeza bakuli
 
Moja kati ya mijadala iliyojadiliwa kwenye Bunge la Ulaya ni hali ya Tanzania hususan katika eneo la Demokrasia. Mbunge wa Bunge hilo David McAllister alionekana kupotosha Bunge hilo kwa makusudi baada ya kueleza mambo ambayo alionekana hana ufahamu nayo.

David McAllister, alipotosha kwamba viongozi wengi wa upinzani wamekamwta na kuwekwa katika magerteza tofauti tofauti, wakati inafahamika kwamba tangu Rais Samia Samia Suluhu aingie madarakani kesi nyingi zilizokuwa zikipigiwa kelele na vyama vya upinzani zilifutwa ( Septemba 22,2021 Tundu Lissu alifutiwa kesi ya uchochezi, June 28,2021 Mdude Nyangali aliachiwa huru kisha akatoka na kwenda kumtukana Rais hadharani lakini yuko huru hadi leo, bila kusahau kuachiwa huru kwa Mashekhe wa Uamsho ambalo lilikuwa ombi la Wapinzani kwa miaka mingi).

David MacAllister ambaye amekiri kufahamiana na watu kadhaa ndani ya Tanzania, huku kukiwa na ushahidi kwamba Rafiki yake ni Tundu Lissu anayefahamika kwa kutunga uwongo mwingi dhidi ya Tanzania, alijiegemeza katika kesi ya Freeman Mbowe. Alitumia maneno mengi, lakini hiyo pekee ndiyo ilikuw ahoja yake, huku akilazimisha kwamba Rais wa Tanzania akiuke misingi ya Kidemokrasia na kuingilia uhuru wa Mahakama.

Hoja za kubumba za David McAllister ziligonga mwamba baada ya ukweli kuelezwa ndani ya Bunge hilo , baada ya ukweli wa mabo kusemwa.

Mbunge Rita Laranjinha alieleza kwamba, Rasis Samia Suluhu Hassan ameleta tumaini jipya ndani ya Tanzania katika kipindi kifupi alichoingia madarakani.

Tanzania imepongezwa kwa namna ilivyofaulu kubadilisha uongozi kwa amani na kufuata Katiba kufuatia kifoi cha Hayati Magufuli aliyekuwa Rais.

Lakini pia Bunge la Ulaya limeelezwa kuhusu hatua zinazochukuliwa na Rais Samia Suluhu katika kuimarisha Demokrasia, bila kusahau maamuzi yake ya kukabiliana na janga la Corona kwa njia za kisayansi zinazokubalika duniani kote.

Kung’ara huko kwa Tanzania katika Bunge la Ulaya ni muendelezo wa mema yanayoendelea kuchipua ndani ya Tanzania baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuifungua nchi kupitia diplomasia, na kulinda misingi ya demokrasia ambapo hivi sasa vyama vya siasa vinaendelea kufanya shughuli zao za ndani kwa uhuru mkubwa.
Tatizo kubwa, wengi wenu hata hicho Kiingereza hamkijui vizuri, mnaenda mnaokota neno moja moja.

Hakuna mahali ambapo Samia amesifiwa, zaidi ya kueleza kuwa kwa baadhi ya mambo aliyoyafanya, yanaleta matumaini, japo bado kuna concern kubwa kwenye masuala ya haki na demokrasia.

Lakini pia ni uwongo wako binafsinkusema kwamba hakuna watu ambai wamewekwa ndani, na bado wapo ndani kwa sababu za kisiasa. Vuongozi na baadhi ya wapenzi wa CHADEMA, moaka sasa waliopo kwenye mahabusu za magereza, kwa nchi nzima, ni zaidi ya 100.

Taarifa ya Rita, hiyo ya kusema uongozi wa Samia umeketa matumanini, bado imepingwa kutokana na ushahidu mbalimbali, na wameambiwa watoe majibu ya uhkakika kuhusiana na matujio mbalimbali ambayo yameshuhudiwa na kuthibitishwa na balozi mbalimbali. Ufahamu kuwa McAllister siyo mbunge kama alivyo Rita. McAllister ni Mwenyekiti wa Foreign Affairs wa Bunge la Ulaya, na Rita na team yake walitumwa na McAllister. Ndiyo maana Rita ameagizwa na McAllister kutoa majibu kwa masuala mbalimbali ambayo inaonekana hawakuyafanyia kazi kikamilifu. Ja wameambiwa watoe mapendekezo kwa Bunge juu ya hatua za kuchukua dhidi ya utawala wa Samia, na sia business as usual.

