Rais Samia anaongelea matiti, tena ya Wanawake wenzake?

Rais Samia anaongelea matiti, tena ya Wanawake wenzake?

mkuu mbona unapaniki? au na wewe ni mwanamke wa dizaini hiyo? rais amekugusa? amekutachi penyewe ukikasirika hama chama ulazimishwi, ukweli mchungu, ukweli unauma.


Uongo hauumi???
 
mkuu unalalama nini? kama sio chuki binafsi ni nini? madam president kasema kweli. Hata mimi napenda mwanamke mwenye umbile la kike kweli, awe mlaini, amefungasha vyote titi na tako kubwa, ongeza na weupe na sio mimi tu, asilimia kubwa ya wanaume tunapenda hivo tusidanganyane tuwe tu wakweli kama rais alivosema ukweli.


Akifungasha vyote hivyo ataweza kucheza mpira ??!!
 
Rais anaongelea matiti tena ya wanawake wenzake?

This is beyond shameful, beyond embarrassing, and downright beyond the pale. Cringeworthy.

I’m at a loss for words!

View attachment 1905556

Tanzania's President criticized for calling soccer women 'flat-chests'​


Tanzania's President Samia Suluhu Hassan has come under fire for remarks about women footballers having "flat-chests" and suggesting they would not be attractive candidates for marriage.

Hassan made the comments at a ceremony on Sunday to celebrate the victory of a national men's team in a regional football championship, where ironically she also called for better funding for women's sports.

"For those who have flat chests, you might think they are men and not women," she said at Sunday's event.

"And if you look at their faces you might wonder... because if you want to marry, you want someone who is attractive, a lady who has the qualities that you want."

She added that for the women footballers "those qualities have disappeared".

Hassan, who took office in March after the sudden death of her predecessor John Magafuli, is the only current serving female head of state in Africa alongside Ethiopia's President Sahle-Work Zewde, whose role is mainly ceremonial.

"Today they are making us proud as a nation when they bring trophies to the country but if you look at their lives in the future, when the legs are tired from playing, when they don't have the health to play, what life will they be living?" she said.

"The life of marriage is like a dream to them. Because even if one of you here takes them home as your wife, your mother will ask if they are a woman or a fellow man."
Punda milia siyo punda, na farasi siyo nyumbu. Ugumu na wepesi wa safari utatusaidia kuijua njia iliyo bora ya kupita kuelekea Kanani.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]ndio zao kukoboana hawa wachezaji Wana homa za kiume hata kupata boyfriend ni ngumu, wamekomaa sana hawa, nyonyo tu hawana bana


Kwani Wanawake kugombana na kukashifiana si ndio zenu !!!.
 
Ana point isipokuwa kaiwakilisha katika muktadha usio sahihi...

Ukitaka kuchukua nia ya matamshi yake na kuachana na mengineyo, utamuelewa...

Ingawaje ni suala la yeye kujifunza namna ya kuchagua maneno ya kuongea mbele ya umma haswa linapokuja suala la maumbile n.k...


Wewe hujui kwamba ni tabia ya wanawake kukashifiana??
 
Hakuna cha shame wala embarrassment sasa si amesema ukweli!? wanawake wanaharibika wakidumu huko kwenye mpira ule muonekano wa kike unapotea ndio rais anachozungumzia.


Kwahiyo waache kucheza mpira au wacheze kwa muda fulani na waache kucheza ili kulinda uanauke wao??!--- alikuwa na maana hiyo??
 
Ila tu watu imekuwa ngumu kumuelewa kwa sababu point yake kubwa ili base kwenye Ndoa na maisha ya baadae kwa hawa wachezaji wa kike


💯%------ You are a brilliant .✔✔✔✔
 
Na vimini ni wajibu kwa mkristu kama hujui.
Vimini wanavaa hata Dada zetu sikuhizi, Mashaalah
images%20-%202021-08-25T050301.275.jpg
 
Ila katika uhalisia hapa Rais hakuwa na lengo baya, in fact aliwaasa kuwa wasijisahau kuwa watahitaji kuja kuolewa kwahiyo wajiweke kikekike c unajua tenaa

Nimeona comment moja ya mshkaji mzungu kupitia BBC ambapo wamechambua sana hii kauli ya Rais SSH, jamaa akasema:

''Aidha watakuja kuolewa au hawatoolewa haiondoi dignity ya Mwanamke hastahili kuambiwa vile PIA amesema sio wanawake wote wana ndoto ya kuja kuolewa kwahiyo Rais azingatie hilo pia''
 
Rais anaongelea matiti tena ya wanawake wenzake?

