Rais Samia anaogopa kufungua miradi ya Hayati Magufuli maana lazima amtaje na akimtaja wananchi wanashangilia

Rais Samia anaogopa kufungua miradi ya Hayati Magufuli maana lazima amtaje na akimtaja wananchi wanashangilia

jaribu kutumia akili!!huyo shujaa wenu alikuwa akiamka tu ana kuja na li mradi huku pesa anategea kukopa,sasa amekufa yale mi miradi ndio kwanza yameanza hizo pesa za kuyamaliza zinatoka wapi hapo hapo mama aanze miradi mipya?!!ila MUNGU FUNDI
Kumbe, na sawa.
 
Hizo ni fikra zako tu mkuu, kiukweli furaha nikuona miradi yote inaendelezwa na ndicho mh. Rais anachokifanya mpaka Sasa Hakuna mradi uliosimamama. Hongera Sana kwa Dr. SSH🇹🇿
Tunapongeza miradi ya mtangulizi kumaliziwa,

Tunawaomba tu msiongeze 000 mbele ya hesabu, pesa ziendane na thamani ya mradi husika.
 
Rais kaamua aachie wengine wafanye uzinduzi, ndio maana waona mawaziri wanaenda zindua barabara kubwa kama njia 4 za Mbeya.
Miradi ya extention ya SGR


Enzi zenu kila kitu mlitaka mzindue nyie
 
Hivi huwa unaandika kwa kutumia kichwa kweli au makalio??hebu uwe unatumia akili walau kidogo kuliko kuandika UHARO JF
si ujibu hoja kwa hoja matusi ya nini?matusi ni dalili ya kushindwa kujibu hoja hivyo kumzuia mtoa hoja kuendelea na hoja yake.
 
We unataka kila awamu ianzishe mradi mpya!?..kichwani umejaza nini!?
Si lazima ianzishe miradi mipya,

Nimeona na kujiridhisha na ukarabati wanaofanya ktk Barabara zetu chini ya tanroads ktk baadhi ya majiji,

Lami inayowekwa ni THICK,kiwango Cha juu tofauti na ukarabati wa zamani walitumia brush na mifagio kusambaza lami.

Tunapoikosoa Serikali usidhani tunawachukia HAPANA,

Tunataka waongeze UFANISI.

Ninaipenda sana Nchi yangu Tanzania,

Mungu awabariki viongozi wetu,

Ameen.
 
Rais Samia anaogopa saa hizi kuhudhuria sherehe za ufunguzi wa miradi ya kimkakati aliyoanzisha Magufuli kwa sababu wananchi wanamshangilia Magufuli kila anapotajwa reference ni siku ya uwekaji wa jiwe la msingi la kuchevusha maji wananchi walimshangilia Sana Magufuli kuliko wote waliotajwa

ndio maana hata kwenye kuiweka majini meli ya billion 109 hakuhudhuria wananchi wangemshangilia shujaa Magufuli

Rais akubali kutembelea Nyota ya JPM itamsaidia Sana hata kama angefanyeje a azidi wa mbali sana kiutendaji na kiuwajibikaji na JPM
Kwani unahangaika hivyo kwa jambo ambalo hata huna uhakika nalo. Dkt. SSH hahitaji mkongojo kusimama. Amesimama mwenyewe bila kiegemeo. Tulia
 
Si lazima ianzishe miradi mipya,

Nimeona na kujiridhisha na ukarabati wanaofanya ktk Barabara zetu chini ya tanroads ktk baadhi ya majiji,

Lami inayowekwa ni THICK,kiwango Cha juu tofauti na ukarabati wa zamani walitumia brush na mifagio kusambaza lami.

Tunapoikosoa Serikali usidhani tunawachukia HAPANA,

Tunataka waongeze UFANISI.

Ninaipenda sana Nchi yangu Tanzania,

Mungu awabariki viongozi wetu,

Ameen.
Mbona hueleweki!!
 
Mbona hueleweki!!
Rudia tena utaelewa,

Penye UKWELI tutasema,

Viongozi wakikosea tutawaambia warudi ktk mstari.

