Hiyo ndiyo inazidi kuwaumiza.Mama kaja na reform and rebuilding bado maaskofu hawamwelewi tu.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Faiza pamoja na kwamba mimi nikija zenji utaniita chogo, hauachi kujadili mambo ya Tanganyika, ninyi hamuwezi kuishi bila Tanganyika.
Unadhani hatujui?Unaota.
Yani habari yooote hii uliyoisoma ulichoweza kukichambua ni mume?Tafuta mume dada itakusaidia
Ndio Waambie hakuna Bandari Kavu nyingine ataruhusu huyo Symbion DP World πππ₯Sasa hiyo tumpe mara ngapi? Unaota?
Ukiua shirika ukienda kwake naye anakuuaMama Samia anafanya kweli, hayumbishwi hata kidogo. Hakuna tena longolongo ya kuitwa "mashirika ya umma" huku yanabaki kuwa kichaka cha wapigaji wachache. Mama amesema Arusha, mashirika ya umma yawe ya umma kiukweli, Watanzania wauziwe hisa na wawe na kauli nayo.
Kama mama Samia alivyofanya TPA mwaka 2021 ,alifumuwa fumuwa bodi ya wakurugenzi, wengine wapo mashakani wanaweza kufungwa kwa wizi na ubadhirifu. Ndivyo anafanya kwa mashirika mengine yote ya umma na kiserikali. Kasema wazi "ukiuwa shirika, ufe nalo hukohuko, ukija kwangu nakuuwa mimi na sitanii".
Serikali hatimaye yaachilia mashirika 28 yanayomilikiwa na serikali
ARUSHA: Jumla ya makampuni 28 ya serikali likiwemo Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) yataachiwa huru wiki hii, afisa mwandamizi wa serikali alisema Jumamosi jijini Arusha.
Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu amemweleza Rais Samia Suluhu Hassan katika kikao kazi kilichowakutanisha Mwenyekiti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma mkoani Arusha kuwa makampuni hayo sasa yatakuwa huru kutokana na mchango wa Serikali.
Taasisi ambazo zote hazijafichuliwa ni pamoja na Vyuo 13 vya Elimu ya Juu vya Umma. Mchechu alisema maendeleo hayo mapya ni matokeo ya mabadiliko yanayoendelea katika taasisi za umma nchini kote.
βTumefikia muafaka na Wenyeviti na Wakurugenzi wa vyombo hivi. Tunataka kuona makampuni mengi yanafanya kazi kwa uhuru,β alisema.
Mchechu aliendelea kubainisha kuwa baadhi ya taasisi hata hivyo zimeomba kuongezewa muda wa hadi miaka miwili ili kuwa huru kikamilifu.
Taarifa kutoka Ofisi ya Msajili wa Hazina zinaonyesha kuwa Rais anatarajiwa kutoa tuzo kwa baadhi ya makampuni yaliyofanya vizuri katika mwaka wa fedha 2022/23.
Chanzo: State finally frees 28 state-owned enterprises - Daily News
Kwa hili nipo pamoja na mama, na hatajutia kumtumia Mchechu kwa nafasi aliyempa. Alifanya vizuri kule NHC japo Magu alimtungua kwa sababu hakupeleka miradi ya NHC Chatu bali alikomaa na mijengo ya town. Ila atakae koroga anyongwe kweli na mapema, sio kusubiri mpaka shirika lifa naeMama Samia anafanya kweli, hayumbishwi hata kidogo. Hakuna tena longolongo ya kuitwa "mashirika ya umma" huku yanabaki kuwa kichaka cha wapigaji wachache. Mama amesema Arusha, mashirika ya umma yawe ya umma kiukweli, Watanzania wauziwe hisa na wawe na kauli nayo.
Kama mama Samia alivyofanya TPA mwaka 2021 ,alifumuwa fumuwa bodi ya wakurugenzi, wengine wapo mashakani wanaweza kufungwa kwa wizi na ubadhirifu. Ndivyo anafanya kwa mashirika mengine yote ya umma na kiserikali. Kasema wazi "ukiuwa shirika, ufe nalo hukohuko, ukija kwangu nakuuwa mimi na sitanii".
Serikali hatimaye yaachilia mashirika 28 yanayomilikiwa na serikali
ARUSHA: Jumla ya makampuni 28 ya serikali likiwemo Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) yataachiwa huru wiki hii, afisa mwandamizi wa serikali alisema Jumamosi jijini Arusha.
Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu amemweleza Rais Samia Suluhu Hassan katika kikao kazi kilichowakutanisha Mwenyekiti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma mkoani Arusha kuwa makampuni hayo sasa yatakuwa huru kutokana na mchango wa Serikali.
Taasisi ambazo zote hazijafichuliwa ni pamoja na Vyuo 13 vya Elimu ya Juu vya Umma. Mchechu alisema maendeleo hayo mapya ni matokeo ya mabadiliko yanayoendelea katika taasisi za umma nchini kote.
