Naughty by nature
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 2,123
- 2,359
dicteta kaozaRais Samia anaogopa saa hizi kuhudhuria sherehe za ufunguzi wa miradi ya kimkakati aliyoanzisha Magufuli kwa sababu wananchi wanamshangilia Magufuli kila anapotajwa reference ni siku ya uwekaji wa jiwe la msingi la kuchevusha maji wananchi walimshangilia sana Magufuli kuliko wote waliotajwa.
Ndio maana hata kwenye kuiweka majini meli ya billion 109 hakuhudhuria wananchi wangemshangilia shujaa Magufuli.
Rais akubali kutembelea Nyota ya JPM itamsaidia sana, hata kama angefanyeje azidi wa mbali sana kiutendaji na kiuwajibikaji na JPM.
Rais Samia anaogopa saa hizi kuhudhuria sherehe za ufunguzi wa miradi ya kimkakati aliyoanzisha Magufuli kwa sababu wananchi wanamshangilia Magufuli kila anapotajwa reference ni siku ya uwekaji wa jiwe la msingi la kuchevusha maji wananchi walimshangilia sana Magufuli kuliko wote waliotajwa.
Ndio maana hata kwenye kuiweka majini meli ya billion 109 hakuhudhuria wananchi wangemshangilia shujaa Magufuli.
Rais akubali kutembelea Nyota ya JPM itamsaidia sana, hata kama angefanyeje azidi wa mbali sana kiutendaji na kiuwajibikaji na JPM.
Magumashi hana miradi yuko kuzimu hukoYeye hana miradi japo anajaribu jaribu, miradi iliyopo ni ya Magu. Ajaribu tu kuizoea hiyo hali.
sio ki rahisi hivyo!!ila jamaa alijiona yeye ndio Mungu!!Ufundi wa Mungu unakuja kwako.
Watu kama ninyi ni miongoni mwa vyanzo vya Afrika kutokuwa na uongozi na mipango endelevu ya maendeleo; kila Rais akiingia anaanza na ya kwake!Rais Samia anaogopa saa hizi kuhudhuria sherehe za ufunguzi wa miradi ya kimkakati aliyoanzisha Magufuli kwa sababu wananchi wanamshangilia Magufuli kila anapotajwa reference ni siku ya uwekaji wa jiwe la msingi la kuchevusha maji wananchi walimshangilia sana Magufuli kuliko wote waliotajwa.
Ndio maana hata kwenye kuiweka majini meli ya billion 109 hakuhudhuria wananchi wangemshangilia shujaa Magufuli.
Rais akubali kutembelea Nyota ya JPM itamsaidia sana, hata kama angefanyeje azidi wa mbali sana kiutendaji na kiuwajibikaji na JPM.
Magovinda wa Usukumani bana..vichwa panzi!Rais Samia anaogopa saa hizi kuhudhuria sherehe za ufunguzi wa miradi ya kimkakati aliyoanzisha Magufuli kwa sababu wananchi wanamshangilia Magufuli kila anapotajwa reference ni siku ya uwekaji wa jiwe la msingi la kuchevusha maji wananchi walimshangilia sana Magufuli kuliko wote waliotajwa.
Ndio maana hata kwenye kuiweka majini meli ya billion 109 hakuhudhuria wananchi wangemshangilia shujaa Magufuli.
Rais akubali kutembelea Nyota ya JPM itamsaidia sana, hata kama angefanyeje azidi wa mbali sana kiutendaji na kiuwajibikaji na JPM.
Kwani hata huko nyuma hakukuwa na helaanchi inaujinga sana kwani magufuli alikuja na pesa au mradi.hivo ni vitu vya serikali na wananchi.ndio maana mnakimbilia kila miradi kuweka majina yenu
Kila mtu na nyota yake na anayewezesha ni Mwenyezi Mungu tu.Rais Samia anaogopa saa hizi kuhudhuria sherehe za ufunguzi wa miradi ya kimkakati aliyoanzisha Hayati Magufuli kwa sababu wananchi wanamshangilia Hayati Magufuli kila anapotajwa reference ni siku ya uwekaji wa jiwe la msingi la kuchevusha maji wananchi walimshangilia sana Magufuli kuliko wote waliotajwa.
Ndio maana hata kwenye kuiweka majini meli ya billion 109 hakuhudhuria wananchi wangemshangilia shujaa Magufuli.
Rais akubali kutembelea Nyota ya JPM itamsaidia sana, hata kama angefanyeje azidi wa mbali sana kiutendaji na kiuwajibikaji na JPM.
Kwani Chifu Hangaya ni Chifu wa wapi?Pamoja na safari nyingi Kanda ya ziwa, Bado uungwaji mkono upo chini sana.
Awapotezee tu, hakuna namna.
Kwahiyo kwako shetani Magufuli ni zaidi ya manabii?Mnapambana kumchafua marehe, badala ya kumchafua mnachaguka wenyewe. Magu was a hero, kwangu mm ndo mtu niliyemheshimu na kumtii ukiondoa Mungu na malaika zake
Hakika aisee..sidhani kama ana hakika anamzungumzia Rais ama Samia..nadhani amedata[emoji23]Vichaa hawawezi Isha!
Kikwete:Kwani hata huko nyuma hakukuwa na helaa
Mbona hao waliokuwepo hawakuanzisha
Jibu nii alikuja na hela alikuja na udhubuti kitu ambacho jamaa wa Msoga hakuweza