Rais Samia anahitaji 'physiological hearing' na art of 'public speaking'

psychological hearing ndo nini...? mi nikajua healing!
Kenzy shukrani sana , ni typing error sikfanya cross checking wakati wa tittle, mods natumain bwataweka sasa healing badala ya hearing, shukrani πŸ™πŸ™
 
Atajijua mwenyewe, kinacho matter ni kwamba hapendwi. Apambane na hali yake.
 
Ukifika kale mbufu.

Uzi mzuri.
 
wewe ndivyo ulivyoelewa. Mimi nimeelewa bado anayataka madaraka ya Tanganyika km ilivyo sasa. Hutamsikia Mzanzibar akiongelea hili labda bibi akose kiti.
 
Naungana na andiko lako mkuu, ila kwa mambo ya kuombeana hapana aisee, binfsi nitaliombea taifa sio mtu period
 
Mwendazake aliwatukana zaidi ya hayo.

Mkapa aliwatukana zaidi ya hapo

Labda JK tuu ndio sijawahi sikia tusi.lake labda vichambo vya hapa na pale.

In short mbwa wapumbavu wapo
 
2025 simuoni kwenye mfumo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…