βTumefikia muafaka na Wenyeviti na Wakurugenzi wa vyombo hivi. Tunataka kuona makampuni mengi yanafanya kazi kwa uhuru,β alisema.
Mchechu aliendelea kubainisha kuwa baadhi ya taasisi hata hivyo zimeomba kuongezewa muda wa hadi miaka miwili ili kuwa huru kikamilifu.
Taarifa kutoka Ofisi ya Msajili wa Hazina zinaonyesha kuwa Rais anatarajiwa kutoa tuzo kwa baadhi ya makampuni yaliyofanya vizuri katika mwaka wa fedha 2022/23.
Chanzo: State finally frees 28 state-owned enterprises - Daily News
Tulijua tu ni mbinu ya kuachia uchumi wa nchi mikononi kwa wahuni. Hivi shirika kama TPDC ni kampuni ya biashara au ni shirika la serikali la usimamizi na kuendeleza mambo ya mafuta. Serikali inaliachia ili iweje. Mali za umma chini ya shirika inakuaje? Vyuo vya umma vinaachiwa ili iweje. Je navyo ni makampuni ya biashara. Hivi hii serikali inayotaka kugawa kila kitu tutaweza kuiacha hadi uchaguzi 2025?..Siwatakua wamegawana mali zote za nchi hii?Mama Samia anafanya kweli, hayumbishwi hata kidogo. Hakuna tena longolongo ya kuitwa "mashirika ya umma" huku yanabaki kuwa kichaka cha wapigaji wachache. Mama amesema Arusha, mashirika ya umma yawe ya umma kiukweli, Watanzania wauziwe hisa na wawe na kauli nayo.
Kama mama Samia alivyofanya TPA mwaka 2021 ,alifumuwa fumuwa bodi ya wakurugenzi, wengine wapo mashakani wanaweza kufungwa kwa wizi na ubadhirifu. Ndivyo anafanya kwa mashirika mengine yote ya umma na kiserikali. Kasema wazi "ukiuwa shirika, ufe nalo hukohuko, ukija kwangu nakuuwa mimi na sitanii".
Serikali hatimaye yaachilia mashirika 28 yanayomilikiwa na serikali
ARUSHA: Jumla ya makampuni 28 ya serikali likiwemo Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) yataachiwa huru wiki hii, afisa mwandamizi wa serikali alisema Jumamosi jijini Arusha.
Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu amemweleza Rais Samia Suluhu Hassan katika kikao kazi kilichowakutanisha Mwenyekiti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma mkoani Arusha kuwa makampuni hayo sasa yatakuwa huru kutokana na mchango wa Serikali.
Taasisi ambazo zote hazijafichuliwa ni pamoja na Vyuo 13 vya Elimu ya Juu vya Umma. Mchechu alisema maendeleo hayo mapya ni matokeo ya mabadiliko yanayoendelea katika taasisi za umma nchini kote.
βTumefikia muafaka na Wenyeviti na Wakurugenzi wa vyombo hivi. Tunataka kuona makampuni mengi yanafanya kazi kwa uhuru,β alisema.
Mchechu aliendelea kubainisha kuwa baadhi ya taasisi hata hivyo zimeomba kuongezewa muda wa hadi miaka miwili ili kuwa huru kikamilifu.
Taarifa kutoka Ofisi ya Msajili wa Hazina zinaonyesha kuwa Rais anatarajiwa kutoa tuzo kwa baadhi ya makampuni yaliyofanya vizuri katika mwaka wa fedha 2022/23.
Chanzo: State finally frees 28 state-owned enterprises - Daily News
Imepona kwenye mradi wa shopping mallsUnadhani hatujui?
Mnapenda sana porojoMama Samia anafanya kweli, hayumbishwi hata kidogo. Hakuna tena longolongo ya kuitwa "mashirika ya umma" huku yanabaki kuwa kichaka cha wapigaji wachache. Mama amesema Arusha, mashirika ya umma yawe ya umma kiukweli, Watanzania wauziwe hisa na wawe na kauli nayo.
Kama mama Samia alivyofanya TPA mwaka 2021 ,alifumuwa fumuwa bodi ya wakurugenzi, wengine wapo mashakani wanaweza kufungwa kwa wizi na ubadhirifu. Ndivyo anafanya kwa mashirika mengine yote ya umma na kiserikali. Kasema wazi "ukiuwa shirika, ufe nalo hukohuko, ukija kwangu nakuuwa mimi na sitanii".
Serikali hatimaye yaachilia mashirika 28 yanayomilikiwa na serikali
ARUSHA: Jumla ya makampuni 28 ya serikali likiwemo Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) yataachiwa huru wiki hii, afisa mwandamizi wa serikali alisema Jumamosi jijini Arusha.
Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu amemweleza Rais Samia Suluhu Hassan katika kikao kazi kilichowakutanisha Mwenyekiti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma mkoani Arusha kuwa makampuni hayo sasa yatakuwa huru kutokana na mchango wa Serikali.
