Rais Samia anajenga Tanzania ya viwanda kwa vitendo

Rais Samia anajenga Tanzania ya viwanda kwa vitendo

Mama anaendelea kuupiga mwingi kwenye viwanda

Screenshot_20220327-172335.png


Screenshot_20220327-172245.png
 
Kama mnampenda mama sana na mnamtakia mema; aachane na mapenzi na wakina January na Makonda kwani bila kuwa na umeme wa uhakika na usalama wa mali zao,hivyo viwanda vitafungwa kabla havijaanza kuzalisha !! Kwa wawekezaji wanajali faida na sio sura ya Rais wa nchi!!! Msijidanganye!
Peleka ujinga wako na chuki zako za kindezi huko.

Wewe ndio uachane nao.
 
Peleka ujinga wako na chuki zako za kindezi huko.

Wewe ndio uachane nao.
Tatizo lenu nyie mboga mboga hamtaki kusikiliza ukweli mnataka kuimba mapambio tu yatayompeleka SSH asikotegemea!! Sawa sisi mtasema tuna chuki za kindezi lakini kama Samia ataendelea kuteua Wanawake wenzie na Vijana kwa kuaminishwa kuwa hao ndio watakaomuwezesha kuitoa Tanzania, ajue ameingizwa choo cha KIUME!! Yafuatayo ndiyo anayotakiwa kufanya katika kuteua wasaidizi wake bila ya kupendelea jinsia wala umri; Kwanza kabisa anaowateua wawe ni watu INTELLIGENT, Pili wanatakiwa wawe wenye maadili mema na mwisho wawe ni watu wenye UTHUBUTU wa kuweza kufanya maamuzi.

Rais akiwapata wasaidizi wenye hivyo vigezo anatakiwa awawezeshe kwa kuwapa vitendea kazi vitakavyowawezesha kufikia malengo nchi iliyojiwekea!! Bila kufanya hivyo mtakuwa mnatwanga maji kwenye kinu ;na kila siku kuwaumiza wananchi kwa kuongeza TOZO zisizowaletea maendeleo.

Hamtaki kusikia msichokipenda hivyo mtasema ni chuki; hiyo sio chuki ni mapenzi ya nchi yetu nyie vipofu!
 
Tatizo lenu nyie mboga mboga hamtaki kusikiliza ukweli mnataka kuimba mapambio tu yatayompeleka SSH asikotegemea!! Sawa sisi mtasema tuna chuki za kindezi lakini kama Samia ataendelea kuteua Wanawake wenzie na Vijana kwa kuaminishwa kuwa hao ndio watakaomuwezesha kuitoa Tanzania, ajue ameingizwa choo cha KIUME!! Yafuatayo ndiyo anayotakiwa kufanya katika kuteua wasaidizi wake bila ya kupendelea jinsia wala umri; Kwanza kabisa anaowateua wawe ni watu INTELLIGENT, Pili wanatakiwa wawe wenye maadili mema na mwisho wawe ni watu wenye UTHUBUTU wa kuweza kufanya maamuzi.

Rais akiwapata wasaidizi wenye hivyo vigezo anatakiwa awawezeshe kwa kuwapa vitendea kazi vitakavyowawezesha kufikia malengo nchi iliyojiwekea!! Bila kufanya hivyo mtakuwa mnatwanga maji kwenye kinu ;na kila siku kuwaumiza wananchi kwa kuongeza TOZO zisizowaletea maendeleo.

Hamtaki kusikia msichokipenda hivyo mtasema ni chuki; hiyo sio chuki ni mapenzi ya nchi yetu nyie vipofu!
Hakuna ukweli bali ni chuki na umbea

Hakuna ukweli mwingine tofauti na huu hapa 👇

Screenshot_20220310-070512.png


Screenshot_20220310-191102.png
 
Heko wadau..

Rais wa Tanzania mh.Samia Suluhu Hassan anajenga Tanzania ya viwanda kwa vitendo na bila makelele ..

Kwa mda mfupi Sana amevutia maelfu ya wawekezaji katika maeneo mbalimbali hususani viwanda .

Tulikuwa na Rais ambaye alikuwa anajigamba Sana Kuwa Rais wa viwanda lakini ndani ya miaka yote 6 hakuna viwanda vya maana ambavyo vilijengwa zaidi ya vyerehani .

Kwa Wakulima wanalia Lia Sana kwa bei za mbolea kuwa juu ila wasijari mwaka ujao bei zitashuka kwa vile viwanda viwili vikubwa vya mbolea vinajengwa Dodoma na Mtwara.

Sasa Tanzania ya viwanda inajengwa na Samia.Hongera Rais wangu kwa Kazi nzuri [emoji116]

View attachment 2026387

View attachment 2026388

View attachment 2026389

View attachment 2026390

View attachment 2026391

View attachment 2026392
Tatizo ni chuki ndio inayokusumbua kana kwamba miaka yote hiyo viwanda havijajengwa,
 
Tatizo ni chuki ndio inayokusumbua kana kwamba miaka yote hiyo viwanda havijajengwa,

Were mwanamke , you are missing the point. Hawa wameonesha nia ya kuja kuwekeza lakini kama mtaendelea na sera za kijinga ambazo hazitawahakikishia umeme wa uhakika kuendesha viwanda vyao na Pia kama sera zenu hazitawahakikishia kupata faida na usalama wa wao wenyewe na mali zao; they will not hesitate kufungasha na kwenda ambako watapata faida ya kuridhisha!! Hawavutiwi na sura za viongozi bali stability ya Nchi na profit friendly policies!! Nyie mboga mboga kumbukeni hizo fedha wanazowekea sio zao ni za watu waliowekeza kwenye hizo Kampuni na wanategeme return on their investments!

Ni hatari kwa Nchi kama maendeleo yake yatategemea mtu badala ya taasisi imara ambazo zina uhalaii wa katiba ya Nchi!! Maendeleo ya Nchi yasitegemee utashi wa mtu na ndiyo maana mlikuwa mnamuimbia sifa Magufuli na sasa ametwaliwa mnaendeklea ujinga ule ule wa kutegemea utashi wa mtu badala ya strong institutions!!
 
Awamu ya 6 inaonyesha matokea siko kupepesa macho na porojo..

Safi Sana 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220829-120723.png
    Screenshot_20220829-120723.png
    65.1 KB · Views: 1
  • Screenshot_20220829-121350.png
    Screenshot_20220829-121350.png
    117.3 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220826-200415.png
    Screenshot_20220826-200415.png
    119 KB · Views: 1
Back
Top Bottom