Tusiwe wajinga wa kusifia mafanikio madogo au utendaji wa kinafiki wa Serikali ili kuwaridhisha critics wa kimataifa.
 
Nchi yetu ni taifa huru

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote
Utakuwa mpumba.vu, umemchoma moto mikono mtoto wako, wakija majirani kukuhoji, unajitetea kuwa mimi ni familia huru. Utakuwa mwendawazimu hasa.

Uhuru wa Taifa, kama ilivyo wa mtu mmoja mmoja, una mipaka yake. Ukienda nje ya mipaka, Dunia itakuhoji na inaweza kukuadhibu. Mpumb.avu pekee ndiye akihojiwa kwa uovu, atajibu kuwa sisi ni Taifa huru. Uhuru wa Taifa unaishia katika kuwatendea haki watu wako, na siyo uhuru wa kutenda uovu.
 
Moja kati ya mijadala iliyojadiliwa kwenye Bunge la Ulaya ni hali ya Tanzania hususan katika eneo la Demokrasia. Mbunge wa Bunge hilo David McAllister alionekana kupotosha Bunge hilo kwa makusudi baada ya kueleza mambo ambayo alionekana hana ufahamu nayo.

David McAllister, alipotosha kwamba viongozi wengi wa upinzani wamekamwta na kuwekwa katika magerteza tofauti tofauti, wakati inafahamika kwamba tangu Rais Samia Samia Suluhu aingie madarakani kesi nyingi zilizokuwa zikipigiwa kelele na vyama vya upinzani zilifutwa ( Septemba 22,2021 Tundu Lissu alifutiwa kesi ya uchochezi, June 28,2021 Mdude Nyangali aliachiwa huru kisha akatoka na kwenda kumtukana Rais hadharani lakini yuko huru hadi leo, bila kusahau kuachiwa huru kwa Mashekhe wa Uamsho ambalo lilikuwa ombi la Wapinzani kwa miaka mingi).

David MacAllister ambaye amekiri kufahamiana na watu kadhaa ndani ya Tanzania, huku kukiwa na ushahidi kwamba Rafiki yake ni Tundu Lissu anayefahamika kwa kutunga uwongo mwingi dhidi ya Tanzania, alijiegemeza katika kesi ya Freeman Mbowe. Alitumia maneno mengi, lakini hiyo pekee ndiyo ilikuw ahoja yake, huku akilazimisha kwamba Rais wa Tanzania akiuke misingi ya Kidemokrasia na kuingilia uhuru wa Mahakama.

Hoja za kubumba za David McAllister ziligonga mwamba baada ya ukweli kuelezwa ndani ya Bunge hilo , baada ya ukweli wa mabo kusemwa.

Mbunge Rita Laranjinha alieleza kwamba, Rasis Samia Suluhu Hassan ameleta tumaini jipya ndani ya Tanzania katika kipindi kifupi alichoingia madarakani.

Tanzania imepongezwa kwa namna ilivyofaulu kubadilisha uongozi kwa amani na kufuata Katiba kufuatia kifoi cha Hayati Magufuli aliyekuwa Rais.

Lakini pia Bunge la Ulaya limeelezwa kuhusu hatua zinazochukuliwa na Rais Samia Suluhu katika kuimarisha Demokrasia, bila kusahau maamuzi yake ya kukabiliana na janga la Corona kwa njia za kisayansi zinazokubalika duniani kote.

Kung’ara huko kwa Tanzania katika Bunge la Ulaya ni muendelezo wa mema yanayoendelea kuchipua ndani ya Tanzania baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuifungua nchi kupitia diplomasia, na kulinda misingi ya demokrasia ambapo hivi sasa vyama vya siasa vinaendelea kufanya shughuli zao za ndani kwa uhuru mkubwa.
Mzungu akusifie kweliii?? Mungu wanguu
 
Utakuwa mpumba.vu, umemchoma moto mikono mtoto wako, wakija majirani kukuhoji, unajitetea kuwa mimi ni familia huru. Utakuwa mwendawazimu hasa.

