Rais Samia anajiharibia mwenyewe

Kila Ijumaa makanisani watu walikesha kumuombea maisha marefu lakini Mungu aliyakataa maombi yao.
Nyie hamtaweza📌🔨.
 
madaraka na vyeo ni vitu vya kupita.
Alikuwepo Adolf Hitler, firaun na majeshi yao yenye nguvu,leo wapo wapi?
ishi na watu vizuri
 
Duniani ni sehemu ya kupita hata uwe na uwezo wa kuua watu , ipo siku na wewe utakufa tu hata uishi miaka 200.
 
Inavyoonekana Samia ni muumini wa ma chawa jambo ambalo ki uhalisia wanamdanganya kuliko kumweleza ukweli.

Kwa yanayoendelea Nchini, ni wazi wapo wapuuzi wanamdanganya apuuze.

Rais Samia anajiharibia mwenyewe kwa kujitakia.
Kuna mtu/watu wamemzunguka na kuteka mawazo yake. Anafikiria na kutenda kama chawa!
 
Inavyoonekana Samia ni muumini wa ma chawa jambo ambalo ki uhalisia wanamdanganya kuliko kumweleza ukweli.

Kwa yanayoendelea Nchini, ni wazi wapo wapuuzi wanamdanganya apuuze.

Rais Samia anajiharibia mwenyewe kwa kujitakia.
Unatafuta kulogwa?
 
Huyu hatapita kwenye kura za maoni ndani ya chama chake....na kama akipitishwa atakua na wakati mgumu sana kushinda uchaguzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…