Rais Samia anajua vyema kuicheza Diplomasia ya Uchumi na kuziingia Siasa za Kimataifa

Rais Samia anajua vyema kuicheza Diplomasia ya Uchumi na kuziingia Siasa za Kimataifa

the horse

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2011
Posts
652
Reaction score
442
255714837373_status_33ffb747dd0048b49689a093a3c2c774.jpg
Rais Samia Suluhu Hassan anajua sana kuzicheza Siasa za Kimataifa na kuiendea Diplomasia ya Uchumi na ndio maana kwa muda mfupi wa Urais wake ameweza kuzishawishi Jumuiya nyingi za Kimataifa na Mataifa mbalimbali kuiamini Tanzania na kuleta Uwekezaji na mitaji mikubwa kwenye Nchi yetu.

Tanzania sasa inapata Uwekezaji kila kukicha na kutoka kila Taifa na ndio maana kwa uhodari na utaalamu wake mkubwa wa kuzifanya Siasa za Kimataifa, Kamisheni ya Umoja wa Ulaya (EC) imeamua kuipa Tanzania Fedha za Msaada kabisa na za bure Takribani Trilioni 1.15 kwa ajili ya kugharamia miradi mbalimbali ya maendeleo.

Kwa namna Rais Samia alivyo hodari na anavyojua kushawishi Mataifa kuja nchini kuwekeza na namna Uwekezaji mkubwa unavyozidi kuingia nchini, Nchi hii itapata mafanikio makubwa sana kimaendeleo, uchumi na uwekezaji. Mpaka sasa kwa muda mfupi wa Miezi 11, Tanzania imeshuhudia Uwekezaji mkubwa kuingia nchini ambao haukuwahi kutokea. Zaidi ya Dola za Marekani Bilioni 3.5 zimeingia nchini kuwekeza kwenye miradi zaidi ya 90 kwa muda huu tu mfupi wa uongozi wake. Eneo la Diplomasia ya Uchumi ni eneo muhimu sana kwa maendeleo ya Nchi yetu na Rais Samia amelipa nguvu kubwa sana kupitia mashirikiano haya na Mataifa mengine. Linalipa.

Bwanku M Bwanku
bwanku55@gmail.com
 
View attachment 2124493Rais Samia Suluhu Hassan anajua sana kuzicheza Siasa za Kimataifa na kuiendea Diplomasia ya Uchumi na ndio maana kwa muda mfupi wa Urais wake ameweza kuzishawishi Jumuiya nyingi za Kimataifa na Mataifa mbalimbali kuiamini Tanzania na kuleta Uwekezaji na mitaji mikubwa kwenye Nchi yetu.

Tanzania sasa inapata Uwekezaji kila kukicha na kutoka kila Taifa na ndio maana kwa uhodari na utaalamu wake mkubwa wa kuzifanya Siasa za Kimataifa, Kamisheni ya Umoja wa Ulaya (EC) imeamua kuipa Tanzania Fedha za Msaada kabisa na za bure Takribani Trilioni 1.15 kwa ajili ya kugharamia miradi mbalimbali ya maendeleo.

Kwa namna Rais Samia alivyo hodari na anavyojua kushawishi Mataifa kuja nchini kuwekeza na namna Uwekezaji mkubwa unavyozidi kuingia nchini, Nchi hii itapata mafanikio makubwa sana kimaendeleo, uchumi na uwekezaji. Mpaka sasa kwa muda mfupi wa Miezi 11, Tanzania imeshuhudia Uwekezaji mkubwa kuingia nchini ambao haukuwahi kutokea. Zaidi ya Dola za Marekani Bilioni 3.5 zimeingia nchini kuwekeza kwenye miradi zaidi ya 90 kwa muda huu tu mfupi wa uongozi wake. Eneo la Diplomasia ya Uchumi ni eneo muhimu sana kwa maendeleo ya Nchi yetu na Rais Samia amelipa nguvu kubwa sana kupitia mashirikiano haya na Mataifa mengine. Linalipa.

Bwanku M Bwanku
bwanku55@gmail.com
Kuna wale wajinga watakwambia anatembeza bakuli,Jibu ni moja tuu nao watembeze walete pesa.

Pia soma hapa 👇

Screenshot_20220218-193643.png


Screenshot_20220218-194322.png


Screenshot_20220218-191358.png


Screenshot_20220216-215147.png
 
Je ni kweli kwamba wamasai wanaondolewa Ngorongoro ili mwekezaji apewe maeneo ya uwindaji??
 
Tatizo kila afanyalo hali mgusi mtanzania moja kwa moja na pia anadharau kwa wasio nacho
Kweli yaani hana time na wanyonge, ukweli Samia hakubaliki ATA kidogo, anajisifia kujenga madarasa [emoji1]
 
Kweli yaani hana time na wanyonge, ukweli Samia hakubaliki ATA kidogo, anajisifia kujenga madarasa [emoji1]
Kama haumkubali wewe usitujumuishe,kuwa kwako mnyonge ni sifa yako pekee Baki nayo.

Chuki zenu hazibadili chochote,hesabu hadi 2030.

Screenshot_20220219-185557.png
 
Back
Top Bottom