Coach Slamah Hamad
JF-Expert Member
- Nov 12, 2014
- 3,740
- 4,938
Siasa za Mwaka huu mpaka tufike April 2026, kazi ipo Mbona!Titi nyonyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siasa za Mwaka huu mpaka tufike April 2026, kazi ipo Mbona!Titi nyonyo
Kuna mtu kafuta sadly sikumbuki username yake, Ali comment nukta (dots) kadhaa.Comment ya mwisho kabla hii ya kwako, ilikuwa ni May 4, 2022. Karibu miaka miwili iliyopita.
Ni nani huyo unayemuuliza kwa nini kalifukua kaburi?
Ana mambo ya ajabu sana!Anataka wote wajazie mtindi kama nani vile
Bro..🤣
Watu wachokozi sana!
Kaburi umefukua wewe halafu unauliza?Kwanini unafukua hili kaburi?
TulishazoeshwaSiasa za Mwaka huu mpaka tufike April 2026, kazi ipo Mbona!
Ni mpango wa kumfanya Samia apoteze sifa za kugombea 2025Kuna nini kinaendelea mpaka samia apigwe vita kiasi hiki? Maana hapo nyuma kumekuwa na utulivu sana. Au kuna mabeberu wemenyimwa contract fulani fulani sasa wanaanza kurusha makombora?
Kweli.Tulishazoeshwa
Wallaih sio mimi! 🙆♀️Kaburi umefukua wewe halafu unauliza?
Nimeshindwa kukaa na li nini?Muanzisha mada umeshindwa kukaanalo mpaka uyalete humu! Huo ndio uanaume!