All TRUTH
JF-Expert Member
- Nov 20, 2011
- 5,453
- 2,569
Acha WivuSo ndiyo itakuwa nini au kuna faida yoyote?
Basi wewe kawe mgeni kwenye hiyo siku
Sent from my Moto E (4) using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha WivuSo ndiyo itakuwa nini au kuna faida yoyote?
Hata Hivyo Huyu Kafika Hapo Kwa Emergency Tu Wala Hakutarajia Kabisa. Najiuliza Hivi Uwaga Wakikutana Rais Wa JMT na Rais Wa BMZ Uwaga wanaongea Nn?Katika kasoro zote za muungano hili la Tanganyika kutokuwa na kiongozi tumebugi,inakuwaje Mzanzibari awaongoze Watanganyika katika sherehe za uhuru wao wakati yeye sio Mtanganyika?
Unaambiwa anakuja Uhuru KenyattaKatika kasoro zote za muungano hili la Tanganyika kutokuwa na kiongozi tumebugi,inakuwaje Mzanzibari awaongoze Watanganyika katika sherehe za uhuru wao wakati yeye sio Mtanganyika?
Ilisema Mungu akipenda, lolote likitokea fresh tuAna Uhakika atafika Hyo December 9?
Hatuna rais.Rais Samia amesema amemuomba Rais Uhuru Kenyata wa Kenya kuwa mgeni rasmi katika sherehe ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania hapi tarehe 09/12/2021.
Rais Kenyatta amekubali ombi hilo.
===
Rais Samia Suluhu: Mwisho ni kwa taarifa yenu waandishi wa habari, mwaka huu ifikapo mwezi December, Tanzania tunatimiza miaka 60 ya uhuru wetu na hivyo nimetoa mwaliko rasmi kwa Rais Uhuru Kenyatta awe mgeni rasmi katika maadhimisho yale ya miaka 60 ya uhuru wetu.
Kazi Iendelee!
Hata Mimi CCM nimechukizwa na hili.Chadema watachukizwa na hili
Hata mimi nimevurugwa kidogo katika hili...kivipi?Yani kamwalika Rais wa Kenya awe mgeni rasmi (the most important guest at an occasion) kwenye Sherehe ya Uhuru wa Tanganyika?? Hii protokali imeanza lini ndugu zangu😳😳😳😳
Suluhu kwenye suluhu ya mambo na Uhuru kwenye Uhuru .mambo HadoUhuru kwenye uhuru....imekaa sawa
Naona umemaindi mkuu, si unamkubali lakini...hadi umemuweka kama avatar yako.
Imeanza leo,Yani kamwalika Rais wa Kenya awe mgeni rasmi (the most important guest at an occasion) kwenye Sherehe ya Uhuru wa Tanganyika?? Hii protokali imeanza lini ndugu zangu😳😳😳
kwa sababu walitaka Magufuli aongezewe muda, ushaelewa?Wakati Wajumbe Wa CCM Wanataka Hayati Magufuli aongezewe mda ulihoji Kama Hatafika Huo Mwaka.
Mkuu naomba maoni yako kuhusu rais wa nchi A kuwa mgeni rasmi wa nchi B ilhali rais wa nchi B yupo. Imekaaje sawa hii kiitifaki?kwa sababu walitaka Magufuli aongezewe muda, ushaelewa?
Huyo rais Hassan asipokuwapo December, mualiko kwa rais Kenyatta haukomi kwa sababu yeye hayupo.
Mualiko umetolewa kitaasisi, haujatolewa kibinafsi.
Ila ugombea urais wa Magufuli ulikuwa wake Magufuli, hakuna John Pombe Magufuli yuleyule mwingine wa kugombea urais baada ya John Pombe Magufuli kufariki.
Hapo utaona, kuhoji habari za kumuongezea mtu muhula wa urais miaka mitano ijayo ni jambo linaloweza kuhojiwa kwa msingi wa "mna uhakika gani atakuwepo?"
Lakini mualiko wa rais Hassan kwa rais Kenyatta December hauwezi kuhojiwa kwa msingi wa "mna uhakika rais Hassan atakuwepo?".
Kwa sababu hata asipokuwepo, kutakuwa na rais mwingine.
Umelinganisha mambo ambayo hayana muunganiko wa moja kwa moja kimantiki.
Hatusimami kuplan kwa sababu eti tutakufa, watu waache woga. Mwendazake kaenda kwa style yake wengine Mola anajua siku ya kufa.kwa sababu walitaka Magufuli aongezewe muda, ushaelewa?
Huyo rais Hassan asipokuwapo December, mualiko kwa rais Kenyatta haukomi kwa sababu yeye hayupo.
Mualiko umetolewa kitaasisi, haujatolewa kibinafsi.
Ila ugombea urais wa Magufuli ulikuwa wake Magufuli, hakuna John Pombe Magufuli yuleyule mwingine wa kugombea urais baada ya John Pombe Magufuli kufariki.
Hapo utaona, kuhoji habari za kumuongezea mtu muhula wa urais miaka mitano ijayo ni jambo linaloweza kuhojiwa kwa msingi wa "mna uhakika gani atakuwepo?"
Lakini mualiko wa rais Hassan kwa rais Kenyatta December hauwezi kuhojiwa kwa msingi wa "mna uhakika rais Hassan atakuwepo?".
Kwa sababu hata asipokuwepo, kutakuwa na rais mwingine.
Umelinganisha mambo ambayo hayana muunganiko wa moja kwa moja kimantiki.
Why asiwe shangazi yako mkuu?
TetetetetHatusimami kuplan kwa sababu eti tutakufa, watu waache woga. Mwendazake kaenda kwa style yake wengine Mola anajua siku ya kufa.
Hata kesho huna uhakika nayo sasa utaacha kufanya shughuli zako?!?Ana Uhakika atafika Hyo December 9?
Si lazima rais awe mgeni rasmi katika kila hafla, na si tu rais wa nchi A anaweza kuwa mgeni rasmi katika hafla ya nchi B wakati rais wa nchi B yupo, katika scenario nyingine unaweza kukuta rais wa nchi A na wa nchi B wapo katika hafla ambayo mgeni rasmi ni mtu mwingine tu, pengine raia tu, wa nchi A, B au hata C.Mkuu naomba maoni yako kuhusu rais wa nchi A kuwa mgeni rasmi wa nchi B ilhali rais wa nchi B yupo. Imekaaje sawa hii kiitifaki?
Ku plan tulishaplan tukaweka ukomo wa urais wa miaka 10.Hatusimami kuplan kwa sababu eti tutakufa, watu waache woga. Mwendazake kaenda kwa style yake wengine Mola anajua siku ya kufa.