Rais anaongelea matiti tena ya wanawake wenzake?
Mkuu ulitaka aongelee ya wanaume maana angetuzalilisha kuliko waliyonayo hao, tukifanya mazoezi,hasa sie wabeba vyuma na wa mbio za maratoni mazoezi yetu makali viguu vyetu vyembamba.Aloo angetuumbuwa na wacha kupata mke hata mwanamke ingekuwa shida,
 
mkuu unalalama nini? kama sio chuki binafsi ni nini? madam president kasema kweli. Hata mimi napenda mwanamke mwenye umbile la kike kweli, awe mlaini, amefungasha vyote titi na tako kubwa, ongeza na weupe na sio mimi tu, asilimia kubwa ya wanaume tunapenda hivo tusidanganyane tuwe tu wakweli kama rais alivosema ukweli.
Hamna anae penda/aliye omba azaliwe kwa muonekano gani sote tumeumbwa na Mungu acheni kukosoa uumbaji..wamekosewa kwa maana hawakupenda kuwa vivyo mnavyo wasema kwa kuwa kosoa na kuwabeza.

Nyie wote mnao chekelea na kushadadia kuwa ni kweli wamekomaa sijui hawana mvuto sasa niwaulize angekua ni mwanao/dada'ko au hata ungekua ni wewe ungeshadadia hayo? Acheni izo bhana kama ni kweli maza kasema haya kazingua sio poa coz ata yeye ni mule mule tu tunaishi nae tukielewa yote ni mipango ya Muumba ivi mlisha wao ona aki smile?...
 
Kwahiyo waache kucheza mpira au wacheze kwa muda fulani na waache kucheza ili kulinda uanauke wao??!--- alikuwa na maana hiyo??
Alikuwa anasema kweli wanatuletea makombe lakini watunzieni pia malengo yao ya baadae kama wanawake..
 
Rais anaongelea matiti tena ya wanawake wenzake?

This is beyond shameful, beyond embarrassing, and downright beyond the pale. Cringeworthy.

I’m at a loss for words!

View attachment 1905556

Tanzania's President criticized for calling soccer women 'flat-chests'​


Tanzania's President Samia Suluhu Hassan has come under fire for remarks about women footballers having "flat-chests" and suggesting they would not be attractive candidates for marriage.

Hassan made the comments at a ceremony on Sunday to celebrate the victory of a national men's team in a regional football championship, where ironically she also called for better funding for women's sports.

"For those who have flat chests, you might think they are men and not women," she said at Sunday's event.

"And if you look at their faces you might wonder... because if you want to marry, you want someone who is attractive, a lady who has the qualities that you want."

She added that for the women footballers "those qualities have disappeared".

Hassan, who took office in March after the sudden death of her predecessor John Magafuli, is the only current serving female head of state in Africa alongside Ethiopia's President Sahle-Work Zewde, whose role is mainly ceremonial.

"Today they are making us proud as a nation when they bring trophies to the country but if you look at their lives in the future, when the legs are tired from playing, when they don't have the health to play, what life will they be living?" she said.

"The life of marriage is like a dream to them. Because even if one of you here takes them home as your wife, your mother will ask if they are a woman or a fellow man."
Ndiyo akili ya raisi wako!!! Kuangalia maisha ya mbele ya hao wachezaji siyo lazima ubeze muonekano wao!!!
 
kwamba hawatoolewa kwahiyo tuwasaidie hela... Hizi ndo smart heads/big brains zakuongoza taifa!! Tz kuendelea bado saaaaana dog.
 
Back
Top Bottom