Rais Samia anaongelea matiti, tena ya Wanawake wenzake?

Mama kapotoka sana kama ndo kasema hivyo,
Aombe radhi au atafisiri alichomaanisha

Kuna mambo ambayo haifai kusema mtu , ulemavu na maumbile ya mtu ni mojawapo
Viko nje uwezo wa binadamu
Unaweza kumsema mtu kuhusu tabia yake ili abadilike lakini sio sura au rangi yake

Kuna mambo ambayo kiongozi hapaswi kuyasema hadharani
 
Alipoharibu ni pale aliopoanza jifanannisha na mwenda zake .

Akawa mwendazake version ya mwenye maumbile ya kike[emoji1]

Mwendazake alishawahi fananisha barakoa na titi la waziri fulani hivi mwenye shingo nzuri

Halafu akavunga eti amechomekea tu

Na ashawahi ongea mbovu wanachi wanachi wake huko mkoani ".....mavi yao...." [emoji1]
 
Mfundisheni rais wenu kuwa sio kila kitu ni chakuongea in public. Hata kama anaona anachoongea kinaweza kuwa na maana fulani lakini aangalie muda na mahali anapoongelea.

Ngoja feminists wamtafune kwanza.
Rais hakosei.
 
Yawezekana kaanza za Magufuli, kuongea bila kusoma. Akumbuke aliwahi kusema matokeo yake ya f4 hayakuwa mazuri.
 
Ukweli wa kudhalilisha. Wakijazana matiti kifuani wataweza kukimbia na kucheza? Binadamu wote wana maumbile sawa? Rais mdomo ulikosa break na kuanza mipasho kwa wasichana ambao hawajamsema.
 
ndio hata wao wanajijua ni wabaya, ndo maana wanafight . Watafte pesa ili wapate wanaume wa kuwaoa vinginevyo wataolewa wazuri tuu. Rais sio mnafki kasema ukweli, ninyi mnawafariji.
Hivi akijitokeza mtu anaemfahamu tangu ujana wake na kuelezea ukweli wa yote aliyoyafanya atafurahi? Usimtetee mh, kateleza.
 
Maza alitaka kugusia issue ya kusagana lakini uwakilishi wa maneno yake ni dharau na inakatisha tamaa watoto wenye vipaji na wenye nyonyo ndogo.Mbona yeye ana bonge na mtindi umemzidi uzito wake, ipo siku ataanguka kwenye ngazi za ndege yetu.
 
Maza alitaka kugusia issue ya kusagana lakini uwakilishi wa maneno yake ni dharau na inakatisha tamaa watoto wenye vipaji na wenye nyonyo ndogo.Mbona yeye ana bonge na mtindi umemzidi uzito wake, ipo siku ataanguka kwenye ngazi za ndege yetu.
Noma sana...

Cc ununio.
 
Wacheza soka lazima wawe na matiti madogo , atakimbiajae uwanjani dakika 120 kama ana mizigo ya matiti?.kwani ni waimba taarabu?.
 
Halafu anajidai kutaka kuweka pini wengine wasigombee uRais 2025, iwe yeye tu, tuendelee na karaha kama hizi kwa miaka mingine 5?!! Haiwezekani. Wanaume mjiandae tu kuchukua kiti chenu.
 
Aibu, ila yawezekana hana kazi pale, labda kazi zote zafanywa msoga, yeye ni kupaka lipstick na kudandia ndege na kuzurura?! Twasema labda....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…