Rais Samia anadai wakati tukio la kubomoka jengo Kariakoo linatokea alikuwa tayari safarini kule Brazil. Kaamua kutudanganya?

Rais Samia anadai wakati tukio la kubomoka jengo Kariakoo linatokea alikuwa tayari safarini kule Brazil. Kaamua kutudanganya?

Nyie siku zote mna inferiority complex. Huwa hamtaki kukosolewa. Hilo tunalifahamu si geni. Nadhani ni kukosa Elimu na uelewa. Mtu akikosolewa mnakimbilia kwenye Dini. Waulize wenzie akina nani walikuwa wanamkosoa Magufuli na mpaka wanakamatwa kama hujaambiwa nitakuambia. Wakristo huwa hawana unafiq. Nyie wanafiq sana na wengi ni maamuma. Hiyo ndo shida yenu. Hata mtu akiwa kilaza as long as ni dini yenu mna mbeba na wengine wenye akili wakikosoa mnakimbilia kusema ni sababu ya dini. Ni ukilaza tu unawasumbua.😁
Kwani uwongo? Hamuifanyi na kuiendesha inchi hii kikiristo?

Wimbo wa taifa ni wa kwaya, mapumziko ya mwisho wa wiki ni siku za ibada za wakristo, (kwanini isiwe ijumaa?), waislam wametaka mahakama ya kadhi nyie wakristo ndio mumeipinga nk nk nk nk
Yapo mengi tu,
Hii inchi inabidi waislamu wajipange na wadai haki na uhuru wao kutoka kwa wakristo, na dalili inaonyesha hilo linakuja sio mda mrefu
 
Elewa maana ya neno “safarini” haliko direct Kama unavyowaza wewe, mfano: Mimi nina Visa ya kwenda USA, nina ticket ya February, nipo Tanzania, naweza sema nipo safarini na tukiingia kwenye ubishani nikakushinda
 
Kwani uwongo? Hamuifanyi na kuiendesha inchi hii kikiristo?

Wimbo wa taifa ni wa kwaya, mapumziko ya mwisho wa wiki ni siku za ibada za wakristo, (kwanini isiwe ijumaa?), waislam wametaka mahakama ya kadhi nyie wakristo ndio mumeipinga nk nk nk nk
Yapo mengi tu,
Hii inchi inabidi waislamu wajipange na wadai haki na uhuru wao kutoka kwa wakristo, na dalili inaonyesha hilo linakuja sio mda mrefu
1. Andika wimbo wa taifa wa kaswida
2. Unaweza amua kupumzika Ijumaa hukatazwi kisha ukafanya kazi Jumamosi na Jumapili
3. Mahakama ya kadhi hamjakatazwa.mmeambiwa mjilipie wenyewe hamtaki.si ubwege huo?yaani unataka mahakama kisha unataka ulipiwe na makafiri. We una akili?

Hakuna sehemu Duniani Waisilamu wana Uhuru. Sababu kifungo chao kipo kwenye akili. So kila mahala wanaamini wanaonewa. Ni inferiority complex.
 
IMG-20241120-WA0033.jpg
 
Back
Top Bottom