Uhuru wa Taifa, kama ilivyo wa mtu mmoja mmoja, una mipaka yake. Ukienda nje ya mipaka, Dunia itakuhoji na inaweza kukuadhibu. Mpumb.avu pekee ndiye akihojiwa kwa uovu, atajibu kuwa sisi ni Taifa huru. Uhuru wa Taifa unaishia katika kuwatendea haki watu wako, na siyo uhuru wa kutenda uovu.

Mpumbavu atakua yule anayeita wengine wapumbavu ilihali hana analosaidia katika kuondoa tatizo analoliona zaidi ya kulalama na kutukana

Ningeuona mwerevu kama wewe ungekua chanzo cha kufanya mabadiliko kwenye kile unachoona kinahitaji kubadilishwa. Vinginevyo wewe ni wa kulialia na blahblah tuuuuuu

Wacha nikupe cheo cha mpumbavumkuu
 
KUTOKA MAKTABA
November 20, 2020

Balozi Nyamanga : Bunge la Umoja wa Ulaya Halijatoa Azimio lolote Kuhusu Tanzania​

Udaku SpecialNovember 20, 2020



Na Immaculate Makilika- MAELEZO
Serikali kupitia Balozi wa Tanzania nchini Ubeligiji na Mwakilishi wa Tanzania katika Umoja wa Ulaya imesema kuwa Bunge la Umoja wa Ulaya halijatoa azimio lolote kuhusu Tanzania kupitia kikao cha Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje ya Bunge hilo.

Akizungumza mapema leo kupitia televisheni ya Taifa (TBC), Balozi wa Tanzania nchini Ubeligiji na Mwakilishi wa Tanzania katika Umoja wa Ulaya Jestus Nyamanga alisema kuwa kuna taarifa za upotoshaji na zisizo na ukweli wowote zinazosambazwa kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii zikidai kuwa Bunge la Umoja wa Ulaya jana Novemba 19 limeazimia kusitisha misaada na mikopo kutoka umoja huo na mashirika yake, kwa nchi ya Tanzania sambamba na kuiwekea vikwazo.


Halikadhalika taarifa hizo za upotoshaji zinadai kwamba Bunge hilo la Umoja wa Ulaya limeazimia kuiwekeza vikwazo Tanzania na kuzuia kuuza bidhaa zake katika nchi za Umoja wa Ulaya.


“Novemba 19 asubuhi hapa Ubeligiji, Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya ilikutana katika kikao chake cha kawaida, moja ya masuala yaliyojadiliwa ilihusu Tanzania na hali ilivyo baada ya Uchaguzi Mkuu kukamilika, huu ni utaratibu wa kawaida kabisa wa Kamati hiyo kuijadili nchi ambayo ni mdau wao mkubwa wa maendeleo mara tu baada ya Uchaguzi Mkuu kukamilika”, alisema Balozi Nyamanga


Balozi Nyamanga alifafanua kuwa kikao hicho ni kikao cha Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje na si Bunge lote na hata hivyo kikao hicho kilitoa nafasi kwa wabunge kutoa mawazo yao na kujadili kuhusu hali ya Tanzania baada ya Uchaguzi Mkuu ambapo ni wabunge watano tu ndio walitoa mawazo yao kati ya wabunge 71 wa Kamati hiyo. Ambapo hilo lina idadi ya wabunge 705 na hivyo halijatoa azimio lolote kuhusu Tanzania.


Alibainisha kuwa pia kuna taarifa ambazo si za kweli zinazoenezwa na watu wenye nia mbaya na Tanzania zikidai kwamba Bunge hilo la Umoja wa Ulaya limeazimia kuifutia Tanzania msaada wa euro milioni 626 ambazo Tanzania inapewa na Umoja wa Ulaya kila mwaka, si kweli kwamba Umoja huo unaipa Tanzania fedha hizo kwa ajili ya utekelezaji wa miradi. Aidha Serikali inaendelea kutekeleza miradi yake mbalimbali.


