tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Taifa huru wakti hamuwezi kujitegemea wenyewe,budget ya kuendesha serikali mnategemea msaada...labda kujitegemea kwa porojoNchi yetu ni taifa huru
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote
Wewe upo Tz kweli au kuzimu?David MacAllister ambaye amekiri kufahamiana na watu kadhaa ndani ya Tanzania, huku kukiwa na ushahidi kwamba Rafiki yake ni Tundu Lissu anayefahamika kwa kutunga uwongo mwingi dhidi ya Tanzania, alijiegemeza katika kesi ya Freeman Mbowe. Alitumia maneno mengi, lakini hiyo pekee ndiyo ilikuw ahoja yake, huku akilazimisha kwamba Rais wa Tanzania akiuke misingi ya Kidemokrasia na kuingilia uhuru wa Mahakama.
David McAllister akamamatwe mara moja na kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumiMoja kati ya mijadala iliyojadiliwa kwenye Bunge la Ulaya ni hali ya Tanzania hususan katika eneo la Demokrasia. Mbunge wa Bunge hilo David McAllister alionekana kupotosha Bunge hilo kwa makusudi baada ya kueleza mambo ambayo alionekana hana ufahamu nayo.
David McAllister, alipotosha kwamba viongozi wengi wa upinzani wamekamwta na kuwekwa katika magerteza tofauti tofauti, wakati inafahamika kwamba tangu Rais Samia Samia Suluhu aingie madarakani kesi nyingi zilizokuwa zikipigiwa kelele na vyama vya upinzani zilifutwa ( Septemba 22,2021 Tundu Lissu alifutiwa kesi ya uchochezi, June 28,2021 Mdude Nyangali aliachiwa huru kisha akatoka na kwenda kumtukana Rais hadharani lakini yuko huru hadi leo, bila kusahau kuachiwa huru kwa Mashekhe wa Uamsho ambalo lilikuwa ombi la Wapinzani kwa miaka mingi).
David MacAllister ambaye amekiri kufahamiana na watu kadhaa ndani ya Tanzania, huku kukiwa na ushahidi kwamba Rafiki yake ni Tundu Lissu anayefahamika kwa kutunga uwongo mwingi dhidi ya Tanzania, alijiegemeza katika kesi ya Freeman Mbowe. Alitumia maneno mengi, lakini hiyo pekee ndiyo ilikuw ahoja yake, huku akilazimisha kwamba Rais wa Tanzania akiuke misingi ya Kidemokrasia na kuingilia uhuru wa Mahakama.
Hoja za kubumba za David McAllister ziligonga mwamba baada ya ukweli kuelezwa ndani ya Bunge hilo , baada ya ukweli wa mabo kusemwa.
Mbunge Rita Laranjinha alieleza kwamba, Rasis Samia Suluhu Hassan ameleta tumaini jipya ndani ya Tanzania katika kipindi kifupi alichoingia madarakani.
Tanzania imepongezwa kwa namna ilivyofaulu kubadilisha uongozi kwa amani na kufuata Katiba kufuatia kifoi cha Hayati Magufuli aliyekuwa Rais.
Lakini pia Bunge la Ulaya limeelezwa kuhusu hatua zinazochukuliwa na Rais Samia Suluhu katika kuimarisha Demokrasia, bila kusahau maamuzi yake ya kukabiliana na janga la Corona kwa njia za kisayansi zinazokubalika duniani kote.
Kung’ara huko kwa Tanzania katika Bunge la Ulaya ni muendelezo wa mema yanayoendelea kuchipua ndani ya Tanzania baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuifungua nchi kupitia diplomasia, na kulinda misingi ya demokrasia ambapo hivi sasa vyama vya siasa vinaendelea kufanya shughuli zao za ndani kwa uhuru mkubwa.
Vipi kutembeza bakuliWakoloni bana. Yaani etu mambo ya Tanzania yanawahusu watu wa Ulaya, kama siyo hangover ya ukoloni kwamba aliyewahi kuwa mtumwa wako atabaki mtumwa wako milele, ni kitu gani hiki?
Sema tu kuna mitanzania kibao ambayo raha yao ni kuolewaolewa na mkoloni tu basi.
