Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,720
- 6,957
Hakika.Wakati Rais Museveni akiwalipa mishahara wanamichezo wanaoiletea medali nchi, nchi nyingine wachezaji wanakashfiwa! Kazi tunayo. Ila huenda ikatusaidia 2025 kufanya decisions.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika.Wakati Rais Museveni akiwalipa mishahara wanamichezo wanaoiletea medali nchi, nchi nyingine wachezaji wanakashfiwa! Kazi tunayo. Ila huenda ikatusaidia 2025 kufanya decisions.
Kweli lengo lake lilikuwa zuri tatizo Ni sababu aliyoitoa ya kuwakingia kifua kwamba hawavutii kwa wanaume na ukiwaweka na wanaume huwezi tofautisha! Hapo kakosea.hapana kaka rudi kaangalie tena clip vizuri inaonekana ulikuwa una foward bila umakini wowote, alikuwa anajaribu kuwakingia kifua ili mbeleni wawe na maisha bora
Rais hana wasaidizi wa kupitia "hotuba" zake kabla ya kuongea?Hizo ni gaffes za kisiasa ambazo viongozi wote wanazo. Mnamtaka Rais wa nchi awe na uwezo wa kutokukosea? Amekuwa Mungu?
Halafu beyond hizo gaffes sometimes tuwe na uwezo wa kutathmini kile kilichomsukuma Rais kusema hivyo. Rais alikuwa anaempathize na footballers wa kike, kwamba kama watoto wa kike kuolewa pia ni ndoto yao. Lakini talanta yao ya mpira imewanyima qualities za kuoleka kirahisi hivyo kama nchi tunapaswa kuwareward wachezaji hawa wa kike ipasavyo wasije kupoteza kotekote.
Nia iliyomtuma kusema hayo nu njema, ila choice ya maneno aliyoyatumia ni mbovu. Basi.
"If you talk to a man in a language he understands, that goes to his head. If you talk to him in his language, that goes to his heart." Nelson MandelaMbo
Mbona dharau Sana yaani anaongoea Kama hakujiandaa. Matiti si qualifications za ndoa.
Unaonaje mama anavyowakomesha mataga?Sijui tawala za vitimbi na vituko mpaka lini. Nchi imekua vururu vururu.
Napitia profile za wachezaji wa timu ya taifa ya wanawake ya mpira wa mguu ya Nigeria na ile timu ya taifa ya Marekani.hakuna cha shame wala embarrassment sasa si amesema ukweli!? wanawake wanaharibika wakidumu huko kwenye mpira ule muonekano wa kike unapotea ndio rais anachozungumzia..
IHabari kuu usiku wa leo
Kitendo Cha Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kusema kuwa wanawake wachezaji wa soka wanakuwa na vifua tambalale na sura ngumu na kutovutia kuolewa zimezua minong'ono ya kutaka aombe msamaha kwa kuwadhlilisha wanawake hasusani wachezaji wa soka BBC imeandika
Jana wakati Rais akiwapokea wachezaji wa soka Ikulu alizua gumzo ya nini huwa anapanga Kama alidhamilia kuongea au ulimi uliteleza kwa kuwa yeye ni mwanamke hakupaswa kuongea vile tena kwenye sherehe ya wacheza soka wanaume tu.
My take .
Naona BBC nao wameanza Vita na rais wetu Kama walivyokuwa na Magufuli hii inaprove wrong wale waliosema kuwa BBC hasa idhaa ya Kiswahili imejaa mashekhe hivyo hawatamuandama mama.
USSRView attachment 1905388
View attachment 1905561
Leo na wewe unakubali madhaifu ya Madam President? 😂😂Huyu mama ana mentality mbovu sana
TFF wafanye majukumu yake kwanza,kuhusu taasisi ya yake ni kama ziada wasi iyekee maananiTaasisi yake ilionesha mfano wowote?
huko naona wako beautiful sijui hawa wa kwetu wanawafanyaje aisee..Napitia profile za wachezaji wa timu ya taifa ya wanawake ya mpira wa mguu ya Nigeria na ile timu ya taifa ya Marekani.
Ile mama,kasisitiza jambo kwa kutumia offensive facts.Sijaona shidaRais anaongelea matiti tena ya wanawake wenzake?
This is beyond shameful, beyond embarrassing, and downright beyond the pale. Cringeworthy.
I’m at a loss for words!!
View attachment 1905556
I couldn't agree more. Madam President amechemka mbaya.Yaan hapo ni udhalilishaji wa hali ya juu,
Kila mtu huchagua kile kimfaacho, kumsema binti mwanamichezo ati ana flatchest na amekakamaa kama mwanaume hatoweza kuolewa ni dhahiri shahiri hapendi wanawake wawe wana michezo lakini pia wajihisi wao ni wabaya na hawapendezi machoni mwa watu, (Psychological Torture)
Mama hapo amekosea sana, hakupaswa atoe comment ya namna hiyo kwa wanawake wenzie, Ndoa ni sharia lakini sio lazima kwa baadhi ya wengine.
Anaolewa tena december!Nimejikuta nawaza hivi kwa nini jakate haolewi
Sawa sawaILA MIMI NIMETOKEA KUMPENDA SANA MAMA. MUNGU TU AMTANGULIEAMLINDE AMPE AFYA, BUSARA NA MAISHA MAREFU.
MAMA SAMIA NA NDUGU MOHAMODOU BUHARI WA NIGERIA NDIO MARAIS AMBAO AFRIKA HUNIAMBII KITU!