Rais Samia anafanya kweli. Mashirika ya Umma kuwa ya Umma kiukweli

Rais Samia anafanya kweli. Mashirika ya Umma kuwa ya Umma kiukweli

Kasi ya maendeleo anayofanya Rais samia kwa miaka hii miwili tuu haijawahi kufanywa na Raisi yeyote wa nchi hii tangu tupate uhuru. Zunguka vijijini ndio utaelewa namaanisha nini.
 
Kasi ya maendeleo anayofanya Rais samia kwa miaka hii miwili tuu haijawahi kufanywa na Raisi yeyote wa nchi hii tangu tupate uhuru. Zunguka vijijini ndio utaelewa namaanisha nini.
hebu tueleze, amefanya kitu gani kipya, ukiondoa vile alivyoanzisha magufuli au alivyovifanya magufuli. kuwa honest tu.
 
hebu tueleze, amefanya kitu gani kipya, ukiondoa vile alivyoanzisha magufuli au alivyovifanya magufuli. kuwa honest tu.
Simple tu, nipo maeneo yanayozalisha ufuta, mwaka huu tumeuza kwa bei ambayo hatujawahi kuifikia hata mwaka mmoja tsh 4100 kwa kilo moja ya ufuta. Pili tupo katika msimu wa mbaazi, tunauza kwa bei ya kihistoria tsh 2100 kwa kilo na tunatarajia itapanda zaidi minada ijayo(kipindi cha jiwe ilishuka thamani mpk tulikuwa tunauza kwa tsh 100, mpk wengine wakakata tamaa ya kulima hili zao). Tatu, kwa trend hii ya bei, tunatarajia makubwa zaidi kwenye korosho. Hapo sjaelezea bei za mahindi, maharage na nafaka zingine.

Mama ameleta maana halisi ya kilimo biashara. Yaani wangoni huwaambii kitu kuhusu mama Dk Samia.

Bado, sijagusia ajira lukuki alizozimwaga, kupandisha madaraja, nyongeza ya kudibua ya mishahara. Miradi ya afya, elimu,barabara,maji, umeme vijijini.
 
Simple tu, nipo maeneo yanayozalisha ufuta, mwaka huu tumeuza kwa bei ambayo hatujawahi kuifikia hata mwaka mmoja tsh 4100 kwa kilo moja ya ufuta. Pili tupo katika msimu wa mbaazi, tunauza kwa bei ya kihistoria tsh 2100 kwa kilo na tunatarajia itapanda zaidi minada ijayo(kipindi cha jiwe ilishuka thamani mpk tulikuwa tunauza kwa tsh 100, mpk wengine wakakata tamaa ya kulima hili zao). Tatu, kwa trend hii ya bei, tunatarajia makubwa zaidi kwenye korosho. Hapo sjaelezea bei za mahindi, maharage na nafaka zingine.

Mama ameleta maana halisi ya kilimo biashara. Yaani wangoni huwaambii kitu kuhusu mama Dk Samia.

Bado, sijagusia ajira lukuki alizozimwaga, kupandisha madaraja, nyongeza ya kudibua ya mishahara. Miradi ya afya, elimu,barabara,maji, umeme vijijini.
Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu
 
Simple tu, nipo maeneo yanayozalisha ufuta, mwaka huu tumeuza kwa bei ambayo hatujawahi kuifikia hata mwaka mmoja tsh 4100 kwa kilo moja ya ufuta. Pili tupo katika msimu wa mbaazi, tunauza kwa bei ya kihistoria tsh 2100 kwa kilo na tunatarajia itapanda zaidi minada ijayo(kipindi cha jiwe ilishuka thamani mpk tulikuwa tunauza kwa tsh 100, mpk wengine wakakata tamaa ya kulima hili zao). Tatu, kwa trend hii ya bei, tunatarajia makubwa zaidi kwenye korosho. Hapo sjaelezea bei za mahindi, maharage na nafaka zingine.

Mama ameleta maana halisi ya kilimo biashara. Yaani wangoni huwaambii kitu kuhusu mama Dk Samia.

Bado, sijagusia ajira lukuki alizozimwaga, kupandisha madaraja, nyongeza ya kudibua ya mishahara. Miradi ya afya, elimu,barabara,maji, umeme vijijini.
Haters hawapendi kusikia habari hizi.
 
Mama Samia anafanya kweli, hayumbishwi hata kidogo. Hakuna tena longolongo ya kuitwa "mashirika ya umma" huku yanabaki kuwa kichaka cha wapigaji wachache. Mama amesema Arusha, mashirika ya umma yawe ya umma kiukweli, Watanzania wauziwe hisa na wawe na kauli nayo.

Kama mama Samia alivyofanya TPA mwaka 2021 ,alifumuwa fumuwa bodi ya wakurugenzi, wengine wapo mashakani wanaweza kufungwa kwa wizi na ubadhirifu. Ndivyo anafanya kwa mashirika mengine yote ya umma na kiserikali. Kasema wazi "ukiuwa shirika, ufe nalo hukohuko, ukija kwangu nakuuwa mimi na sitanii".


Serikali hatimaye yaachilia mashirika 28 yanayomilikiwa na serikali

d23bde4f-fd87-4e25-9218-8e9a593d3e68-780x470.jpg


ARUSHA: Jumla ya makampuni 28 ya serikali likiwemo Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) yataachiwa huru wiki hii, afisa mwandamizi wa serikali alisema Jumamosi jijini Arusha.

Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu amemweleza Rais Samia Suluhu Hassan katika kikao kazi kilichowakutanisha Mwenyekiti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma mkoani Arusha kuwa makampuni hayo sasa yatakuwa huru kutokana na mchango wa Serikali.

Taasisi ambazo zote hazijafichuliwa ni pamoja na Vyuo 13 vya Elimu ya Juu vya Umma. Mchechu alisema maendeleo hayo mapya ni matokeo ya mabadiliko yanayoendelea katika taasisi za umma nchini kote.

“Tumefikia muafaka na Wenyeviti na Wakurugenzi wa vyombo hivi. Tunataka kuona makampuni mengi yanafanya kazi kwa uhuru,” alisema.

Mchechu aliendelea kubainisha kuwa baadhi ya taasisi hata hivyo zimeomba kuongezewa muda wa hadi miaka miwili ili kuwa huru kikamilifu.

Taarifa kutoka Ofisi ya Msajili wa Hazina zinaonyesha kuwa Rais anatarajiwa kutoa tuzo kwa baadhi ya makampuni yaliyofanya vizuri katika mwaka wa fedha 2022/23.

Chanzo: State finally frees 28 state-owned enterprises - Daily News
Tatizo yanaongozwa kisiasa na makada wanaoteuliwa kiitikadi.
 
Back
Top Bottom