Ndiko huko kuolewa ninakokusema, mimtu mizima kuombaomba hela kwa wanaume wenzao. Magufuli alikataa ujinga huu.Vipi kutembeza bakuli
Tatizo kubwa, wengi wenu hata hicho Kiingereza hamkijui vizuri, mnaenda mnaokota neno moja moja.Moja kati ya mijadala iliyojadiliwa kwenye Bunge la Ulaya ni hali ya Tanzania hususan katika eneo la Demokrasia. Mbunge wa Bunge hilo David McAllister alionekana kupotosha Bunge hilo kwa makusudi baada ya kueleza mambo ambayo alionekana hana ufahamu nayo.
David McAllister, alipotosha kwamba viongozi wengi wa upinzani wamekamwta na kuwekwa katika magerteza tofauti tofauti, wakati inafahamika kwamba tangu Rais Samia Samia Suluhu aingie madarakani kesi nyingi zilizokuwa zikipigiwa kelele na vyama vya upinzani zilifutwa ( Septemba 22,2021 Tundu Lissu alifutiwa kesi ya uchochezi, June 28,2021 Mdude Nyangali aliachiwa huru kisha akatoka na kwenda kumtukana Rais hadharani lakini yuko huru hadi leo, bila kusahau kuachiwa huru kwa Mashekhe wa Uamsho ambalo lilikuwa ombi la Wapinzani kwa miaka mingi).
David MacAllister ambaye amekiri kufahamiana na watu kadhaa ndani ya Tanzania, huku kukiwa na ushahidi kwamba Rafiki yake ni Tundu Lissu anayefahamika kwa kutunga uwongo mwingi dhidi ya Tanzania, alijiegemeza katika kesi ya Freeman Mbowe. Alitumia maneno mengi, lakini hiyo pekee ndiyo ilikuw ahoja yake, huku akilazimisha kwamba Rais wa Tanzania akiuke misingi ya Kidemokrasia na kuingilia uhuru wa Mahakama.
Hoja za kubumba za David McAllister ziligonga mwamba baada ya ukweli kuelezwa ndani ya Bunge hilo , baada ya ukweli wa mabo kusemwa.
Mbunge Rita Laranjinha alieleza kwamba, Rasis Samia Suluhu Hassan ameleta tumaini jipya ndani ya Tanzania katika kipindi kifupi alichoingia madarakani.
Tanzania imepongezwa kwa namna ilivyofaulu kubadilisha uongozi kwa amani na kufuata Katiba kufuatia kifoi cha Hayati Magufuli aliyekuwa Rais.
Lakini pia Bunge la Ulaya limeelezwa kuhusu hatua zinazochukuliwa na Rais Samia Suluhu katika kuimarisha Demokrasia, bila kusahau maamuzi yake ya kukabiliana na janga la Corona kwa njia za kisayansi zinazokubalika duniani kote.
Kung’ara huko kwa Tanzania katika Bunge la Ulaya ni muendelezo wa mema yanayoendelea kuchipua ndani ya Tanzania baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuifungua nchi kupitia diplomasia, na kulinda misingi ya demokrasia ambapo hivi sasa vyama vya siasa vinaendelea kufanya shughuli zao za ndani kwa uhuru mkubwa.
Utakuwa mpumba.vu, umemchoma moto mikono mtoto wako, wakija majirani kukuhoji, unajitetea kuwa mimi ni familia huru. Utakuwa mwendawazimu hasa.Nchi yetu ni taifa huru
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote
Mzungu akusifie kweliii?? Mungu wanguuMoja kati ya mijadala iliyojadiliwa kwenye Bunge la Ulaya ni hali ya Tanzania hususan katika eneo la Demokrasia. Mbunge wa Bunge hilo David McAllister alionekana kupotosha Bunge hilo kwa makusudi baada ya kueleza mambo ambayo alionekana hana ufahamu nayo.
David McAllister, alipotosha kwamba viongozi wengi wa upinzani wamekamwta na kuwekwa katika magerteza tofauti tofauti, wakati inafahamika kwamba tangu Rais Samia Samia Suluhu aingie madarakani kesi nyingi zilizokuwa zikipigiwa kelele na vyama vya upinzani zilifutwa ( Septemba 22,2021 Tundu Lissu alifutiwa kesi ya uchochezi, June 28,2021 Mdude Nyangali aliachiwa huru kisha akatoka na kwenda kumtukana Rais hadharani lakini yuko huru hadi leo, bila kusahau kuachiwa huru kwa Mashekhe wa Uamsho ambalo lilikuwa ombi la Wapinzani kwa miaka mingi).
