Rais Samia anafanya kazi hadi nahemewa

Rais Samia anafanya kazi hadi nahemewa

Rashda Zunde

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2022
Posts
204
Reaction score
231
Watanzania wanapaswa kuendelea kumuunga mkono Rais Samia Suluhu, kwani amekuwa akifanya kazi kubwa ya kutekeleza Dira ya Nchi ya maendeleo kwa watu wa matabaka yote nchini.

Aliwahi kusema "Tanzania inajengwa kama nyumba, kila awamu inaongeza tofali, ikiingia awamu nyingine ukiona tofali lililowekwa kidogo na kokoto hazikuwa madhubuti unaongeza kokoto nyumba yetu ipande juu na iwe nzuri zaidi."

Hakika sio hadithi ya kusimuliwa kama walivyokuwa wakisimulia bibi na babu bali macho yanaona, ujenzi wa mradi wa reli ya kisasa (SGR), kipande cha kutoka Isaka- Mwanza umefikia 22.6, huku ujenzi wa reli hiyo kutoka Dar es Salaam kupitia Tabora- Mwanza- Tabora- KIgoma unaendelea kwa kasi. Watanzania wanapaswa kuamini kuwa huduma hii itagusa uchumi wa kila Mtanzania ndani na nje ya nchi.

Haya ni baadhi ya mafanikio ambayo wananchi wanapaswa kuendelea kumwamini na kumuunga mkono Rais Samia wa sababu anawapelekea vyema na matunda ya keki ya taifa wanafaidi wote.

Neema na fanaka tele zipo katika kila sekta, heko Rais Samia Suluhu kazi iendelee Watanzania wanajivunia makubwa unayozidi kuyafanya kwao.
 
Rais Samia wa sababu anawapelekea vyema na matunda ya keki ya taifa wanafaidi wote.

Umejizima data
 
Watanzania wanapaswa kuendelea kumuunga mkono Rais Samia Suluhu, kwani amekuwa akifanya kazi kubwa ya kutekeleza Dira ya Nchi ya maendeleo kwa watu wa matabaka yote nchini.

Aliwahi kusema "Tanzania inajengwa kama nyumba, kila awamu inaongeza tofali, ikiingia awamu nyingine ukiona tofali lililowekwa kidogo na kokoto hazikuwa madhubuti unaongeza kokoto nyumba yetu ipande juu na iwe nzuri zaidi."

Hakika sio hadithi ya kusimuliwa kama walivyokuwa wakisimulia bibi na babu bali macho yanaona, ujenzi wa mradi wa reli ya kisasa (SGR), kipande cha kutoka Isaka- Mwanza umefikia 22.6, huku ujenzi wa reli hiyo kutoka Dar es Salaam kupitia Tabora- Mwanza- Tabora- KIgoma unaendelea kwa kasi. Watanzania wanapaswa kuamini kuwa huduma hii itagusa uchumi wa kila Mtanzania ndani na nje ya nchi.

Haya ni baadhi ya mafanikio ambayo wananchi wanapaswa kuendelea kumwamini na kumuunga mkono Rais Samia wa sababu anawapelekea vyema na matunda ya keki ya taifa wanafaidi wote.

Neema na fanaka tele zipo katika kila sekta, heko Rais Samia Suluhu kazi iendelee Watanzania wanajivunia makubwa unayozidi kuyafanya kwao.
ni kweli kazi anafanya
 
Japokuwa sijawahi kukipenda chama cha 'MAMBUZI' lakini naungana na wewe kuwa kazi kubwa inafabyika ktk kuifikisha Nchi ya Tanzania kule Kaanani.. Samia analeta Suluhu kwa Watanzania
 
Watanzania wanapaswa kuendelea kumuunga mkono Rais Samia Suluhu, kwani amekuwa akifanya kazi kubwa ya kutekeleza Dira ya Nchi ya maendeleo kwa watu wa matabaka yote nchini.

Aliwahi kusema "Tanzania inajengwa kama nyumba, kila awamu inaongeza tofali, ikiingia awamu nyingine ukiona tofali lililowekwa kidogo na kokoto hazikuwa madhubuti unaongeza kokoto nyumba yetu ipande juu na iwe nzuri zaidi."

Hakika sio hadithi ya kusimuliwa kama walivyokuwa wakisimulia bibi na babu bali macho yanaona, ujenzi wa mradi wa reli ya kisasa (SGR), kipande cha kutoka Isaka- Mwanza umefikia 22.6, huku ujenzi wa reli hiyo kutoka Dar es Salaam kupitia Tabora- Mwanza- Tabora- KIgoma unaendelea kwa kasi. Watanzania wanapaswa kuamini kuwa huduma hii itagusa uchumi wa kila Mtanzania ndani na nje ya nchi.

