Rais Samia anamuakisi Mzee Jakaya Kikwete kiuongozi na kiutendaji

Rais Samia anamuakisi Mzee Jakaya Kikwete kiuongozi na kiutendaji

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Kama ni Mwanadamu mbele ya Kioo, basi JK ni Kioo Cha Samia na Samia ndio JK linapokuja suala Zima la kiutendaji na Kiuongozi.

Safari za nje ,hivi Kuna Nchi JK hakwenda ? Ila Sasa Safari zao wote wawili, Ni upotevu wa Fedha za Wala hoi na misafara Yao mikubwaaa na Bado safari zenyewe zimethibitisha kufeli.

Rais Samia, kwenye Ziara ya Royo tuwa kule US, alisikika et 'Huko nyuma kuliweko Chui, Mara corona vile, Mara hivi akijua labda majungu Kwa Hayati JPM aliyefumba mdomo na haongei Tena, yangeweza kumlift kisiasa Matokeo yake hamna kitu

Masikini wanazidi kua Masikin kama ilivyokua Kwa JK.

Wizi, vurugu, ujambazi na jinai za Kila aina zinazidi kuongezea kama ilivyokua Kwa JK.

Biashara ya Dawa za Kulevya, sahizi Vijana wetu ndo wanazidi kupukutika.

Rushwa Sasa usiseme, imetamalaki Kila Mahali kama ilivyokua Kwa JK

Nidhamu na Maadili ya kazi Ndo kabisaaa sahizi Kila mtu ni Boss kama ilivyokua Kwa JK.

Wakulima wanazidi kulemewaaa nahali mbaya kama ilivyokua wakati wa JK.

TAIFA halina muelekeo kama ilivyokua wakati wa JK.

Umeme ,Maji imekua shidaaaa kama ilivyokua wakati wa JK.

Ufisadi umerudi Kwa Kasi kama ilivyokua wakati wa JK .

Mfumuko mkubwa wa gharama za Maisha kama ilivyokua Kwa JK .

Ajira zimerudi kua za Unandugu ? Kama ilivyokua Kwa JK.

TANZANIA hussani katika Nyakati hizi za Dunia ya Leo, bado inahitaji Ma Rais wenye Hulka ya JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI .

Na hapa ndio unaona uhitaji wa watu kama

Dr. Bashiru
Dr.Gwajima(Askofu)
Mh.Luhaga Mpina
Mh .Majaliwa

N.k

Watu ambao ni wabunifu, uthubutu wa kupambana pasipo kuhofia wanaopambana nao , wenye uzalendo wa kweli, wenye Nia ya kuivusha Nchi hii.

Kua Wazi, Rais Samia kaupata Urais nje ya ndoto zake, ni nafasi aloipata Kwa sababu ya upendeleo wa Jinsia, Sehem alotokea, na Hatimaye kifo Cha JPM.

Ni Muoga, Hana uthubutu wa kusimamia yenye masilahi , Anafanya Siasa , na bahati mbaya Siasa zake ni nyepesi zinazowafanya watu wake Sasa kufanya wafanyavyo.

Kula Kwa Jamba yako. Hebu litazameni, nenden mkalitazame. HUYU SIO KIONGOZI!

Na ikiwa Mungu ndio huruhusu Viongozi wa Nchi kupitia Mamulaka za wanadam ziwateuwao, basi Enyi Dola, 2025, msimletee kwa ajili ya Watanzania walio wengi na wanyonge.

Mambo mtaaani ni tofauti kabisa na Maneno ya CHAWA WA RAIS SAMIA.
 
Kwa JPM, muacheni tu apumzike salama Hayati JPM Hachafuliki kamwe

Mambo waloyafanya makubwa, Watanzania wameyaona Kwa macho, walisikia, wakaona yanatendeka.

Kitu kimoja cha Uhakika ni kwamba, Mwaka 2025, jina la JPM, litatumiwa Tena na CCM hiii hiii kujitafutia Kura
 
Kula kwa urefu wa kamba zako, kulamba asali na mbona niliwahi kusikia fedha kidogo ya dawa ya brash kwa trafiki barabarani vipi hapo?
 
Ungeishia tu kwamba S.S.H ni reflection ya JK, Ila kusema eti Tanzania onawahitaji watu kama Bashiru, naaaaah, bora S.S.H mara nyingi tu, sio kundi la kina Bashiru.
 