David MacAllister ambaye amekiri kufahamiana na watu kadhaa ndani ya Tanzania, huku kukiwa na ushahidi kwamba Rafiki yake ni Tundu Lissu anayefahamika kwa kutunga uwongo mwingi dhidi ya Tanzania, alijiegemeza katika kesi ya Freeman Mbowe. Alitumia maneno mengi, lakini hiyo pekee ndiyo ilikuw ahoja yake, huku akilazimisha kwamba Rais wa Tanzania akiuke misingi ya Kidemokrasia na kuingilia uhuru wa Mahakama.
Hoja za kubumba za David McAllister ziligonga mwamba baada ya ukweli kuelezwa ndani ya Bunge hilo , baada ya ukweli wa mabo kusemwa.
Mbunge Rita Laranjinha alieleza kwamba, Rasis Samia Suluhu Hassan ameleta tumaini jipya ndani ya Tanzania katika kipindi kifupi alichoingia madarakani.
Tanzania imepongezwa kwa namna ilivyofaulu kubadilisha uongozi kwa amani na kufuata Katiba kufuatia kifoi cha Hayati Magufuli aliyekuwa Rais.
Lakini pia Bunge la Ulaya limeelezwa kuhusu hatua zinazochukuliwa na Rais Samia Suluhu katika kuimarisha Demokrasia, bila kusahau maamuzi yake ya kukabiliana na janga la Corona kwa njia za kisayansi zinazokubalika duniani kote.
Kung’ara huko kwa Tanzania katika Bunge la Ulaya ni muendelezo wa mema yanayoendelea kuchipua ndani ya Tanzania baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuifungua nchi kupitia diplomasia, na kulinda misingi ya demokrasia ambapo hivi sasa vyama vya siasa vinaendelea kufanya shughuli zao za ndani kwa uhuru mkubwa.
Utakuwa mpumba.vu, umemchoma moto mikono mtoto wako, wakija majirani kukuhoji, unajitetea kuwa mimi ni familia huru. Utakuwa mwendawazimu hasa.
Uhuru wa Taifa, kama ilivyo wa mtu mmoja mmoja, una mipaka yake. Ukienda nje ya mipaka, Dunia itakuhoji na inaweza kukuadhibu. Mpumb.avu pekee ndiye akihojiwa kwa uovu, atajibu kuwa sisi ni Taifa huru. Uhuru wa Taifa unaishia katika kuwatendea haki watu wako, na siyo uhuru wa kutenda uovu.
Tunasubiri tamko la serikali ya Tanzania kuhusu Bunge la Ulaya kuikataa ripoti ya EESA 2021 na mapendekezo ya Bunge la Ulaya sasa ni wakati muafaka kuwa hatua zaidi zichukuliwe kuibana Tanzania baada ya kushindwa kubadilika toka October 2015 mpaka December 2021 badala ya njia walizokuwa wanatumia EU / Umoja wa Ulaya kupitia mazungumzo / dialogue kushindwa kuleta uhuru, haki na Maendeleo ya Watu kisiasa, kiuchumi na ki-utu.
Rita Laranjinha sio mbunge wa EUDownload
720
Moja kati ya mijadala iliyojadiliwa kwenye Bunge la Ulaya ni hali ya Tanzania hususan katika eneo la Demokrasia. Mbunge wa Bunge hilo David McAllister alionekana kupotosha Bunge hilo kwa makusudi baada ya kueleza mambo ambayo alionekana hana ufahamu nayo.
David McAllister, alipotosha kwamba viongozi wengi wa upinzani wamekamwta na kuwekwa katika magereza tofauti tofauti, wakati inafahamika kwamba tangu Rais Samia Samia Suluhu aingie madarakani kesi nyingi zilizokuwa zikipigiwa kelele na vyama vya upinzani zilifutwa ( Septemba 22,2021 Tundu Lissu alifutiwa kesi ya uchochezi, June 28,2021 Mdude Nyangali aliachiwa huru kisha akatoka na kwenda kumtukana Rais hadharani lakini yuko huru hadi leo, bila kusahau kuachiwa huru kwa Mashekhe wa Uamsho ambalo lilikuwa ombi la Wapinzani kwa miaka mingi).
