ITR
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 6,096
- 16,390
Ila na nyinyi wafuasi wa magufuri munataka kuzidi gubu kila saa magufuri sasa hata kama mtamkumbuka kwa mema itasaidia nn? ya kwamba atafufuka aje kufanya haya unayo lalamikia?
Yaani sasa hivi akija mgeni kutoka nje ya nchi akasoma maoni ya wafuasi wa magufuri ndani ya jf anaweza kudhani labda kipindi cha uongozi wake Tz ilikuwa zaidi ya Qatar au Marekani.
Huyu mama anaweza kuwa ana matatizo lakini msitumie mapungufu yake kumpa JPM sifa ambazo saa nyingine hasitaili, Magufuri katuharibia mfumo wa uchumi wetu.
Kati ya maraisi bora kuwahi kulitawala taifa hili basi ni Mkapa na Kikwete maana wao walijenga mfumo imara wa kiuchumi na unao jiendesha lakini alipo kuja huyo shijaa wenu akauvuruga kwa kudhani uchumi unaendeshwa kwa bunduki na vitisho.
Baada ya kuuvuruga huo mfumo wa kiuchumi ulio anzishwa na Mkapa na Kikwete ,serikali ilianza kukosa kodi mpaka akanza kupora pesa kwenye akaunti za watu ili apate pesa za kuendeshea serikali yake.
Na baada ya kubaini amelikoroga ndipo alianza kiwakumbatia tena wafanya biashara ambao mwanzo alikuwa anawaita mafisadi mfano ni Rostam Azizi, na matajiri wa GSM.
JPM alitembelea kwenye nyota ya kikwete maana hata uwo umeme unao sema ulikuwa haukatiki vyanzo vya uwo umeme vime jegwa na Kikwete.
Hata mapato makubwa mlio kuwa mnamsifu kuyakusanya alikuwa anayakusanya kwenye uchumi uliojegwa na Kikwete.
Una zidhihaka safari za nje za Jk lakini hizo safari za nje ndo ziliwezesha kupata fedha ambazo zilianzisha mradi wa REA ambao umekusambazia umeme mpaka kijiji chenu.
Tuje kwenye bidhaa maana hapo ndo kichaka chenu.
JPM kaingia madarakani sukari ili ni sh1800 mpaka anaondoka bei ya sukari ilikuwa ni sh300.
Kakuta bei ya siment ni sh1200 kaondoka ikwa na sh19500 mpaka sh20000
Kakuta mafuta ya kula yakiwa bei chini lakini mpaka anaondoka bei ya mafuta ikuwa imepanda mara mbili ya alivyo yakuta.
Huyu mama ana matatizo yake tena makubwa tu lakini tumkosoe yeye kama yeye, mambo ya sijui angekuwepo magufuri lingefanyika hili na lile kuyaache maana ni kuendekeza upumbavu ndani ya vichwa vyetu.
Wtz tupambane kutatua matatizo yetu hili neno Magufuri tuliache maana kwa sasa hana tena msaada wowote kwetu kwa maana kesha kufa, hata ikitokea akafufuka bado hata kuwa na msaada kwetu kwa sababu amesha poteza mamlaka yake.
Mwisho kabisa Tz kwa sasa haihitaji raisi aina ya Magufuri ,bali Tz inahitaji raisi muwajibikaji na anaye tumia akili kuendesha nchi na sio kutumia nguvu na vitisho.
Yaani sasa hivi akija mgeni kutoka nje ya nchi akasoma maoni ya wafuasi wa magufuri ndani ya jf anaweza kudhani labda kipindi cha uongozi wake Tz ilikuwa zaidi ya Qatar au Marekani.
Huyu mama anaweza kuwa ana matatizo lakini msitumie mapungufu yake kumpa JPM sifa ambazo saa nyingine hasitaili, Magufuri katuharibia mfumo wa uchumi wetu.
Kati ya maraisi bora kuwahi kulitawala taifa hili basi ni Mkapa na Kikwete maana wao walijenga mfumo imara wa kiuchumi na unao jiendesha lakini alipo kuja huyo shijaa wenu akauvuruga kwa kudhani uchumi unaendeshwa kwa bunduki na vitisho.
Baada ya kuuvuruga huo mfumo wa kiuchumi ulio anzishwa na Mkapa na Kikwete ,serikali ilianza kukosa kodi mpaka akanza kupora pesa kwenye akaunti za watu ili apate pesa za kuendeshea serikali yake.
Na baada ya kubaini amelikoroga ndipo alianza kiwakumbatia tena wafanya biashara ambao mwanzo alikuwa anawaita mafisadi mfano ni Rostam Azizi, na matajiri wa GSM.
JPM alitembelea kwenye nyota ya kikwete maana hata uwo umeme unao sema ulikuwa haukatiki vyanzo vya uwo umeme vime jegwa na Kikwete.
Hata mapato makubwa mlio kuwa mnamsifu kuyakusanya alikuwa anayakusanya kwenye uchumi uliojegwa na Kikwete.
Una zidhihaka safari za nje za Jk lakini hizo safari za nje ndo ziliwezesha kupata fedha ambazo zilianzisha mradi wa REA ambao umekusambazia umeme mpaka kijiji chenu.
Tuje kwenye bidhaa maana hapo ndo kichaka chenu.
JPM kaingia madarakani sukari ili ni sh1800 mpaka anaondoka bei ya sukari ilikuwa ni sh300.
Kakuta bei ya siment ni sh1200 kaondoka ikwa na sh19500 mpaka sh20000
Kakuta mafuta ya kula yakiwa bei chini lakini mpaka anaondoka bei ya mafuta ikuwa imepanda mara mbili ya alivyo yakuta.
Huyu mama ana matatizo yake tena makubwa tu lakini tumkosoe yeye kama yeye, mambo ya sijui angekuwepo magufuri lingefanyika hili na lile kuyaache maana ni kuendekeza upumbavu ndani ya vichwa vyetu.
Wtz tupambane kutatua matatizo yetu hili neno Magufuri tuliache maana kwa sasa hana tena msaada wowote kwetu kwa maana kesha kufa, hata ikitokea akafufuka bado hata kuwa na msaada kwetu kwa sababu amesha poteza mamlaka yake.
Mwisho kabisa Tz kwa sasa haihitaji raisi aina ya Magufuri ,bali Tz inahitaji raisi muwajibikaji na anaye tumia akili kuendesha nchi na sio kutumia nguvu na vitisho.