Kula kwa urefu wa kamba zako, kulamba asali na mbona niliwahi kusikia fedha kidogo ya dawa ya brash kwa trafiki barabarani vipi hapo?
Bwasheeee , Hupaswi kua kipofu hata uufunike USO wako ushindwe kuona kinachoendelea
 
Kama ni Mwanadamu mbele ya Kioo, basi JK ni Kioo Cha Samia na Samia ndio JK linapokuja suala Zima la kiutendaji na Kiuongozi.

Safari za nje ,hivi Kuna Nchi JK hakwenda ? Ila Sasa Safari zao wote wawili, Ni upotevu wa Fedha za Wala hoi na misafara Yao mikubwaaa na Bado safari zenyewe zimethibitisha kufeli.

Rais Samia, kwenye Ziara ya Royo tuwa kule US, alisikika et 'Huko nyuma kuliweko Chui, Mara corona vile, Mara hivi akijua labda majungu Kwa Hayati JPM aliyefumba mdomo na haongei Tena, yangeweza kumlift kisiasa Matokeo yake hamna kitu

Masikini wanazidi kua Masikin kama ilivyokua Kwa JK.

Wizi, vurugu, ujambazi na jinai za Kila aina zinazidi kuongezea kama ilivyokua Kwa JK.

Biashara ya Dawa za Kulevya, sahizi Vijana wetu ndo wanazidi kupukutika.

Rushwa Sasa usiseme, imetamalaki Kila Mahali kama ilivyokua Kwa JK

Nidhamu na Maadili ya kazi Ndo kabisaaa sahizi Kila mtu ni Boss kama ilivyokua Kwa JK.

Wakulima wanazidi kulemewaaa nahali mbaya kama ilivyokua wakati wa JK.

TAIFA halina muelekeo kama ilivyokua wakati wa JK.

Umeme ,Maji imekua shidaaaa kama ilivyokua wakati wa JK.

Ufisadi umerudi Kwa Kasi kama ilivyokua wakati wa JK .

Mfumuko mkubwa wa gharama za Maisha kama ilivyokua Kwa JK .

Ajira zimerudi kua za Unandugu ? Kama ilivyokua Kwa JK.

TANZANIA hussani katika Nyakati hizi za Dunia ya Leo, bado inahitaji Ma Rais wenye Hulka ya JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI .

Na hapa ndio unaona uhitaji wa watu kama

Dr. Bashiru
Dr.Gwajima(Askofu)
Mh.Luhaga Mpina
Mh .Majaliwa

N.k

Watu ambao ni wabunifu, uthubutu wa kupambana pasipo kuhofia wanaopambana nao , wenye uzalendo wa kweli, wenye Nia ya kuivusha Nchi hii.

Kua Wazi, Rais Samia kaupata Urais nje ya ndoto zake, ni nafasi aloipata Kwa sababu ya upendeleo wa Jinsia, Sehem alotokea, na Hatimaye kifo Cha JPM.

Ni Muoga, Hana uthubutu wa kusimamia yenye masilahi , Anafanya Siasa , na bahati mbaya Siasa zake ni nyepesi zinazowafanya watu wake Sasa kufanya wafanyavyo.

Kula Kwa Jamba yako. Hebu litazameni, nenden mkalitazame. HUYU SIO KIONGOZI!

Na ikiwa Mungu ndio huruhusu Viongozi wa Nchi kupitia Mamulaka za wanadam ziwateuwao, basi Enyi Dola, 2025, msimletee kwa ajili ya Watanzania walio wengi na wanyonge.

Mambo mtaaani ni tofauti kabisa na Maneno ya CHAWA WA RAIS SAMIA.
Watetezi wa RIP Magufuli wanatumia njia ya kujihami kwa hayo maneno yako ya mwishoni kabisa "chawa".

Mnachokifanya kwa kumkumbuka JPM na kujaribu kumpandisha chati wakati akiwa amelala usingizi wa milele ni zaidi ya uchawa, sidhani kama mnajiuliza juu ya ukweli huo.

Muda huu huu wakati mnalia na kulalamika kuna watu wanachangamkia fursa pana za kibiashara huko nje, kuna watu wanazitumia ndege zetu kupeleka mazao huko China na Ulaya.

Kuna watu wanafikiria namna ya kuzitumia bandari zinazokarabatiwa kwa faida ya kukuza uchumi wao.

Mnaweza kuendelea kumkumbuka JPM mpaka siku ya mwisho wa dunia iliyoandikwa katika kitabu cha ufunuo itakapofika sana sana ni kufariji nafsi sioni kingine zaidi.
 
Watetezi wa RIP Magufuli wanatumia njia ya kujihami kwa hayo maneno yako ya mwishoni kabisa "chawa".