Yote hayo ni kutafuta Ufanisi na kuwasemea wasio na sauti.

Bt Tunamshukuru Mungu Kwa Marais tuliowahi kuwapata tangu Uhuru.

Wametufikisha hapa tulipo tukiwa wamoja.
 
Rais Samia anaogopa saa hizi kuhudhuria sherehe za ufunguzi wa miradi ya kimkakati aliyoanzisha Magufuli kwa sababu wananchi wanamshangilia Magufuli kila anapotajwa reference ni siku ya uwekaji wa jiwe la msingi la kuchevusha maji wananchi walimshangilia Sana Magufuli kuliko wote waliotajwa

ndio maana hata kwenye kuiweka majini meli ya billion 109 hakuhudhuria wananchi wangemshangilia shujaa Magufuli

Rais akubali kutembelea Nyota ya JPM itamsaidia Sana hata kama angefanyeje a azidi wa mbali sana kiutendaji na kiuwajibikaji na JPM
Wengi waliomshangilia walikuwa hawajutambui. Yule alikokuwa anaelekea Nchi ingeharibika vibaya sana. Acheni MUNGU aitwe MUNGU.
 
Wengi waliomshangilia walikuwa hawajutambui. Yule alikokuwa anaelekea Nchi ingeharibika vibaya sana. Acheni MUNGU aitwe MUNGU.
Penye UKWELI Usemwe Magu alisababisha ukifika muda wa taarifa ya habari hata kama hujafika home unapack kusikiliza jembe amefanya tukio Gani.

Alipendwa na wananchi tukubali UKWELI.

Kuzuia watu wasiseme ndo kosa baya alofanya.

Kuna mwandishi aitwaye gurumo alisema Eti watu waliokusanyika kumlilia Nchi nzima walilipwa, chuki za namna hii hazijengi.
 
Uliudia tena utaelewa,
Penye UKWELI tutasema,

Viongozi wakikosea tutawaambia warudi ktk mstari.

Yote hayo ni kutafuta Ufanisi na kuwasemea wasio na sauti.

Bt Tunamshukuru Mungu Kwa Marais tuliowahi kuwapata tangu Uhuru.

Wametufikisha hapa tulipo tukiwa wamoja.
Ulilalama Samia hajaanzisha miradi mipya..Sasa nashangaa unapuyanga tu nje ya hoja
 
Rais Samia anaogopa saa hizi kuhudhuria sherehe za ufunguzi wa miradi ya kimkakati aliyoanzisha Magufuli kwa sababu wananchi wanamshangilia Magufuli kila anapotajwa reference ni siku ya uwekaji wa jiwe la msingi la kuchevusha maji wananchi walimshangilia Sana Magufuli kuliko wote waliotajwa

ndio maana hata kwenye kuiweka majini meli ya billion 109 hakuhudhuria wananchi wangemshangilia shujaa Magufuli

Rais akubali kutembelea Nyota ya JPM itamsaidia Sana hata kama angefanyeje a azidi wa mbali sana kiutendaji na kiuwajibikaji na JPM

Asipokuja kwenye hiyo miradi si ndio vizuri ili muendelee kumsifia Magufuli? Ni hivi, huyo mama hana ule ushamba wa kupeleka serikali nzima kwenda kufungua choo, sijui kupokea ndege. Na isitoshe hiyo miradi haikuwa ya Magufuli, bali ya serikali.
 
Kumbe hakuhudhuria?

Labda safari ya kuja mza inachosha, aliamua apumzike!!
Meli ni kitu kidogo sana kwa Rais. Wanataka afuate tabia za mtangulizi wake za kwenda kufungua miradi ambayo ingeweza kufunguliwa na hata Mtendaji wa kata ( visima vifupi vya maji, madaraja ya waenda kwa miguu, etc).

Katika meli zote, ndege 13 zilizokuwepo, na vivuko vyote vya maji, kipi kiliwahi kufunguliwa na Rais, kabla ya awamu ya 5?
 
Penye UKWELI Usemwe Magu alisababisha ukifika muda wa taarifa ya habari hata kama hujafika home unapack kusikiliza jembe amefanya tukio Gani.

