Mwamba 777
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 2,055
- 3,535
anajua matatizo yake mwenyewe, anataka wa kufanana na yeye.Nimejikuta nawaza hivi kwa nini jakate haolewi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anajua matatizo yake mwenyewe, anataka wa kufanana na yeye.Nimejikuta nawaza hivi kwa nini jakate haolewi
Umesoma habari BBC ,Sasa wap kuna unafki ,ishu ni hayo maneno kutamkwa na rais hata kama ni kweli ila haikufaa ndio nikasema huu uzi sio wa vichwa panzi kama wewesio kidogo, ndogo. Na hayo umesema wewe. Wewe rais huyu harembeshi anasema kinachoonekana, ninyi ndo wanafki wa kutoa sifa za uongo. Ko ulitaka rais awadanganye au awafariji kuwa wao ni wazuri sio?
na hasa kwenu wanawake msipokaa nao chonjo hao wanaojifanya majike dume, watakubananisheni hata kune kona ya ukuta wakutwangeni msago vilivyo maana nao hawarembeshagi kwa warembowarembo.Rais kasema ukweli wengi majike dume
Yeye aliwataka TFF wazingatie maslahi ya hawa madada ,Maana wanafanya jitihada ya kuleta vikombe lakini hawanufaiki na chochote tofauti na timu ya wanaume wamepewa mpaka viwanja.
Huyu mama ana mentality mbovu sana
[emoji23][emoji23][emoji23] mbona hao ni wanaume kabisa tena wamekomaa had vigimbi acheni unafiki bana ulishawahi ona team ya wanawake ya Eritrea, ethiopoa au burundi ni warembo kabisa, ndio maana Olympic hawa wachezaji wasingeshiriki maana wangekuwa na high level ya hormones za kiume, hata wakiolewa wanaweza kuwageuza waume zao bure
[emoji23][emoji23][emoji23] mbona hao ni wanaume kabisa tena wamekomaa had vigimbi acheni unafiki bana ulishawahi ona team ya wanawake ya Eritrea, ethiopoa au burundi ni warembo kabisa, ndio maana Olympic hawa wachezaji wasingeshiriki maana wangekuwa na high level ya hormones za kiume, hata wakiolewa wanaweza kuwageuza waume zao bure
Ukiwa kiongozi kuna mambo hutakiwi kuzungumza, au anadhani kuongoza nchi ni sawa na kupaka hinaKabisa aisee! Ni aibu mwanzo mwisho.
Ukiwa kiongozi kuna mambo hutakiwi kuzungumza, au anadhani kuongoza nchi ni sawa na kupaka hina