Rais Samia anafanya kweli. Mashirika ya Umma kuwa ya Umma kiukweli

Rais Samia anafanya kweli. Mashirika ya Umma kuwa ya Umma kiukweli

Mama Samia anafanya kweli, hayumbishwi hata kidogo. Hakuna tena longolongo ya kuitwa "mashirika ya umma" huku yanabaki kuwa kichaka cha wapigaji wachache. Mama amesema Arusha, mashirika ya umma yawe ya umma kiukweli, Watanzania wauziwe hisa na wawe na kauli nayo.

Kama mama Samia alivyofanya TPA mwaka 2021 ,alifumuwa fumuwa bodi ya wakurugenzi, wengine wapo mashakani wanaweza kufungwa kwa wizi na ubadhirifu. Ndivyo anafanya kwa mashirika mengine yote ya umma na kiserikali. Kasema wazi "ukiuwa shirika, ufe nalo hukohuko, ukija kwangu nakuuwa mimi na sitanii".


Serikali hatimaye yaachilia mashirika 28 yanayomilikiwa na serikali

d23bde4f-fd87-4e25-9218-8e9a593d3e68-780x470.jpg

ARUSHA: Jumla ya makampuni 28 ya serikali likiwemo Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) yataachiwa huru wiki hii, afisa mwandamizi wa serikali alisema Jumamosi jijini Arusha.
Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu amemweleza Rais Samia Suluhu Hassan katika kikao kazi kilichowakutanisha Mwenyekiti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma mkoani Arusha kuwa makampuni hayo sasa yatakuwa huru kutokana na mchango wa Serikali.
Taasisi ambazo zote hazijafichuliwa ni pamoja na Vyuo 13 vya Elimu ya Juu vya Umma. Mchechu alisema maendeleo hayo mapya ni matokeo ya mabadiliko yanayoendelea katika taasisi za umma nchini kote.
“Tumefikia muafaka na Wenyeviti na Wakurugenzi wa vyombo hivi. Tunataka kuona makampuni mengi yanafanya kazi kwa uhuru,” alisema.
Mchechu aliendelea kubainisha kuwa baadhi ya taasisi hata hivyo zimeomba kuongezewa muda wa hadi miaka miwili ili kuwa huru kikamilifu.
Taarifa kutoka Ofisi ya Msajili wa Hazina zinaonyesha kuwa Rais anatarajiwa kutoa tuzo kwa baadhi ya makampuni yaliyofanya vizuri katika mwaka wa fedha 2022/23.

Chanzo: State finally frees 28 state-owned enterprises - Daily News
Ukiua shirika ukienda kwake naye anakuua
Duh kumbe hivo
 
Mama Samia anafanya kweli, hayumbishwi hata kidogo. Hakuna tena longolongo ya kuitwa "mashirika ya umma" huku yanabaki kuwa kichaka cha wapigaji wachache. Mama amesema Arusha, mashirika ya umma yawe ya umma kiukweli, Watanzania wauziwe hisa na wawe na kauli nayo.

Kama mama Samia alivyofanya TPA mwaka 2021 ,alifumuwa fumuwa bodi ya wakurugenzi, wengine wapo mashakani wanaweza kufungwa kwa wizi na ubadhirifu. Ndivyo anafanya kwa mashirika mengine yote ya umma na kiserikali. Kasema wazi "ukiuwa shirika, ufe nalo hukohuko, ukija kwangu nakuuwa mimi na sitanii".


Serikali hatimaye yaachilia mashirika 28 yanayomilikiwa na serikali

d23bde4f-fd87-4e25-9218-8e9a593d3e68-780x470.jpg

ARUSHA: Jumla ya makampuni 28 ya serikali likiwemo Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) yataachiwa huru wiki hii, afisa mwandamizi wa serikali alisema Jumamosi jijini Arusha.
Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu amemweleza Rais Samia Suluhu Hassan katika kikao kazi kilichowakutanisha Mwenyekiti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma mkoani Arusha kuwa makampuni hayo sasa yatakuwa huru kutokana na mchango wa Serikali.
Taasisi ambazo zote hazijafichuliwa ni pamoja na Vyuo 13 vya Elimu ya Juu vya Umma. Mchechu alisema maendeleo hayo mapya ni matokeo ya mabadiliko yanayoendelea katika taasisi za umma nchini kote.
“Tumefikia muafaka na Wenyeviti na Wakurugenzi wa vyombo hivi. Tunataka kuona makampuni mengi yanafanya kazi kwa uhuru,” alisema.
Mchechu aliendelea kubainisha kuwa baadhi ya taasisi hata hivyo zimeomba kuongezewa muda wa hadi miaka miwili ili kuwa huru kikamilifu.
Taarifa kutoka Ofisi ya Msajili wa Hazina zinaonyesha kuwa Rais anatarajiwa kutoa tuzo kwa baadhi ya makampuni yaliyofanya vizuri katika mwaka wa fedha 2022/23.