Alipendwa na wananchi tukubali UKWELI.

Kuzuia watu wasiseme ndo kosa baya alofanya.

Kuna mwandishi aitwaye gurumo alisema Eti watu waliokusanyika kumlilia Nchi nzima walilipwa, chuki za namna hii hazijengi.

Kama kuna kipindi nilipuuza kutazama TV na kusikiliza redio ni kipindi cha Magufuli. Hadi sasa sina muda wa kusikiliza tena media hizo. Kama kweli Magufuli alipendwa kama unavyotaka tuamini, angeheshimu uchaguzi, maana uchaguzi ndio ilikuwa kipimo halisi cha kupendwa kwake.
 
Kama kuna kipindi nilipuuza kutazama TV na kusikiliza redio ni kipindi cha Magufuli. Hadi sasa sina muda wa kusikiliza tena media hizo. Kama kweli Magufuli alipendwa kama unavyotaka tuamini, angeheshimu uchaguzi, maana uchaguzi ndio ilikuwa kipimo halisi cha kupendwa kwake.
Hapo kwenya kuiba sanduku la kura alikosea sana hata mm sikufurahia.

Bt Kwa jinsi alivyohusika kuifuatilia na kutatua kero za maskini ALIPENDWA sana.

Angekuwapo Magu saiz BASHE angeshafutwa KAZI, vyakula Bei juu bt wanaruhusu chakula Kutokea!!!
 
Wanaoshangilia masikini wakutupwa na chawa wa chama kile..wale tukose wote..unajua watu wangapi wamejiua na kufirisika kwa ajili yake Tena walifanya biashara kisheria..ref Mzee aliyejipiga risasi Dodoma agent wa viroba🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃
 
Rais Samia anaogopa saa hizi kuhudhuria sherehe za ufunguzi wa miradi ya kimkakati aliyoanzisha Magufuli kwa sababu wananchi wanamshangilia Magufuli kila anapotajwa reference ni siku ya uwekaji wa jiwe la msingi la kuchevusha maji wananchi walimshangilia Sana Magufuli kuliko wote waliotajwa

ndio maana hata kwenye kuiweka majini meli ya billion 109 hakuhudhuria wananchi wangemshangilia shujaa Magufuli

Rais akubali kutembelea Nyota ya JPM itamsaidia Sana hata kama angefanyeje a azidi wa mbali sana kiutendaji na kiuwajibikaji na JPM
Mtateseka mnoo 🤣🤣 but imeisha hiyoo, watu wanaendelea na maisha na kula mema ya nchi!! Zama zenu zimepita muacheni Rais afanye kazi! In Happi voice 🤣🤣🤣🤣
 
Rais Samia anaogopa saa hizi kuhudhuria sherehe za ufunguzi wa miradi ya kimkakati aliyoanzisha Magufuli kwa sababu wananchi wanamshangilia Magufuli kila anapotajwa reference ni siku ya uwekaji wa jiwe la msingi la kuchevusha maji wananchi walimshangilia Sana Magufuli kuliko wote waliotajwa

ndio maana hata kwenye kuiweka majini meli ya billion 109 hakuhudhuria wananchi wangemshangilia shujaa Magufuli

Rais akubali kutembelea Nyota ya JPM itamsaidia Sana hata kama angefanyeje a azidi wa mbali sana kiutendaji na kiuwajibikaji na JPM
Rais Samia anaogopa saa hizi kuhudhuria sherehe za ufunguzi wa miradi ya kimkakati aliyoanzisha Magufuli kwa sababu wananchi wanamshangilia Magufuli kila anapotajwa reference ni siku ya uwekaji wa jiwe la msingi la kuchevusha maji wananchi walimshangilia Sana Magufuli kuliko wote waliotajwa

ndio maana hata kwenye kuiweka majini meli ya billion 109 hakuhudhuria wananchi wangemshangilia shujaa Magufuli

Rais akubali kutembelea Nyota ya JPM itamsaidia Sana hata kama angefanyeje a azidi wa mbali sana kiutendaji na kiuwajibikaji na JPM
Ndiyo wewe na kundi lako mnavyoamini🤔
 
Back
Top Bottom