“Hakuna mjadala wala majadiliano yanayoendelea katika Umoja wa Ulaya wala hakuna azimio lililowekwa na Kamati hiyo ya Bunge, wala kuizuia Tanzania kuuza bidhaa zake katika nchi hizo za Umoja wa Ulaya, hata hivyo naomba niwahakikishie watanzania wenzangu kwamba uhusiano wa Tanzania na Umoja wa Ulaya ni mzuri sana kwa zaidi ya miaka 45 sasa na tunaendelea kushirikiana katika masula mbalimbali yanayohusu maendeleo kwa pande zote mbili”, alisema Balozi Nyamanga.
Mwisho

N.B
Tunasubiri tamko la serikali ya Tanzania kuhusu Bunge la Ulaya kuikataa ripoti ya EESA 2021 na mapendekezo ya Bunge la Ulaya sasa ni wakati muafaka kuwa hatua zaidi zichukuliwe kuibana Tanzania baada ya kushindwa kubadilika toka October 2015 mpaka December 2021 badala ya njia walizokuwa wanatumia EU / Umoja wa Ulaya kupitia mazungumzo / dialogue kushindwa kuleta uhuru, haki na Maendeleo ya Watu kisiasa, kiuchumi na ki-utu.
 
Ukiona mizungu inakusifia jua ......
 
Toka maktaba :

21 November 2020

KUMEKUCHA.!. PROFESA KABUDI AWAJIBU MABEBERU,TANZANIA HAIJAWAHI KUPIGA MAGOTI




Source : millard ayo

Zaidi Toka maktaba miaka 3 iliyopita

Hatuwezi kupiga magoti kuomba misaada- Prof. Kabudi​

3 years ago Hatuwezi kupiga magoti kuomba misaada- Prof. Kabudi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi amesema kuwa Tanzania haikupiga magoti katika kipindi cha utawala wa awamu ya pili ilipokuwa na hali ngumu, hivyo haiwezi kufanya hivyo wakati huu ikiwa na hali nzuri zaidi.

Amesema kuwa licha ya nchi kutokuwa na akiba ya kutosha ya fedha za kigeni wakati huo wa awamu ya pili (1985-1995), Tanzania haikupiga magoti kuomba msaada, lakini sasa Taifa lina akiba ya fedha za kigeni za miezi mitano
“Kama tuliweza kwa wakati huo hatuwezi kushindwa katika awamu hii ya Tano ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli, tumeamua kujitegemea na hili tunalitekeleza kikamilifu kwamba hatuwezi kupiga magoti kwaajili ya kuomba misaada.”amesema Prof. Kabudi
Profesa Kabudi aliyasema hayo Bunge jijini Dodoma alipokuwa akijibu hoja za Wabunge waliochangia mjadala wa bajeti ya Wizara kwa mwaka wa fedha wa 2019/2020
 
Download
720
Moja kati ya mijadala iliyojadiliwa kwenye Bunge la Ulaya ni hali ya Tanzania hususan katika eneo la Demokrasia. Mbunge wa Bunge hilo David McAllister alionekana kupotosha Bunge hilo kwa makusudi baada ya kueleza mambo ambayo alionekana hana ufahamu nayo.

David McAllister, alipotosha kwamba viongozi wengi wa upinzani wamekamwta na kuwekwa katika magereza tofauti tofauti, wakati inafahamika kwamba tangu Rais Samia Samia Suluhu aingie madarakani kesi nyingi zilizokuwa zikipigiwa kelele na vyama vya upinzani zilifutwa ( Septemba 22,2021 Tundu Lissu alifutiwa kesi ya uchochezi, June 28,2021 Mdude Nyangali aliachiwa huru kisha akatoka na kwenda kumtukana Rais hadharani lakini yuko huru hadi leo, bila kusahau kuachiwa huru kwa Mashekhe wa Uamsho ambalo lilikuwa ombi la Wapinzani kwa miaka mingi).

David MacAllister ambaye amekiri kufahamiana na watu kadhaa ndani ya Tanzania, huku kukiwa na ushahidi kwamba Rafiki yake ni Tundu Lissu anayefahamika kwa kutunga uwongo mwingi dhidi ya Tanzania, alijiegemeza katika kesi ya Freeman Mbowe. Alitumia maneno mengi, lakini hiyo pekee ndiyo ilikuw ahoja yake, huku akilazimisha kwamba Rais wa Tanzania akiuke misingi ya Kidemokrasia na kuingilia uhuru wa Mahakama.

Hoja za kubumba za David McAllister ziligonga mwamba baada ya ukweli kuelezwa ndani ya Bunge hilo , baada ya ukweli wa mabo kusemwa.

Mbunge Rita Laranjinha alieleza kwamba, Rasis Samia Suluhu Hassan ameleta tumaini jipya ndani ya Tanzania katika kipindi kifupi alichoingia madarakani.

Tanzania imepongezwa kwa namna ilivyofaulu kubadilisha uongozi kwa amani na kufuata Katiba kufuatia kifoi cha Hayati Magufuli aliyekuwa Rais.