Chanzo: State finally frees 28 state-owned enterprises - Daily News
Kwa hili nipo pamoja na mama, na hatajutia kumtumia Mchechu kwa nafasi aliyempa. Alifanya vizuri kule NHC japo Magu alimtungua kwa sababu hakupeleka miradi ya NHC Chatu bali alikomaa na mijengo ya town. Ila atakae koroga anyongwe kweli na mapema, sio kusubiri mpaka shirika lifa nae
 
Mama Samia anafanya kweli, hayumbishwi hata kidogo. Hakuna tena longolongo ya kuitwa "mashirika ya umma" huku yanabaki kuwa kichaka cha wapigaji wachache. Mama amesema Arusha, mashirika ya umma yawe ya umma kiukweli, Watanzania wauziwe hisa na wawe na kauli nayo.

Kama mama Samia alivyofanya TPA mwaka 2021 ,alifumuwa fumuwa bodi ya wakurugenzi, wengine wapo mashakani wanaweza kufungwa kwa wizi na ubadhirifu. Ndivyo anafanya kwa mashirika mengine yote ya umma na kiserikali. Kasema wazi "ukiuwa shirika, ufe nalo hukohuko, ukija kwangu nakuuwa mimi na sitanii".


Serikali hatimaye yaachilia mashirika 28 yanayomilikiwa na serikali

d23bde4f-fd87-4e25-9218-8e9a593d3e68-780x470.jpg

ARUSHA: Jumla ya makampuni 28 ya serikali likiwemo Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) yataachiwa huru wiki hii, afisa mwandamizi wa serikali alisema Jumamosi jijini Arusha.
Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu amemweleza Rais Samia Suluhu Hassan katika kikao kazi kilichowakutanisha Mwenyekiti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma mkoani Arusha kuwa makampuni hayo sasa yatakuwa huru kutokana na mchango wa Serikali.
Taasisi ambazo zote hazijafichuliwa ni pamoja na Vyuo 13 vya Elimu ya Juu vya Umma. Mchechu alisema maendeleo hayo mapya ni matokeo ya mabadiliko yanayoendelea katika taasisi za umma nchini kote.
“Tumefikia muafaka na Wenyeviti na Wakurugenzi wa vyombo hivi. Tunataka kuona makampuni mengi yanafanya kazi kwa uhuru,” alisema.
Mchechu aliendelea kubainisha kuwa baadhi ya taasisi hata hivyo zimeomba kuongezewa muda wa hadi miaka miwili ili kuwa huru kikamilifu.
Taarifa kutoka Ofisi ya Msajili wa Hazina zinaonyesha kuwa Rais anatarajiwa kutoa tuzo kwa baadhi ya makampuni yaliyofanya vizuri katika mwaka wa fedha 2022/23.

Chanzo: State finally frees 28 state-owned enterprises - Daily News
Tulijua tu ni mbinu ya kuachia uchumi wa nchi mikononi kwa wahuni. Hivi shirika kama TPDC ni kampuni ya biashara au ni shirika la serikali la usimamizi na kuendeleza mambo ya mafuta. Serikali inaliachia ili iweje. Mali za umma chini ya shirika inakuaje? Vyuo vya umma vinaachiwa ili iweje. Je navyo ni makampuni ya biashara. Hivi hii serikali inayotaka kugawa kila kitu tutaweza kuiacha hadi uchaguzi 2025?..Siwatakua wamegawana mali zote za nchi hii?
Yaani mama kwa uhakika ni janga . Bila shaka maadui wanafanya kazi kwa spidi kali kuitwaa nchi kipindi hiki cha mama.
 
Mama Samia anafanya kweli, hayumbishwi hata kidogo. Hakuna tena longolongo ya kuitwa "mashirika ya umma" huku yanabaki kuwa kichaka cha wapigaji wachache. Mama amesema Arusha, mashirika ya umma yawe ya umma kiukweli, Watanzania wauziwe hisa na wawe na kauli nayo.

Kama mama Samia alivyofanya TPA mwaka 2021 ,alifumuwa fumuwa bodi ya wakurugenzi, wengine wapo mashakani wanaweza kufungwa kwa wizi na ubadhirifu. Ndivyo anafanya kwa mashirika mengine yote ya umma na kiserikali. Kasema wazi "ukiuwa shirika, ufe nalo hukohuko, ukija kwangu nakuuwa mimi na sitanii".


Serikali hatimaye yaachilia mashirika 28 yanayomilikiwa na serikali

d23bde4f-fd87-4e25-9218-8e9a593d3e68-780x470.jpg


ARUSHA: Jumla ya makampuni 28 ya serikali likiwemo Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) yataachiwa huru wiki hii, afisa mwandamizi wa serikali alisema Jumamosi jijini Arusha.

Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu amemweleza Rais Samia Suluhu Hassan katika kikao kazi kilichowakutanisha Mwenyekiti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma mkoani Arusha kuwa makampuni hayo sasa yatakuwa huru kutokana na mchango wa Serikali.

Taasisi ambazo zote hazijafichuliwa ni pamoja na Vyuo 13 vya Elimu ya Juu vya Umma. Mchechu alisema maendeleo hayo mapya ni matokeo ya mabadiliko yanayoendelea katika taasisi za umma nchini kote.

“Tumefikia muafaka na Wenyeviti na Wakurugenzi wa vyombo hivi. Tunataka kuona makampuni mengi yanafanya kazi kwa uhuru,” alisema.

Mchechu aliendelea kubainisha kuwa baadhi ya taasisi hata hivyo zimeomba kuongezewa muda wa hadi miaka miwili ili kuwa huru kikamilifu.

Taarifa kutoka Ofisi ya Msajili wa Hazina zinaonyesha kuwa Rais anatarajiwa kutoa tuzo kwa baadhi ya makampuni yaliyofanya vizuri katika mwaka wa fedha 2022/23.

Chanzo: State finally frees 28 state-owned enterprises - Daily News
Mnapenda sana porojo
 
Mama Samia anafanya kweli, hayumbishwi hata kidogo. Hakuna tena longolongo ya kuitwa "mashirika ya umma" huku yanabaki kuwa kichaka cha wapigaji wachache. Mama amesema Arusha, mashirika ya umma yawe ya umma kiukweli, Watanzania wauziwe hisa na wawe na kauli nayo.

Kama mama Samia alivyofanya TPA mwaka 2021 ,alifumuwa fumuwa bodi ya wakurugenzi, wengine wapo mashakani wanaweza kufungwa kwa wizi na ubadhirifu. Ndivyo anafanya kwa mashirika mengine yote ya umma na kiserikali. Kasema wazi "ukiuwa shirika, ufe nalo hukohuko, ukija kwangu nakuuwa mimi na sitanii".


Serikali hatimaye yaachilia mashirika 28 yanayomilikiwa na serikali

d23bde4f-fd87-4e25-9218-8e9a593d3e68-780x470.jpg

ARUSHA: Jumla ya makampuni 28 ya serikali likiwemo Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) yataachiwa huru wiki hii, afisa mwandamizi wa serikali alisema Jumamosi jijini Arusha.
Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu amemweleza Rais Samia Suluhu Hassan katika kikao kazi kilichowakutanisha Mwenyekiti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma mkoani Arusha kuwa makampuni hayo sasa yatakuwa huru kutokana na mchango wa Serikali.
Taasisi ambazo zote hazijafichuliwa ni pamoja na Vyuo 13 vya Elimu ya Juu vya Umma. Mchechu alisema maendeleo hayo mapya ni matokeo ya mabadiliko yanayoendelea katika taasisi za umma nchini kote.
“Tumefikia muafaka na Wenyeviti na Wakurugenzi wa vyombo hivi. Tunataka kuona makampuni mengi yanafanya kazi kwa uhuru,” alisema.
Mchechu aliendelea kubainisha kuwa baadhi ya taasisi hata hivyo zimeomba kuongezewa muda wa hadi miaka miwili ili kuwa huru kikamilifu.
Taarifa kutoka Ofisi ya Msajili wa Hazina zinaonyesha kuwa Rais anatarajiwa kutoa tuzo kwa baadhi ya makampuni yaliyofanya vizuri katika mwaka wa fedha 2022/23.

Chanzo: State finally frees 28 state-owned enterprises - Daily News
Bandari zetu zitaendelea kuwa za umma au za DPw bila kikomo kwa kadri ya IGA?Tuanzie hapo kwanza manake naona tunachanganyana sasa!
 
Duuuuh kweli waraka wa TEC ni balaa .
Leo FaizaFoxy kadata Hadi anaandika kikongo 😂😂😂😂
Mleta Uzi hicho ulichoandika ndo mlivyofundishwa huko shuleni kwenu 🧑‍🦽🧑‍🦽
Anajiitaga pedagogist at heart kumbe tapeli kweli kweli
 
Watanzania wauziwe hisa na wawe na kauli nayo.
Huu utakuwa ni wizi mwingine mchana kweupe!! "watanzania " mabepari wanaenda kupewa ulaji!! hayatakuwa ya umma tena bali yatamilikiwa na "watanzania mabepari" na hao watakuwa na sauti nayo!! Msechu ni mtanzania bepari!! huu ukweli lazima osemwe. Lakini pia mabepari wa nje watawatumia watanzania vibaraka kama mawakala wa kumiliki mashirika ya umma kupitia hisa zao!! TUKATAE watu binafsi kumiliki hisa kwenye mashirika ya umma yanayofanya vizuri.
 
Back
Top Bottom