Rais Samia anahitaji 'physiological hearing' na art of 'public speaking'

Utakuwa kwenye ndoto. Raise Samia ndie kugombea wa chama tawala labda abadilishe gia angani yeye mwenyewe. Mpaka sasa kwenye chama hatujamwona badala yake.
Hata kuandika vijimistari vichache tu hamjui halafu mnataka mtuongoze hivi hiyo mikataba mtaweza kuindika kweli?
 
Utakuwa kwenye ndoto. Raise Samia ndie kugombea wa chama tawala labda abadilishe gia angani yeye mwenyewe. Mpaka sasa kwenye chama hatujamwona badala yake.
Et Raise 😂😂😂😂 rudi shule
 
Unabweka ukiwa wapi dada
 
Serikali ipo imara. Rais Samia Suluhu Hassan yupo imara na nchi ipo imara. Kelele za chura siku zote zipo hasa wakati wa masika.
 
Huyo ni mbwa mzee, hafundishiki
 
Ashauriwe maana ataaibisha kiti chake kwa maneno ya kejeli na vijembe kama vya watoto wa mtaani. Pia ashauriwe apumzike ifikapo 2025 na akabithi Nchi kwa wengine waiendeleze.
 

"art of 'public speaking", hii kwa ulaya ndiyo namba moja na unakuwa na mtaalam wa kukufunda, huku sisi hatuhitaji kwani wananchi hawana thamani mbele ya viongozi, na wananchi wenyewe chochote utakachotapika watakushangilia.​

 

"art of 'public speaking", hii kwa ulaya ndiyo namba moja na unakuwa na mtaalam wa kukufunda, huku sisi hatuhitaji kwani wananchi hawana thamani mbele ya viongozi, na wananchi wenyewe chochote utakachotapika watakushangilia.​

Aksante sana kwa input mkuu!
 
Utakuwa kwenye ndoto. Raise Samia ndie kugombea wa chama tawala labda abadilishe gia angani yeye mwenyewe. Mpaka sasa kwenye chama hatujamwona badala yake.
Hamna ndoto kasha prove failure ataenda Kugombea bjwao Zanzibar
 
Enzi zetu mimama kama hii tulikuwa tunaiita pashkuna
 
Huyu Mama inaelekea sasa kama pumzi za kuongoza zinaanza kukata!😎
Angekuwa si mbinafsi, mwakani angeacha kugombea tu. Atatupa kazi ngumu sana ya kumnadi na kuiba kura
 
Watanzania hata tuletewe malaika bado tutalaumu tu
 
Unakusudia physiological au psychological? Hivyo ni vitu viwili tofauti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…