Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Ubaya wa Magufuli Ni kuwafurusha Wana Saccos mjengoni na ndio wako wengi humu jf.Magufuli ni the best president, ukimtoa Mkapa.
Ukweli mchungu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubaya wa Magufuli Ni kuwafurusha Wana Saccos mjengoni na ndio wako wengi humu jf.Magufuli ni the best president, ukimtoa Mkapa.
Ukweli mchungu!
Ameshavurugwa huyu.Rais anaongelea matiti tena ya wanawake wenzake?
This is beyond shameful, beyond embarrassing, and downright beyond the pale. Cringeworthy.
I’m at a loss for words!!
View attachment 1905556
piga kura kuikataa ccm hiyo ndiyo dawa. sisi wengine tumekuwa tukifanya hivyo since 2000 ila wenzetu wengi kwa ujinga wao wameendelea kukichagua hiki chama kilichojaa uozo.Sijui tawala za vitimbi na vituko mpaka lini. Nchi imekua vururu vururu.
Rais anaongelea matiti tena ya wanawake wenzake?
This is beyond shameful, beyond embarrassing, and downright beyond the pale. Cringeworthy.
I’m at a loss for words!!
View attachment 1905556
Mbona dharau Sana yaani anaongoea Kama hakujiandaa. Matiti si qualifications za ndoa.Rais anaongelea matiti tena ya wanawake wenzake?
This is beyond shameful, beyond embarrassing, and downright beyond the pale. Cringeworthy.
I’m at a loss for words!!
View attachment 1905556
Samia alikosea Sana kutaja sababu kwamba mamlaka ziwasaidie kwa sababu hawavutii kwa wanaume na wako flat hata ukiwaweka na wanaume huwezi tofautisha!You're using a lot of meaningless words in a disjointed pattern.
To you and to the one you admire, shaming specific individuals in public is what represents "standing the truth"? whatever that means!
Mheshimiwa rais Samia Suluhu Hassan, Kwa unyenyekevu na kwa heshima kubwa naomba niseme yafuatayo, nikiamini sikuvunjia heshima rais wangu.Hahaha. Mama anashangaza alikuwa anaongea vile kwa faida ya nani? Hajui kama amewatesa kisaikolojia wale wanawake?
Sijui akili zako, Ila kusema wale wadada wasaidiwe kwa sababu hawavutii kwa wanaume na wako flat hata ukiwaweka na wanaume huwezi tofautisha hivyo kuolewa baada ya kustaafu kucheza mpira itakuwa ngumu.Sion kibaya alichozungumza.
Bhas tu mshamchukia.
Umeshamvunjia heshima kwa kumuandika rais badala ya Rais.Mheshimiwa rais Samia Suluhu Hassan, Kwa unyenyekevu na kwa heshima kubwa naomba niseme yafuatayo, nikiamini sikuvunjia heshima rais wangu.
Mhe. rais Samia, maneno uliyoyasema ni mazito na ya kumshushia hadhi mwanamke, kwanza huku bara tunajali utu na hatujawahi kukubali wanawake
Suala la kumuandaa makamu wa rais kuwa rais kwa Tanzania halipo, refer chadema walipomteua Salim mwalimu kuwa makamu/mgombea mwenza je walimwandaa huyu kuwa rais? Angalau Samia amepitapita uongozi sehemu nyingi kuliko huyu wa certificate in journalism!Hiyo ndiyo hasara ya chama kutokuandaa mtu wa kuwa Rais. CCM hawakuwahi kujua kuwa huyu Mama wa kambo kuna siku anaweza kuwa Rais.
Kama chadema hawakumuandaa makamu wa rais kuja kuwa Rais haifanyi CCM kutokumuandaa makamu wa Rais kuja kuwa Rais liwe jambo sahihi.Suala la kumuandaa makamu wa rais kuwa rais kwa Tanzania halipo, refer chadema walipomteua Salim mwalimu kuwa makamu/mgombea mwenza je walimwandaa huyu kuwa rais? Angalau Samia amepitapita uongozi sehemu nyingi kuliko huyu wa certificate in journalism!