David MacAllister ambaye amekiri kufahamiana na watu kadhaa ndani ya Tanzania, huku kukiwa na ushahidi kwamba Rafiki yake ni Tundu Lissu anayefahamika kwa kutunga uwongo mwingi dhidi ya Tanzania, alijiegemeza katika kesi ya Freeman Mbowe. Alitumia maneno mengi, lakini hiyo pekee ndiyo ilikuw ahoja yake, huku akilazimisha kwamba Rais wa Tanzania akiuke misingi ya Kidemokrasia na kuingilia uhuru wa Mahakama.
Hoja za kubumba za David McAllister ziligonga mwamba baada ya ukweli kuelezwa ndani ya Bunge hilo , baada ya ukweli wa mabo kusemwa.
Mbunge Rita Laranjinha alieleza kwamba, Rasis Samia Suluhu Hassan ameleta tumaini jipya ndani ya Tanzania katika kipindi kifupi alichoingia madarakani.
Tanzania imepongezwa kwa namna ilivyofaulu kubadilisha uongozi kwa amani na kufuata Katiba kufuatia kifoi cha Hayati Magufuli aliyekuwa Rais.
Lakini pia Bunge la Ulaya limeelezwa kuhusu hatua zinazochukuliwa na Rais Samia Suluhu katika kuimarisha Demokrasia, bila kusahau maamuzi yake ya kukabiliana na janga la Corona kwa njia za kisayansi zinazokubalika duniani kote.
Kung’ara huko kwa Tanzania katika Bunge la Ulaya ni muendelezo wa mema yanayoendelea kuchipua ndani ya Tanzania baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuifungua nchi kupitia diplomasia, na kulinda misingi ya demokrasia ambapo hivi sasa vyama vya siasa vinaendelea kufanya shughuli zao za ndani kwa uhuru mkubwa.
Weka speech yote acha kuhadaa watu hapa.. Ameanza kusifu lakini kazungumzia demokrasia inavyo banwa.Moja kati ya mijadala iliyojadiliwa kwenye Bunge la Ulaya ni hali ya Tanzania hususan katika eneo la Demokrasia. Mbunge wa Bunge hilo David McAllister alionekana kupotosha Bunge hilo kwa makusudi baada ya kueleza mambo ambayo alionekana hana ufahamu nayo.
David McAllister, alipotosha kwamba viongozi wengi wa upinzani wamekamwta na kuwekwa katika magereza tofauti tofauti, wakati inafahamika kwamba tangu Rais Samia Samia Suluhu aingie madarakani kesi nyingi zilizokuwa zikipigiwa kelele na vyama vya upinzani zilifutwa ( Septemba 22,2021 Tundu Lissu alifutiwa kesi ya uchochezi, June 28,2021 Mdude Nyangali aliachiwa huru kisha akatoka na kwenda kumtukana Rais hadharani lakini yuko huru hadi leo, bila kusahau kuachiwa huru kwa Mashekhe wa Uamsho ambalo lilikuwa ombi la Wapinzani kwa miaka mingi).
David MacAllister ambaye amekiri kufahamiana na watu kadhaa ndani ya Tanzania, huku kukiwa na ushahidi kwamba Rafiki yake ni Tundu Lissu anayefahamika kwa kutunga uwongo mwingi dhidi ya Tanzania, alijiegemeza katika kesi ya Freeman Mbowe. Alitumia maneno mengi, lakini hiyo pekee ndiyo ilikuw ahoja yake, huku akilazimisha kwamba Rais wa Tanzania akiuke misingi ya Kidemokrasia na kuingilia uhuru wa Mahakama.
Hoja za kubumba za David McAllister ziligonga mwamba baada ya ukweli kuelezwa ndani ya Bunge hilo , baada ya ukweli wa mabo kusemwa.
Mbunge Rita Laranjinha alieleza kwamba, Rasis Samia Suluhu Hassan ameleta tumaini jipya ndani ya Tanzania katika kipindi kifupi alichoingia madarakani.
Tanzania imepongezwa kwa namna ilivyofaulu kubadilisha uongozi kwa amani na kufuata Katiba kufuatia kifoi cha Hayati Magufuli aliyekuwa Rais.