Lakini pia Bunge la Ulaya limeelezwa kuhusu hatua zinazochukuliwa na Rais Samia Suluhu katika kuimarisha Demokrasia, bila kusahau maamuzi yake ya kukabiliana na janga la Corona kwa njia za kisayansi zinazokubalika duniani kote.

Kung’ara huko kwa Tanzania katika Bunge la Ulaya ni muendelezo wa mema yanayoendelea kuchipua ndani ya Tanzania baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuifungua nchi kupitia diplomasia, na kulinda misingi ya demokrasia ambapo hivi sasa vyama vya siasa vinaendelea kufanya shughuli zao za ndani kwa uhuru mkubwa.
Rita Laranjinha sio mbunge wa EU
Screenshot - 2021-12-03T124912.513.png
 
Moja kati ya mijadala iliyojadiliwa kwenye Bunge la Ulaya ni hali ya Tanzania hususan katika eneo la Demokrasia. Mbunge wa Bunge hilo David McAllister alionekana kupotosha Bunge hilo kwa makusudi baada ya kueleza mambo ambayo alionekana hana ufahamu nayo.

David McAllister, alipotosha kwamba viongozi wengi wa upinzani wamekamwta na kuwekwa katika magereza tofauti tofauti, wakati inafahamika kwamba tangu Rais Samia Samia Suluhu aingie madarakani kesi nyingi zilizokuwa zikipigiwa kelele na vyama vya upinzani zilifutwa ( Septemba 22,2021 Tundu Lissu alifutiwa kesi ya uchochezi, June 28,2021 Mdude Nyangali aliachiwa huru kisha akatoka na kwenda kumtukana Rais hadharani lakini yuko huru hadi leo, bila kusahau kuachiwa huru kwa Mashekhe wa Uamsho ambalo lilikuwa ombi la Wapinzani kwa miaka mingi).

David MacAllister ambaye amekiri kufahamiana na watu kadhaa ndani ya Tanzania, huku kukiwa na ushahidi kwamba Rafiki yake ni Tundu Lissu anayefahamika kwa kutunga uwongo mwingi dhidi ya Tanzania, alijiegemeza katika kesi ya Freeman Mbowe. Alitumia maneno mengi, lakini hiyo pekee ndiyo ilikuw ahoja yake, huku akilazimisha kwamba Rais wa Tanzania akiuke misingi ya Kidemokrasia na kuingilia uhuru wa Mahakama.

Hoja za kubumba za David McAllister ziligonga mwamba baada ya ukweli kuelezwa ndani ya Bunge hilo , baada ya ukweli wa mabo kusemwa.

Mbunge Rita Laranjinha alieleza kwamba, Rasis Samia Suluhu Hassan ameleta tumaini jipya ndani ya Tanzania katika kipindi kifupi alichoingia madarakani.

Tanzania imepongezwa kwa namna ilivyofaulu kubadilisha uongozi kwa amani na kufuata Katiba kufuatia kifoi cha Hayati Magufuli aliyekuwa Rais.

Lakini pia Bunge la Ulaya limeelezwa kuhusu hatua zinazochukuliwa na Rais Samia Suluhu katika kuimarisha Demokrasia, bila kusahau maamuzi yake ya kukabiliana na janga la Corona kwa njia za kisayansi zinazokubalika duniani kote.

Kung’ara huko kwa Tanzania katika Bunge la Ulaya ni muendelezo wa mema yanayoendelea kuchipua ndani ya Tanzania baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuifungua nchi kupitia diplomasia, na kulinda misingi ya demokrasia ambapo hivi sasa vyama vya siasa vinaendelea kufanya shughuli zao za ndani kwa uhuru mkubwa.
Weka speech yote acha kuhadaa watu hapa.. Ameanza kusifu lakini kazungumzia demokrasia inavyo banwa.
 
02 December 2021
Brussels, EU

HABARI TOKA
Makao ya Bunge la Ulaya / EP

Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya Nje wa Bunge la ulaya akataa ripoti iliyoonesha matumaini ya mabadiliko ktk utawala wa awamu ya sita



David James McAllister MEP ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya Bunge la Ulaya ametoa hotuba nzito na kuwalaumu wataalum wa Umoja wa Ulaya waliotoa ripoti mbele ya kamati hiyo ya Bunge yenye ushawishi mkubwa pamoja na kuaminika kusimamia values / desturi na makubaliano ya kuheshimu haki za binadamu na utawala bora .