Haya ni baadhi ya mafanikio ambayo wananchi wanapaswa kuendelea kumwamini na kumuunga mkono Rais Samia wa sababu anawapelekea vyema na matunda ya keki ya taifa wanafaidi wote.

Neema na fanaka tele zipo katika kila sekta, heko Rais Samia Suluhu kazi iendelee Watanzania wanajivunia makubwa unayozidi kuyafanya kwao.
Kwa kumlinganisha na yule "satan incarnate" ni ukweli usiotia shaka kuwa Mama amejitahidi kuirudisha nchi katika hali ya amani na mshikamano kwa wananchi wote.
 
Watanzania wanapaswa kuendelea kumuunga mkono Rais Samia Suluhu, kwani amekuwa akifanya kazi kubwa ya kutekeleza Dira ya Nchi ya maendeleo kwa watu wa matabaka yote nchini.

Aliwahi kusema "Tanzania inajengwa kama nyumba, kila awamu inaongeza tofali, ikiingia awamu nyingine ukiona tofali lililowekwa kidogo na kokoto hazikuwa madhubuti unaongeza kokoto nyumba yetu ipande juu na iwe nzuri zaidi."

Hakika sio hadithi ya kusimuliwa kama walivyokuwa wakisimulia bibi na babu bali macho yanaona, ujenzi wa mradi wa reli ya kisasa (SGR), kipande cha kutoka Isaka- Mwanza umefikia 22.6, huku ujenzi wa reli hiyo kutoka Dar es Salaam kupitia Tabora- Mwanza- Tabora- KIgoma unaendelea kwa kasi. Watanzania wanapaswa kuamini kuwa huduma hii itagusa uchumi wa kila Mtanzania ndani na nje ya nchi.

Haya ni baadhi ya mafanikio ambayo wananchi wanapaswa kuendelea kumwamini na kumuunga mkono Rais Samia wa sababu anawapelekea vyema na matunda ya keki ya taifa wanafaidi wote.

Neema na fanaka tele zipo katika kila sekta, heko Rais Samia Suluhu kazi iendelee Watanzania wanajivunia makubwa unayozidi kuyafanya kwao.
Hakika nakuunga mkono Rais Samia Suluhu anaijenga Tanzania yenye maendeleo ambayo itakua na fursa za kuzidi
 
Watanzania wanapaswa kuendelea kumuunga mkono Rais Samia Suluhu, kwani amekuwa akifanya kazi kubwa ya kutekeleza Dira ya Nchi ya maendeleo kwa watu wa matabaka yote nchini.

Aliwahi kusema "Tanzania inajengwa kama nyumba, kila awamu inaongeza tofali, ikiingia awamu nyingine ukiona tofali lililowekwa kidogo na kokoto hazikuwa madhubuti unaongeza kokoto nyumba yetu ipande juu na iwe nzuri zaidi."

Hakika sio hadithi ya kusimuliwa kama walivyokuwa wakisimulia bibi na babu bali macho yanaona, ujenzi wa mradi wa reli ya kisasa (SGR), kipande cha kutoka Isaka- Mwanza umefikia 22.6, huku ujenzi wa reli hiyo kutoka Dar es Salaam kupitia Tabora- Mwanza- Tabora- KIgoma unaendelea kwa kasi. Watanzania wanapaswa kuamini kuwa huduma hii itagusa uchumi wa kila Mtanzania ndani na nje ya nchi.

Haya ni baadhi ya mafanikio ambayo wananchi wanapaswa kuendelea kumwamini na kumuunga mkono Rais Samia wa sababu anawapelekea vyema na matunda ya keki ya taifa wanafaidi wote.

Neema na fanaka tele zipo katika kila sekta, heko Rais Samia Suluhu kazi iendelee Watanzania wanajivunia makubwa unayozidi kuyafanya kwao.

Kuhemewa ndiyo kufwanya au kufanya je mkuu?
 
Kweli adui wa mwanamke ni mwanamke.
Acha maneno ya kanga kwenye national affairs sijawahi kuwa shoga yake mama Samia ila Mimi ni mwananchi ninaeongizwa na serikali ya Rais SSH. 😏
 
Yule shetani aliharibu taifa letu. Asante mwenyezi Mungu kwa kutuondolea muovu yule
 
Back
Top Bottom