..Ni kweli kuna blauzi maalum kwa ajili ya wanariadha wa kike.Siyo kuwa hawana maziwa; ila maziwa yao siyo makubwa sana na huwa wameyafunga kwa viblauzi fulani ili yasiwe mzigo kwao wanapokuwa michezoni.
..Nilitegemea Rais atakuwa na upeo mkubwa kuhusu jinsia ya kike kuliko alivyozungumza ktk hotuba yake.