Mwenyekiti David James McAllister MEP akakumbushia barua yake aliyoandika kuwaonya wataalamu wa Umoja wa Ulaya EEAS About the European External Action Service (EEAS) mwaka jana mwezi November 2020 kuhusu "kuubeba" utawala dhalimu usiofuata haki za msingi za kibinadamu. Akiwasilisha Ripoti, mmoja wa wataalamu wa EEAS Ms. Rita Laranjinha EEAS: High Representative Josep Borrell announces senior appointments | Press Club Brussels Europe alinukuu taarifa ya EEAS ilisema kuna maendeleo 'makubwa' nchini Tanzania mbali ya changamoto ndogo ndogo.

Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya Nje ya Bunge la Ulaya akakumbushia hicho kinachoitwa 'changamoto ndogo ndogo' kwa hakika ni kikubwa na hakipaswi kutupiliwa mbali ikiwa watu wanakamatwa ovyo, kutupwa mahabusu, kufunguliwa mashtaka, kutishiwa haki ya kuishi n.k mambo ambayo ndiyo msingi mkubwa wanaousimamia Umoja wa Ulaya wakati wa kutoa msaada kwa nchi yoyote ulimwenguni

Mwenyekiti wa Kamati hiyo ya Bunge la Ulaya amesema mfano wataalamu hao je wameweza kukutana ndani ya Tanzania na mwenyekiti wa CHADEMA au makamu mwenyekiti wa CHADEMA? Ambao ni viongozi wa chama kikuu cha upinzani, mmoja akiwa rumande kwa kesi ya kutunga huku mwingine akiwa uhamishoni Belgium halafu wataalamu hao wanasema ni changamoto ndogo ndogo?

Pia kuna raia wanaoshiriki siasa Tanzania wenye mtizamo mbadala walio wanachama, wapenzi na wafadhili wazalendo wa KiTanzania wanabaguliwa kushiriki ktk vyombo vya maamuzi ngazi zote, wanaoozea ktk jela mbalimbali Tanzania au biashara zao kuhujumiwa je hayo ni mambo madogo ? Amehoji David James McAllister mwenyekiti huyo makini wa kamati ya Bunge la ulaya.

Hivyo amewataka wataalamu hao waliotumwa na bunge la Umoja wa Ulaya kuwabebeleza watawala wa Tanzania kuacha ukandamizaji, kujitathmini kama wanataka kulimwa barua nyingine kali ya karipio kuhusu ripoti yao iliyozua maswali mengi ndani ya Bunge la Ulaya na miongoni mwa wabunge wa Bunge hilo la Ulaya mwaka 2020 na vivyo hivyo pia mwaka huu mwezi November 2021 inayojadiliwa na Kamati hiyo ya Bunge la Ulaya.

Mwenyekiti wa Kamati hiyo ya Bunge la ulaya amewataka wataalamu hao kuja na majibu mujarabu ya kuibana serikali ya Tanzania kwa kuwa inatumia misaada ya Umoja wa Ulaya itokanayo na kodi za raia wa nchi wanachama zinazoamini katika utawala bora, haki za binadamu kulindwa na demokrasia hivyo haiwezekani nchi viongozi wa nchi walio wakandamizaji kama wa Tanzania kufaidi jasho na nguvu wa walipa kodi wa Ulaya wanaoamini katika uhuru, haki na Maendeleo ya kweli ya watu ktk demokrasia inayozingatia utu.

amesema yeye na wajumbe wabunge wa kamati ya mambo ya nje wanajiandaa kupendekeza hatua "kali" dhidi ya utawala unaoendekeza udhalimu waziwazi na kwa kificho.

David James McAllister mwenyekiti wa Kamati Ya Bunge la Ulaya ya Mambo ya Nje anasema mbali na ripoti hiyo ya wataalamu wake pia wanapata habari kupitia balozi za Marekani, Canada , Uingereza na balozi wa nchi wanachama wanaohudhuria kesi namba 16 ya mwaka 2021 ya tuhuma nzito za kupikwa dhidi ya Mbowe na wenzie 3, na kesi hiyo ni kichekesho dhidi ya Umoja wa Ulaya na raia wa wa Umoja wa Ulaya ambao wote wanaamini ktk haki mbele ya sheria, demokrasia na kutokuwepo ugandamizaji wa haki za kibinadamu za aina yoyote.