Lakini pia Bunge la Ulaya limeelezwa kuhusu hatua zinazochukuliwa na Rais Samia Suluhu katika kuimarisha Demokrasia, bila kusahau maamuzi yake ya kukabiliana na janga la Corona kwa njia za kisayansi zinazokubalika duniani kote.
Kung’ara huko kwa Tanzania katika Bunge la Ulaya ni muendelezo wa mema yanayoendelea kuchipua ndani ya Tanzania baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuifungua nchi kupitia diplomasia, na kulinda misingi ya demokrasia ambapo hivi sasa vyama vya siasa vinaendelea kufanya shughuli zao za ndani kwa uhuru mkubwa.
Mungu wabariki Wazungu02 December 2021
Brussels, EU
HABARI TOKA
Makao ya Bunge la Ulaya / EP
Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya Nje wa Bunge la ulaya akataa ripoti iliyoonesha matumaini ya mabadiliko ktk utawala wa awamu ya sita
David James McAllister MEP ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya Bunge la Ulaya ametoa hotuba nzito na kuwalaumu wataalum wa Umoja wa Ulaya waliotoa ripoti mbele ya kamati hiyo ya Bunge yenye ushawishi mkubwa pamoja na kuaminika kusimamia values / desturi na makubaliano ya kuheshimu haki za binadamu na utawala bora .
Mwenyekiti David James McAllister MEP akakumbushia barua yake aliyoandika kuwaonya wataalamu wa Umoja wa Ulaya EEAS About the European External Action Service (EEAS) mwaka jana mwezi November 2020 kuhusu "kuubeba" utawala dhalimu usiofuata haki za msingi za kibinadamu. Akiwasilisha Ripoti, mmoja wa wataalamu wa EEAS Ms. Rita Laranjinha EEAS: High Representative Josep Borrell announces senior appointments | Press Club Brussels Europe alinukuu taarifa ya EEAS ilisema kuna maendeleo 'makubwa' nchini Tanzania mbali ya changamoto ndogo ndogo.
Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya Nje ya Bunge la Ulaya akakumbushia hicho kinachoitwa 'changamoto ndogo ndogo' kwa hakika ni kikubwa na hakipaswi kutupiliwa mbali ikiwa watu wanakamatwa ovyo, kutupwa mahabusu, kufunguliwa mashtaka, kutishiwa haki ya kuishi n.k mambo ambayo ndiyo msingi mkubwa wanaousimamia Umoja wa Ulaya wakati wa kutoa msaada kwa nchi yoyote ulimwenguni
Mwenyekiti wa Kamati hiyo ya Bunge la Ulaya amesema mfano wataalamu hao je wameweza kukutana ndani ya Tanzania na mwenyekiti wa CHADEMA au makamu mwenyekiti wa CHADEMA? Ambao ni viongozi wa chama kikuu cha upinzani, mmoja akiwa rumande kwa kesi ya kutunga huku mwingine akiwa uhamishoni Belgium halafu wataalamu hao wanasema ni changamoto ndogo ndogo?
Pia kuna raia wanaoshiriki siasa Tanzania wenye mtizamo mbadala walio wanachama, wapenzi na wafadhili wazalendo wa KiTanzania wanabaguliwa kushiriki ktk vyombo vya maamuzi ngazi zote, wanaoozea ktk jela mbalimbali Tanzania au biashara zao kuhujumiwa je hayo ni mambo madogo ? Amehoji David James McAllister mwenyekiti huyo makini wa kamati ya Bunge la ulaya.
Hivyo amewataka wataalamu hao waliotumwa na bunge la Umoja wa Ulaya kuwabebeleza watawala wa Tanzania kuacha ukandamizaji, kujitathmini kama wanataka kulimwa barua nyingine kali ya karipio kuhusu ripoti yao iliyozua maswali mengi ndani ya Bunge la Ulaya na miongoni mwa wabunge wa Bunge hilo la Ulaya mwaka 2020 na vivyo hivyo pia mwaka huu mwezi November 2021 inayojadiliwa na Kamati hiyo ya Bunge la Ulaya.
