Rais Samia anaongelea matiti, tena ya Wanawake wenzake?

Rais Samia anaongelea matiti, tena ya Wanawake wenzake?

Habari kuu usiku wa leo

Kitendo Cha rais wa Tanzania Samia suluhu Hassan kusema kuwa wanawake wachezaji wa soka wanakuwa na vifua tambalale na sura ngumu na kutovutia kuolewa zimezua minong'ono ya kutaka aombe msamaha kwa kuwadhlilisha wanawake hasusani wachezaji wa soka BBC imeandika

Jana wakati rais akiwapokea wachezaji wa soka ikulu alizua gumzo ya nini huwaanapanga Kama alidhamilia kuongea au ulimi uliteleza kwa kuwa yeye ni mwanamke hakupaswa kuongea vile tena kwenye sherehe ya wacheza soka wanaume tu.

My take .
naona BBC nao wameanza Vita na rais wetu Kama walivyokuwa na magufuli hii inaprove wrong wale waliosema kuwa BBC hasa idhaa ya kiswahili imejaa mashekhe hivyo hawatamuandama mama.

USSRView attachment 1905388
Yaani naomba kuuliza Mama Katumia Kabisa neno ' Kifua Tambarare' au Wewe Umeongeza Chumvi? Kama amelitumia hilo neno atakuwa Amewaumiza wengi....ooi ..oooi Mama amevuka mipaka !!
 
Tatizo la ccm, mwenyekiti wao hata ajambe wao wanajilamba tu. Nyie mapunguani sijapata kuona, huwezi kuongea lugha ya kudhalilisha kiasi hicho uachwe tu
Hata ukigongewa mke utasema ni CCM

USSR
 
Yaani naomba kuuliza Mama Katumia Kabisa neno ' Kifua Tambarare' au Wewe Umeongeza Chumvi? Kama amelitumia hilo neno atakuwa Amewaumiza wengi....ooi ..oooi Mama amevuka mipaka !!
Sama hapa'flat chests'au English inakupa tabu

USSR
Screenshot_20210823-223136.jpg
 
Habari kuu usiku wa leo

Kitendo Cha rais wa Tanzania Samia suluhu Hassan kusema kuwa wanawake wachezaji wa soka wanakuwa na vifua tambalale na sura ngumu na kutovutia kuolewa zimezua minong'ono ya kutaka aombe msamaha kwa kuwadhlilisha wanawake hasusani wachezaji wa soka BBC imeandika

Jana wakati rais akiwapokea wachezaji wa soka ikulu alizua gumzo ya nini huwaanapanga Kama alidhamilia kuongea au ulimi uliteleza kwa kuwa yeye ni mwanamke hakupaswa kuongea vile tena kwenye sherehe ya wacheza soka wanaume tu.

My take .
naona BBC nao wameanza Vita na rais wetu Kama walivyokuwa na magufuli hii inaprove wrong wale waliosema kuwa BBC hasa idhaa ya kiswahili imejaa mashekhe hivyo hawatamuandama mama.

USSRView attachment 1905388
mkuu mbona unapaniki? au na wewe ni mwanamke wa dizaini hiyo? rais amekugusa? amekutachi penyewe ukikasirika hama chama ulazimishwi, ukweli mchungu, ukweli unauma.
 
Ni kweli kabisa alisema hayo maneno. Akiwa kama kiongozi wa nchi, tena Mwanamke hakupaswa kabisa kutamka hayo maneno dhidi ya Wanawake wenzake tena mbele ya vijana wa Kiume.

Kauli tata za viongozi huwa zinaleta ukakasi sana hasa kwa Wazungu. Kumbukeni yule Kiongozi wa Olympic kule Japan alivyoshambuliwa mpaka akajiuzulu baada ya kusema "wanawake wana ongea sana".

Kwa maneno hayo hata kama yalikuwa na ukweli lakini yalichukuliwa kuwa ni dharau kwa wanawake.

Sasa Madam SSH naye amesikika akisema, "wachezaji wanawake wanasura ngumu sana, ukimpeleka nyumbani Bi mkubwa atakushangaa na kukuuliza huyu ni mwanaume mwenzio au mwanamke"?

Ki ukweli Madam alikosea sana kusema hivyo. Naamini ataomba radhi maana Wazungu watamshikia bango mbaya. Ingekuwa ni nchi za wenzetu angeshajiuzulu.

Tutarajie FIFA womens org kutoa tamko kali sana kulaani matamshi ya Madam President SSH.