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge anataka kuona wataalamu hao wanakuja na mkakati gani wa kuibana serikali ya Tanzania inapotaka misaada na mikopo, kwani sasa siyo muda tena wa maongezi / dialogue yasiyo na kikomo kuhusu hali hii mbaya ya kisiasa nchini Tanzania, bali ni wakati wa Umoja wa Ulaya kufanya matendo kwani muda wa maneno umekwisha, ili ujumbe uwaingie watawala dhalimu.
Mungu wabariki Wazungu
 
03 December 2021

Wananchi wavutiwa na msimamo wa mwenyekiti wa Kamati ya Bunge la Ulaya



Wananchi watoa maoni kufuatia Kamati ya Bunge la Ulaya ya Masuala ya Nje, kudai hatua zaidi zichukuliwe dhidi ya serikali ya Tanzania baada ya njia za majadiliano na ushawishi kugonga mwamba na kushindwa kuifanya serikali ya CCM kujisahihisha makosa yake ya utawala bora, kuminya demokrasia na kuumiza utu wa raia wake.


Source : BONGOTIMES TV
 
02 December 2021
Brussels, EU

HABARI TOKA
Makao ya Bunge la Ulaya / EP

Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya Nje wa Bunge la ulaya akataa ripoti iliyoonesha matumaini ya mabadiliko ktk utawala wa awamu ya sita



David James McAllister MEP ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya Bunge la Ulaya ametoa hotuba nzito na kuwalaumu wataalum wa Umoja wa Ulaya waliotoa ripoti mbele ya kamati hiyo ya Bunge yenye ushawishi mkubwa pamoja na kuaminika kusimamia values / desturi na makubaliano ya kuheshimu haki za binadamu na utawala bora .

Mwenyekiti David James McAllister MEP akakumbushia barua yake aliyoandika kuwaonya wataalamu wa Umoja wa Ulaya EEAS About the European External Action Service (EEAS) mwaka jana mwezi November 2020 kuhusu "kuubeba" utawala dhalimu usiofuata haki za msingi za kibinadamu. Akiwasilisha Ripoti, mmoja wa wataalamu wa EEAS Ms. Rita Laranjinha EEAS: High Representative Josep Borrell announces senior appointments | Press Club Brussels Europe alinukuu taarifa ya EEAS ilisema kuna maendeleo 'makubwa' nchini Tanzania mbali ya changamoto ndogo ndogo.

Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya Nje ya Bunge la Ulaya akakumbushia hicho kinachoitwa 'changamoto ndogo ndogo' kwa hakika ni kikubwa na hakipaswi kutupiliwa mbali ikiwa watu wanakamatwa ovyo, kutupwa mahabusu, kufunguliwa mashtaka, kutishiwa haki ya kuishi n.k mambo ambayo ndiyo msingi mkubwa wanaousimamia Umoja wa Ulaya wakati wa kutoa msaada kwa nchi yoyote ulimwenguni

Mwenyekiti wa Kamati hiyo ya Bunge la Ulaya amesema mfano wataalamu hao je wameweza kukutana ndani ya Tanzania na mwenyekiti wa CHADEMA au makamu mwenyekiti wa CHADEMA? Ambao ni viongozi wa chama kikuu cha upinzani, mmoja akiwa rumande kwa kesi ya kutunga huku mwingine akiwa uhamishoni Belgium halafu wataalamu hao wanasema ni changamoto ndogo ndogo?

Pia kuna raia wanaoshiriki siasa Tanzania wenye mtizamo mbadala walio wanachama, wapenzi na wafadhili wazalendo wa KiTanzania wanabaguliwa kushiriki ktk vyombo vya maamuzi ngazi zote, wanaoozea ktk jela mbalimbali Tanzania au biashara zao kuhujumiwa je hayo ni mambo madogo ? Amehoji David James McAllister mwenyekiti huyo makini wa kamati ya Bunge la ulaya.

Hivyo amewataka wataalamu hao waliotumwa na bunge la Umoja wa Ulaya kuwabebeleza watawala wa Tanzania kuacha ukandamizaji, kujitathmini kama wanataka kulimwa barua nyingine kali ya karipio kuhusu ripoti yao iliyozua maswali mengi ndani ya Bunge la Ulaya na miongoni mwa wabunge wa Bunge hilo la Ulaya mwaka 2020 na vivyo hivyo pia mwaka huu mwezi November 2021 inayojadiliwa na Kamati hiyo ya Bunge la Ulaya.

