pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Kwani uwongo? Hamuifanyi na kuiendesha inchi hii kikiristo?Nyie siku zote mna inferiority complex. Huwa hamtaki kukosolewa. Hilo tunalifahamu si geni. Nadhani ni kukosa Elimu na uelewa. Mtu akikosolewa mnakimbilia kwenye Dini. Waulize wenzie akina nani walikuwa wanamkosoa Magufuli na mpaka wanakamatwa kama hujaambiwa nitakuambia. Wakristo huwa hawana unafiq. Nyie wanafiq sana na wengi ni maamuma. Hiyo ndo shida yenu. Hata mtu akiwa kilaza as long as ni dini yenu mna mbeba na wengine wenye akili wakikosoa mnakimbilia kusema ni sababu ya dini. Ni ukilaza tu unawasumbua.😁
Wimbo wa taifa ni wa kwaya, mapumziko ya mwisho wa wiki ni siku za ibada za wakristo, (kwanini isiwe ijumaa?), waislam wametaka mahakama ya kadhi nyie wakristo ndio mumeipinga nk nk nk nk
Yapo mengi tu,
Hii inchi inabidi waislamu wajipange na wadai haki na uhuru wao kutoka kwa wakristo, na dalili inaonyesha hilo linakuja sio mda mrefu