Mnachokifanya kwa kumkumbuka JPM na kujaribu kumpandisha chati wakati akiwa amelala usingizi wa milele ni zaidi ya uchawa, sidhani kama mnajiuliza juu ya ukweli huo.

Muda huu huu wakati mnalia na kulalamika kuna watu wanachangamkia fursa pana za kibiashara huko nje, kuna watu wanazitumia ndege zetu kupeleka mazao huko China na Ulaya.

Kuna watu wanafikiria namna ya kuzitumia bandari zinazokarabatiwa kwa faida ya kukuza uchumi wao.

Mnaweza kuendelea kumkumbuka JPM mpaka siku ya mwisho wa dunia iliyoandikwa katika kitabu cha ufunuo itakapofika sana sana ni kufariji nafsi sioni kingine zaidi.
Hizo Ndege alifanya uthubutu hata Sasa tunazo ni nani??

Huo ndo ujinga wenu
 
Watetezi wa RIP Magufuli wanatumia njia ya kujihami kwa hayo maneno yako ya mwishoni kabisa "chawa".

Mnachokifanya kwa kumkumbuka JPM na kujaribu kumpandisha chati wakati akiwa amelala usingizi wa milele ni zaidi ya uchawa, sidhani kama mnajiuliza juu ya ukweli huo.

Muda huu huu wakati mnalia na kulalamika kuna watu wanachangamkia fursa pana za kibiashara huko nje, kuna watu wanazitumia ndege zetu kupeleka mazao huko China na Ulaya.

Kuna watu wanafikiria namna ya kuzitumia bandari zinazokarabatiwa kwa faida ya kukuza uchumi wao.

Mnaweza kuendelea kumkumbuka JPM mpaka siku ya mwisho wa dunia iliyoandikwa katika kitabu cha ufunuo itakapofika sana sana ni kufariji nafsi sioni kingine zaidi.


Óhooo unaona ulivyo Kiazi Sasa , JPM kukumbukwa , atakumbukwa hata Nawewe Kwa Mema, na kujitoa kwake kuivusha Nchi hii .


Mnalipi lakuwaambia Watanzania nyie machawa ,mnaofikiria Kwa matumbo, kwamba Sasa hizi tumeshishwa kiuchumi kutoka pale JPM alipokua katufikisha ???.
 
Mimi nlivyoona tu kuwa wanampa nchi huyu bibi nikajua ndio tushapatikana
 
Kama ni Mwanadamu mbele ya Kioo, basi JK ni Kioo Cha Samia na Samia ndio JK linapokuja suala Zima la kiutendaji na Kiuongozi.

Safari za nje ,hivi Kuna Nchi JK hakwenda ? Ila Sasa Safari zao wote wawili, Ni upotevu wa Fedha za Wala hoi na misafara Yao mikubwaaa na Bado safari zenyewe zimethibitisha kufeli.

Rais Samia, kwenye Ziara ya Royo tuwa kule US, alisikika et 'Huko nyuma kuliweko Chui, Mara corona vile, Mara hivi akijua labda majungu Kwa Hayati JPM aliyefumba mdomo na haongei Tena, yangeweza kumlift kisiasa Matokeo yake hamna kitu

Masikini wanazidi kua Masikin kama ilivyokua Kwa JK.

Wizi, vurugu, ujambazi na jinai za Kila aina zinazidi kuongezea kama ilivyokua Kwa JK.

Biashara ya Dawa za Kulevya, sahizi Vijana wetu ndo wanazidi kupukutika.

Rushwa Sasa usiseme, imetamalaki Kila Mahali kama ilivyokua Kwa JK

Nidhamu na Maadili ya kazi Ndo kabisaaa sahizi Kila mtu ni Boss kama ilivyokua Kwa JK.

Wakulima wanazidi kulemewaaa nahali mbaya kama ilivyokua wakati wa JK.

TAIFA halina muelekeo kama ilivyokua wakati wa JK.

Umeme ,Maji imekua shidaaaa kama ilivyokua wakati wa JK.

Ufisadi umerudi Kwa Kasi kama ilivyokua wakati wa JK .

Mfumuko mkubwa wa gharama za Maisha kama ilivyokua Kwa JK .

Ajira zimerudi kua za Unandugu ? Kama ilivyokua Kwa JK.

TANZANIA hussani katika Nyakati hizi za Dunia ya Leo, bado inahitaji Ma Rais wenye Hulka ya JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI .

Na hapa ndio unaona uhitaji wa watu kama

Dr. Bashiru
Dr.Gwajima(Askofu)
Mh.Luhaga Mpina
Mh .Majaliwa

N.k

Watu ambao ni wabunifu, uthubutu wa kupambana pasipo kuhofia wanaopambana nao , wenye uzalendo wa kweli, wenye Nia ya kuivusha Nchi hii.

Kua Wazi, Rais Samia kaupata Urais nje ya ndoto zake, ni nafasi aloipata Kwa sababu ya upendeleo wa Jinsia, Sehem alotokea, na Hatimaye kifo Cha JPM.

Ni Muoga, Hana uthubutu wa kusimamia yenye masilahi , Anafanya Siasa , na bahati mbaya Siasa zake ni nyepesi zinazowafanya watu wake Sasa kufanya wafanyavyo.

Kula Kwa Jamba yako. Hebu litazameni, nenden mkalitazame. HUYU SIO KIONGOZI!

Na ikiwa Mungu ndio huruhusu Viongozi wa Nchi kupitia Mamulaka za wanadam ziwateuwao, basi Enyi Dola, 2025, msimletee kwa ajili ya Watanzania walio wengi na wanyonge.

Mambo mtaaani ni tofauti kabisa na Maneno ya CHAWA WA RAIS SAMIA.
Wakati naanza Biashara kkoo kipindi cha Jpm frame zilikua bwerere kariakoo unachagua unayotaka, biashara zilikuwa zimedoda na Nchi imechoka.

Sasa hivi kkoo si tu frame hamna akitoka mtu eneo hot unakuta kilemba kinazidi milioni 50.

Safari za mama Nchi jirani zimesaidia sana kuna wacongo, wazambia, malawi kibao kariakoo, hii ni opportunity tumepewa na kuna machinga wanapiga faida zaidi ya laki 2 kwa siku kufungashia tu mizigo ya hawa wageni.

Kuna watu wanapenda sana wote tuwe masikini yaani Tajiri akiporwa hela wanasikia raha sana ili wote tuwe masikini.

Ila wakipewa opportunity kama hizi hawana time ya kuzitumia bali wanabaki tu kulalamika.
 
Wakati naanza Biashara kkoo kipindi cha Jpm frame zilikua bwerere kariakoo unachagua unayotaka, biashara zilikuwa zimedoda na Nchi imechoka.

Sasa hivi kkoo si tu frame hamna akitoka mtu eneo hot unakuta kilemba kinazidi milioni 50.

Safari za mama Nchi jirani zimesaidia sana kuna wacongo, wazambia, malawi kibao kariakoo, hii ni opportunity tumepewa na kuna machinga wanapiga faida zaidi ya laki 2 kwa siku kufungashia tu mizigo ya hawa wageni.

Kuna watu wanapenda sana wote tuwe masikini yaani Tajiri akiporwa hela wanasikia raha sana ili wote tuwe masikini.

Ila wakipewa opportunity kama hizi hawana time ya kuzitumia bali wanabaki tu kulalamika.
Kwan JPM alizuia wafanyabiashara kufanya biashara

Mlizoea Maisha ya Ujanja, ukwepaji Kodi n.k .

Kwa JPM yeye alisema, Lipa Kodi, fanya biashara .

Hao walofunga frame zao, ni kwasababu waliona Kwa Sasa Maisha Yao ya Ujanja hayana nafasi !.


Kwa JPM, wenye halali na haki, waliishi na kutusuaa !!.
 
Hizo Ndege alifanya uthubutu hata Sasa tunazo ni nani??

Huo ndo ujinga wenu
Alifanya uthubutu kwa pesa zake kutoka mfukoni mwake au akitekeleza ilani ya CCM?.

Ujinga wenu nyinyi ni kumchukulia kama vile mtakatifu, mnampamba mpaka mnapitiliza kumpa sifa.
 
Óhooo unaona ulivyo Kiazi Sasa , JPM kukumbukwa , atakumbukwa hata Nawewe Kwa Mema, na kujitoa kwake kuivusha Nchi hii .


Mnalipi lakuwaambia Watanzania nyie machawa ,mnaofikiria Kwa matumbo, kwamba Sasa hizi tumeshishwa kiuchumi kutoka pale JPM alipokua katufikisha ???.
Wafuasi wa JPM tatizo lenu ni moja tu, kushindwa kutuliza akili wakati wa maongezi na kutegemea matusi kama kinga yenu.

JPM atakumbukwa kama rais wa tano wa JMT hizo sifa za ziada mnazompa ni udhaifu wenu wa kibinadamu unawaongoza sawa sawa na hayo matusi ya mihemko.
 
Back
Top Bottom