Mwenyekiti wa Kamati hiyo ya Bunge la ulaya amewataka wataalamu hao kuja na majibu mujarabu ya kuibana serikali ya Tanzania kwa kuwa inatumia misaada ya Umoja wa Ulaya itokanayo na kodi za raia wa nchi wanachama zinazoamini katika utawala bora, haki za binadamu kulindwa na demokrasia hivyo haiwezekani nchi viongozi wa nchi walio wakandamizaji kama wa Tanzania kufaidi jasho na nguvu wa walipa kodi wa Ulaya wanaoamini katika uhuru, haki na Maendeleo ya kweli ya watu ktk demokrasia inayozingatia utu.

amesema yeye na wajumbe wabunge wa kamati ya mambo ya nje wanajiandaa kupendekeza hatua "kali" dhidi ya utawala unaoendekeza udhalimu waziwazi na kwa kificho.

David James McAllister mwenyekiti wa Kamati Ya Bunge la Ulaya ya Mambo ya Nje anasema mbali na ripoti hiyo ya wataalamu wake pia wanapata habari kupitia balozi za Marekani, Canada , Uingereza na balozi wa nchi wanachama wanaohudhuria kesi namba 16 ya mwaka 2021 ya tuhuma nzito za kupikwa dhidi ya Mbowe na wenzie 3, na kesi hiyo ni kichekesho dhidi ya Umoja wa Ulaya na raia wa wa Umoja wa Ulaya ambao wote wanaamini ktk haki mbele ya sheria, demokrasia na kutokuwepo ugandamizaji wa haki za kibinadamu za aina yoyote.

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge anataka kuona wataalamu hao wanakuja na mkakati gani wa kuibana serikali ya Tanzania inapotaka misaada na mikopo, kwani sasa siyo muda tena wa maongezi / dialogue yasiyo na kikomo kuhusu hali hii mbaya ya kisiasa nchini Tanzania, bali ni wakati wa Umoja wa Ulaya kufanya matendo kwani muda wa maneno umekwisha, ili ujumbe uwaingie watawala dhalimu.

Nimesikiliza na kutizama Video, nimegundua mtoa thread hapo juu ni Mnafiki wa kiwango Cha Rami, ni sawa na muuaji!
 
Nimesikiliza na kutizama Video, nimegundua mtoa thread hapo juu ni Mnafiki wa kiwango Cha Rami, ni sawa na muuaji!

Kweli kabisa kuna nia ovu ya kupotosha umma mpana wa raia wa Tanzania kwa makusudi kabisa.

Si bure wazalendo uchwara wa CCM kufanya makusudi waTanzania wasielewe au kufundishwa lugha ya kigeni ili tubaki tusifahamu ukweli, kujifunza au kupata maarifa.

Hii kampeni ya kuenzi lugha ya Kiswahili kusudio lake kubwa ni kuacha ombwe la ufahamu ili waendelee kututawala na pia kujaribu kuwazuia wadau wa maendeleo kutofahamu kinachoendelea nchini.

Psychological Operations in Digital Political Campaigns: Assessing Cambridge Analytica's Psychographic Profiling and Targeting

Vian Bakir

Original ResearchThis paper explores whether psychographic profiling and targeting married with big data and deployed in digital political campaigns is a form of psychological operations (“psy-ops”). Informed by studies on deception, coercion, and influence The Age of Mass Deception: Manipulation and Control in Digital Communications

Who Wants to Be a Slave? The Technocratic Convergence of Humans and Data

Daniel Broudy and Makoto Arakaki

How can language be used as a means of power?


Having language means that you are able to communicate in such a way that others understand you. ... Power grows when you can communicate for more reasons to more people. The more powerful your language, the more independent you become, and the more you can contribute to the community The Age of Mass Deception: Manipulation and Control in Digital Communications
Tujiulize kwanini nchi ya Tanzania inayotambua lugha rasmi mbili yaani ya Kiswahili na Kiingereza, vipi hatuna idhaa yoyote ya serikali au binafsi inayorusha matangazo, mijadala, midahalo, entertainment, michezo kwa lugha ya Kiingereza ?
 
Back
Top Bottom