Taasisi ambazo zote hazijafichuliwa ni pamoja na Vyuo 13 vya Elimu ya Juu vya Umma. Mchechu alisema maendeleo hayo mapya ni matokeo ya mabadiliko yanayoendelea katika taasisi za umma nchini kote.
βTumefikia muafaka na Wenyeviti na Wakurugenzi wa vyombo hivi. Tunataka kuona makampuni mengi yanafanya kazi kwa uhuru,β alisema.
Mchechu aliendelea kubainisha kuwa baadhi ya taasisi hata hivyo zimeomba kuongezewa muda wa hadi miaka miwili ili kuwa huru kikamilifu.
Taarifa kutoka Ofisi ya Msajili wa Hazina zinaonyesha kuwa Rais anatarajiwa kutoa tuzo kwa baadhi ya makampuni yaliyofanya vizuri katika mwaka wa fedha 2022/23.
Chanzo: State finally frees 28 state-owned enterprises - Daily News
Bandari zetu zitaendelea kuwa za umma au za DPw bila kikomo kwa kadri ya IGA?Tuanzie hapo kwanza manake naona tunachanganyana sasa!Mama Samia anafanya kweli, hayumbishwi hata kidogo. Hakuna tena longolongo ya kuitwa "mashirika ya umma" huku yanabaki kuwa kichaka cha wapigaji wachache. Mama amesema Arusha, mashirika ya umma yawe ya umma kiukweli, Watanzania wauziwe hisa na wawe na kauli nayo.
Kama mama Samia alivyofanya TPA mwaka 2021 ,alifumuwa fumuwa bodi ya wakurugenzi, wengine wapo mashakani wanaweza kufungwa kwa wizi na ubadhirifu. Ndivyo anafanya kwa mashirika mengine yote ya umma na kiserikali. Kasema wazi "ukiuwa shirika, ufe nalo hukohuko, ukija kwangu nakuuwa mimi na sitanii".
Serikali hatimaye yaachilia mashirika 28 yanayomilikiwa na serikali
ARUSHA: Jumla ya makampuni 28 ya serikali likiwemo Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) yataachiwa huru wiki hii, afisa mwandamizi wa serikali alisema Jumamosi jijini Arusha.
Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu amemweleza Rais Samia Suluhu Hassan katika kikao kazi kilichowakutanisha Mwenyekiti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma mkoani Arusha kuwa makampuni hayo sasa yatakuwa huru kutokana na mchango wa Serikali.
Taasisi ambazo zote hazijafichuliwa ni pamoja na Vyuo 13 vya Elimu ya Juu vya Umma. Mchechu alisema maendeleo hayo mapya ni matokeo ya mabadiliko yanayoendelea katika taasisi za umma nchini kote.
βTumefikia muafaka na Wenyeviti na Wakurugenzi wa vyombo hivi. Tunataka kuona makampuni mengi yanafanya kazi kwa uhuru,β alisema.
Mchechu aliendelea kubainisha kuwa baadhi ya taasisi hata hivyo zimeomba kuongezewa muda wa hadi miaka miwili ili kuwa huru kikamilifu.
Taarifa kutoka Ofisi ya Msajili wa Hazina zinaonyesha kuwa Rais anatarajiwa kutoa tuzo kwa baadhi ya makampuni yaliyofanya vizuri katika mwaka wa fedha 2022/23.
Chanzo: State finally frees 28 state-owned enterprises - Daily News
Hakuna anayejuaBandari zetu zitaendelea kuwa za umma au za DPw bila kikomo kwa kadri ya IGA?Tuanzie hapo kwanza manake naona tunachanganyana sasa!
Hiyo ndiyo njia ya hao MACHAWA kujipatia makate wao wa kila sikuMnapenda sana porojo
Anajiitaga pedagogist at heart kumbe tapeli kweli kweliDuuuuh kweli waraka wa TEC ni balaa .
Leo FaizaFoxy kadata Hadi anaandika kikongo ππππ
Mleta Uzi hicho ulichoandika ndo mlivyofundishwa huko shuleni kwenu π§βπ¦½π§βπ¦½
Warning kwa watu wazima? You must be joking.Hiyo ndiyo inazidi kuwaumiza.
Ile warning ya jana kama watu hawajaielewa, kazi kwao.
Fayza Fox ni kichaaWarning kwa watu wazima? You must be joking.
SanaaaFayza Fox ni kichaa
Huu utakuwa ni wizi mwingine mchana kweupe!! "watanzania " mabepari wanaenda kupewa ulaji!! hayatakuwa ya umma tena bali yatamilikiwa na "watanzania mabepari" na hao watakuwa na sauti nayo!! Msechu ni mtanzania bepari!! huu ukweli lazima osemwe. Lakini pia mabepari wa nje watawatumia watanzania vibaraka kama mawakala wa kumiliki mashirika ya umma kupitia hisa zao!! TUKATAE watu binafsi kumiliki hisa kwenye mashirika ya umma yanayofanya vizuri.Watanzania wauziwe hisa na wawe na kauli nayo.