Mwenyekiti wa Kamati hiyo ya Bunge la ulaya amewataka wataalamu hao kuja na majibu mujarabu ya kuibana serikali ya Tanzania kwa kuwa inatumia misaada ya Umoja wa Ulaya itokanayo na kodi za raia wa nchi wanachama zinazoamini katika utawala bora, haki za binadamu kulindwa na demokrasia hivyo haiwezekani nchi viongozi wa nchi walio wakandamizaji kama wa Tanzania kufaidi jasho na nguvu wa walipa kodi wa Ulaya wanaoamini katika uhuru, haki na Maendeleo ya kweli ya watu ktk demokrasia inayozingatia utu.
amesema yeye na wajumbe wabunge wa kamati ya mambo ya nje wanajiandaa kupendekeza hatua "kali" dhidi ya utawala unaoendekeza udhalimu waziwazi na kwa kificho.
David James McAllister mwenyekiti wa Kamati Ya Bunge la Ulaya ya Mambo ya Nje anasema mbali na ripoti hiyo ya wataalamu wake pia wanapata habari kupitia balozi za Marekani, Canada , Uingereza na balozi wa nchi wanachama wanaohudhuria kesi namba 16 ya mwaka 2021 ya tuhuma nzito za kupikwa dhidi ya Mbowe na wenzie 3, na kesi hiyo ni kichekesho dhidi ya Umoja wa Ulaya na raia wa wa Umoja wa Ulaya ambao wote wanaamini ktk haki mbele ya sheria, demokrasia na kutokuwepo ugandamizaji wa haki za kibinadamu za aina yoyote.
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge anataka kuona wataalamu hao wanakuja na mkakati gani wa kuibana serikali ya Tanzania inapotaka misaada na mikopo, kwani sasa siyo muda tena wa maongezi / dialogue yasiyo na kikomo kuhusu hali hii mbaya ya kisiasa nchini Tanzania, bali ni wakati wa Umoja wa Ulaya kufanya matendo kwani muda wa maneno umekwisha, ili ujumbe uwaingie watawala dhalimu.
Nimesikiliza na kutizama Video, nimegundua mtoa thread hapo juu ni Mnafiki wa kiwango Cha Rami, ni sawa na muuaji!02 December 2021
Brussels, EU
HABARI TOKA
Makao ya Bunge la Ulaya / EP
Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya Nje wa Bunge la ulaya akataa ripoti iliyoonesha matumaini ya mabadiliko ktk utawala wa awamu ya sita
David James McAllister MEP ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya Bunge la Ulaya ametoa hotuba nzito na kuwalaumu wataalum wa Umoja wa Ulaya waliotoa ripoti mbele ya kamati hiyo ya Bunge yenye ushawishi mkubwa pamoja na kuaminika kusimamia values / desturi na makubaliano ya kuheshimu haki za binadamu na utawala bora .
Mwenyekiti David James McAllister MEP akakumbushia barua yake aliyoandika kuwaonya wataalamu wa Umoja wa Ulaya EEAS About the European External Action Service (EEAS) mwaka jana mwezi November 2020 kuhusu "kuubeba" utawala dhalimu usiofuata haki za msingi za kibinadamu. Akiwasilisha Ripoti, mmoja wa wataalamu wa EEAS Ms. Rita Laranjinha EEAS: High Representative Josep Borrell announces senior appointments | Press Club Brussels Europe alinukuu taarifa ya EEAS ilisema kuna maendeleo 'makubwa' nchini Tanzania mbali ya changamoto ndogo ndogo.
Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya Nje ya Bunge la Ulaya akakumbushia hicho kinachoitwa 'changamoto ndogo ndogo' kwa hakika ni kikubwa na hakipaswi kutupiliwa mbali ikiwa watu wanakamatwa ovyo, kutupwa mahabusu, kufunguliwa mashtaka, kutishiwa haki ya kuishi n.k mambo ambayo ndiyo msingi mkubwa wanaousimamia Umoja wa Ulaya wakati wa kutoa msaada kwa nchi yoyote ulimwenguni
Mwenyekiti wa Kamati hiyo ya Bunge la Ulaya amesema mfano wataalamu hao je wameweza kukutana ndani ya Tanzania na mwenyekiti wa CHADEMA au makamu mwenyekiti wa CHADEMA? Ambao ni viongozi wa chama kikuu cha upinzani, mmoja akiwa rumande kwa kesi ya kutunga huku mwingine akiwa uhamishoni Belgium halafu wataalamu hao wanasema ni changamoto ndogo ndogo?
