Rais Samia anakula maisha arabuni, Bila salamu za rambirambi, wazazi wa Joshua Mollel wakipambana wenyewe

Rais Samia anakula maisha arabuni, Bila salamu za rambirambi, wazazi wa Joshua Mollel wakipambana wenyewe

Hiyo mpya iliyotoka kwamba mwili wa huyo Mtanzania haupo ktk mikono ya Mzayuni bali upo mikononi mwa Hamas zimetolewa na afisi gani?

Au siku hizi nchi yako mna-share wizara na Israel maana nimeona wao ndiyo waliotoa huo ufafanuzi siyo hao niliowataja hapo juu.
 
Back
Top Bottom