Rais Samia anaogopa kufungua miradi ya Hayati Magufuli maana lazima amtaje na akimtaja wananchi wanashangilia

dicteta kaoza
 
Yeye hana miradi japo anajaribu jaribu, miradi iliyopo ni ya Magu. Ajaribu tu kuizoea hiyo hali.
 

Kila mtu na maono yake.
Ingawa wote wanapita njia moja.
 
Watu kama ninyi ni miongoni mwa vyanzo vya Afrika kutokuwa na uongozi na mipango endelevu ya maendeleo; kila Rais akiingia anaanza na ya kwake!

Mhe. Rais Dk. Samia tangu alipokula kiapo Machi 2021, aliahidi kuitekeleza miradi yote ya kimkakati iliyoanzishwa na mtangulizi wake. Ameikuta ktk hatua za awali kabisa kapambana kupata fedha na kuindeleza. Anaogopaje sasa? Juzi alipaswa awepo Waziri ambaye naye hakuwepo, je naye aliogopa? Pia siyo kila kitu lazima Rais azindue. #Miradi ya kimkakati ni ya nchi si ya mtu.πŸ™πŸ™πŸ™
 
Magovinda wa Usukumani bana..vichwa panzi!
 
nchi inaujinga sana kwani magufuli alikuja na pesa au mradi.hivo ni vitu vya serikali na wananchi.ndio maana mnakimbilia kila miradi kuweka majina yenu
Kwani hata huko nyuma hakukuwa na helaa

Mbona hao waliokuwepo hawakuanzisha


Jibu nii alikuja na hela alikuja na udhubuti kitu ambacho jamaa wa Msoga hakuweza
 
Kila mtu na nyota yake na anayewezesha ni Mwenyezi Mungu tu.
 
Mnapambana kumchafua marehe, badala ya kumchafua mnachaguka wenyewe. Magu was a hero, kwangu mm ndo mtu niliyemheshimu na kumtii ukiondoa Mungu na malaika zake
 
Mnapambana kumchafua marehe, badala ya kumchafua mnachaguka wenyewe. Magu was a hero, kwangu mm ndo mtu niliyemheshimu na kumtii ukiondoa Mungu na malaika zake
Kwahiyo kwako shetani Magufuli ni zaidi ya manabii?

JF ya Sasa imejaa vichaa.
 
Kwani hata huko nyuma hakukuwa na helaa

Mbona hao waliokuwepo hawakuanzisha


Jibu nii alikuja na hela alikuja na udhubuti kitu ambacho jamaa wa Msoga hakuweza
Kikwete:
Shule za kata nchi nzima,barabara za lami kuunganisha mikoa,vinu vya kufua umeme wa gesi yaani Kinyerezi 1$2.Acheni wivu na chuki za kike.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…