Pia kuna raia wanaoshiriki siasa Tanzania wenye mtizamo mbadala walio wanachama, wapenzi na wafadhili wazalendo wa KiTanzania wanabaguliwa kushiriki ktk vyombo vya maamuzi ngazi zote, wanaoozea ktk jela mbalimbali Tanzania au biashara zao kuhujumiwa je hayo ni mambo madogo ? Amehoji David James McAllister mwenyekiti huyo makini wa kamati ya Bunge la ulaya.
Hivyo amewataka wataalamu hao waliotumwa na bunge la Umoja wa Ulaya kuwabebeleza watawala wa Tanzania kuacha ukandamizaji, kujitathmini kama wanataka kulimwa barua nyingine kali ya karipio kuhusu ripoti yao iliyozua maswali mengi ndani ya Bunge la Ulaya na miongoni mwa wabunge wa Bunge hilo la Ulaya mwaka 2020 na vivyo hivyo pia mwaka huu mwezi November 2021 inayojadiliwa na Kamati hiyo ya Bunge la Ulaya.
Mwenyekiti wa Kamati hiyo ya Bunge la ulaya amewataka wataalamu hao kuja na majibu mujarabu ya kuibana serikali ya Tanzania kwa kuwa inatumia misaada ya Umoja wa Ulaya itokanayo na kodi za raia wa nchi wanachama zinazoamini katika utawala bora, haki za binadamu kulindwa na demokrasia hivyo haiwezekani nchi viongozi wa nchi walio wakandamizaji kama wa Tanzania kufaidi jasho na nguvu wa walipa kodi wa Ulaya wanaoamini katika uhuru, haki na Maendeleo ya kweli ya watu ktk demokrasia inayozingatia utu.
amesema yeye na wajumbe wabunge wa kamati ya mambo ya nje wanajiandaa kupendekeza hatua "kali" dhidi ya utawala unaoendekeza udhalimu waziwazi na kwa kificho.
David James McAllister mwenyekiti wa Kamati Ya Bunge la Ulaya ya Mambo ya Nje anasema mbali na ripoti hiyo ya wataalamu wake pia wanapata habari kupitia balozi za Marekani, Canada , Uingereza na balozi wa nchi wanachama wanaohudhuria kesi namba 16 ya mwaka 2021 ya tuhuma nzito za kupikwa dhidi ya Mbowe na wenzie 3, na kesi hiyo ni kichekesho dhidi ya Umoja wa Ulaya na raia wa wa Umoja wa Ulaya ambao wote wanaamini ktk haki mbele ya sheria, demokrasia na kutokuwepo ugandamizaji wa haki za kibinadamu za aina yoyote.
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge anataka kuona wataalamu hao wanakuja na mkakati gani wa kuibana serikali ya Tanzania inapotaka misaada na mikopo, kwani sasa siyo muda tena wa maongezi / dialogue yasiyo na kikomo kuhusu hali hii mbaya ya kisiasa nchini Tanzania, bali ni wakati wa Umoja wa Ulaya kufanya matendo kwani muda wa maneno umekwisha, ili ujumbe uwaingie watawala dhalimu.
Nimesikiliza na kutizama Video, nimegundua mtoa thread hapo juu ni Mnafiki wa kiwango Cha Rami, ni sawa na muuaji!
Psychological Operations in Digital Political Campaigns: Assessing Cambridge Analytica's Psychographic Profiling and Targeting
Vian Bakir
Original ResearchThis paper explores whether psychographic profiling and targeting married with big data and deployed in digital political campaigns is a form of psychological operations (“psy-ops”). Informed by studies on deception, coercion, and influence The Age of Mass Deception: Manipulation and Control in Digital Communications
Who Wants to Be a Slave? The Technocratic Convergence of Humans and Data
Daniel Broudy and Makoto Arakaki
Tujiulize kwanini nchi ya Tanzania inayotambua lugha rasmi mbili yaani ya Kiswahili na Kiingereza, vipi hatuna idhaa yoyote ya serikali au binafsi inayorusha matangazo, mijadala, midahalo, entertainment, michezo kwa lugha ya Kiingereza ?How can language be used as a means of power?
Having language means that you are able to communicate in such a way that others understand you. ... Power grows when you can communicate for more reasons to more people. The more powerful your language, the more independent you become, and the more you can contribute to the community The Age of Mass Deception: Manipulation and Control in Digital Communications