Swali la kujiuliza, hakuna watu wa kumwandikia hotuba Rais Samia?????
mkuu unalalama nini? kama sio chuki binafsi ni nini? madam president kasema kweli. Hata mimi napenda mwanamke mwenye umbile la kike kweli, awe mlaini, amefungasha vyote titi na tako kubwa, ongeza na weupe na sio mimi tu, asilimia kubwa ya wanaume tunapenda hivo tusidanganyane tuwe tu wakweli kama rais alivosema ukweli.
 
Habari kuu usiku wa leo

Kitendo Cha rais wa Tanzania Samia suluhu Hassan kusema kuwa wanawake wachezaji wa soka wanakuwa na vifua tambalale na sura ngumu na kutovutia kuolewa zimezua minong'ono ya kutaka aombe msamaha kwa kuwadhlilisha wanawake hasusani wachezaji wa soka BBC imeandika

Jana wakati rais akiwapokea wachezaji wa soka ikulu alizua gumzo ya nini huwaanapanga Kama alidhamilia kuongea au ulimi uliteleza kwa kuwa yeye ni mwanamke hakupaswa kuongea vile tena kwenye sherehe ya wacheza soka wanaume tu.

My take .
naona BBC nao wameanza Vita na rais wetu Kama walivyokuwa na magufuli hii inaprove wrong wale waliosema kuwa BBC hasa idhaa ya kiswahili imejaa mashekhe hivyo hawatamuandama mama.

USSRView attachment 1905388
Tuache siasa chafu aliyetoka alisema anapenda wanawake weupe na hakuna aliyesema neno. Life goes on.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
mkuu mbona unapaniki? au na wewe ni mwanamke wa dizaini hiyo? rais amekugusa? amekutachi penyewe ukikasirika hama chama ulazimishwi, ukweli mchungu, ukweli unauma.
Unaakili kidogo Sana ,bahati mbaya huu sio

USSR
 
Ukweli gani dhidi ya wanao ?! Anaweza akawabadili ?! Mambo mengine yasemwe mitaani tena na washabiki siyo viongozi.
ndio hata wao wanajijua ni wabaya, ndo maana wanafight . Watafte pesa ili wapate wanaume wa kuwaoa vinginevyo wataolewa wazuri tuu. Rais sio mnafki kasema ukweli, ninyi mnawafariji.
 
Unaakili kidogo Sana ,bahati mbaya huu sio Uzi wa vilaza

USSR
sio kidogo, ndogo. Na hayo umesema wewe. Wewe rais huyu harembeshi anasema kinachoonekana, ninyi ndo wanafki wa kutoa sifa za uongo. Ko ulitaka rais awadanganye au awafariji kuwa wao ni wazuri sio?
 
ndio hata wao wanajijua ni wabaya, ndo maana wanafight . Watafte pesa ili wapate wanaume wa kuwaoa vinginevyo wataolewa wazuri tuu. Rais sio mnafki kasema ukweli, ninyi mnawafariji.
Samahani kusema "HUNA AKILI". Hao mabinti wa vitu ambavyo anayewabeza hana . And that's talent

Mambo ya sura kama kichwani kutupu faida gani ?!
 
mkuu unalalama nini? kama sio chuki binafsi ni nini? madam president kasema kweli. Hata mimi napenda mwanamke mwenye umbile la kike kweli, awe mlaini, amefungasha vyote titi na tako kubwa, ongeza na weupe na sio mimi tu, asilimia kubwa ya wanaume tunapenda hivo tusidanganyane tuwe tu wakweli kama rais alivosema ukweli.
Ndugu unaelewa nini kuhusu diplomacy and International relations??

Kibongo bongo, hiyo kauli ya Madam itaonekana ni sawa lakini kwa nchi za wenzetu hasa Ulaya hiyo kauli ni tusi zito kwa Wanawake na wataichukulia very serious.
 
MAGOLI YOTE TISA: TANZANIA BARA 9-0 SUDAN KUSINI (CECAFA WOMEN'S CHELLENGE - 16/11/2019)

Timu zetu zinafanya vizuri kikanda na kimataifa lakini Mh. Rais Samia Suluhu Hassan ameamua kuzibeza pamoja ya kuwa wanatuwakilisha vyema

 
Sasa wafanye Je ?!. Ni maumbo waliopewa na Mwenyezi Mungu !!. Wajiumbe upya ?!

Kusema Jambo ambalo huwezi kulirekebishi ni upungufu nao . Wafanye Je !!
Yeye aliwataka TFF wazingatie maslahi ya hawa madada ,Maana wanafanya jitihada ya kuleta vikombe lakini hawanufaiki na chochote tofauti na timu ya wanaume wamepewa mpaka viwanja.
 
Back
Top Bottom