Rais Samia anaongelea matiti, tena ya Wanawake wenzake?

Rais Samia anaongelea matiti, tena ya Wanawake wenzake?

Halafu anajidai kutaka kuweka pini wengine wasigombee uRais 2025, iwe yeye tu, tuendelee na karaha kama hizi kwa miaka mingine 5?!! Haiwezekani. Wanaume mjiandae tu kuchukua kiti chenu.
Kwa hiyo unachagua mtu kwa kauli au maendelo atakayoyafanya kwa watanzania
 
Akili fupi kaka kisoda! Kwani soka huchezwa Tanzania tu? Ukizungumzia maumbile unakuwa umevuka mipaka. Kwani wanawake wabaya au wazuri wako Tanzania tu??

Umeaibisha hata ufahamu wako!! Mwanamke sio wa kusema wanawake wengine ni wabaya. Na mwanamke sio mzungumzaji wa wanaume kuwa matiti ni dili sana katika kuolewa!!

Rais amejishushia heshima kuona mambo kwa mtazamo wa kuolewa kama ni big deal! Kuna wenye maziwa makubwa na hawaolewi vilevile na wala hawachezi soka. Je Rais anaweza kutupa sasabu????
Huo ni mtazamo wake, lazima maadili ya kiafrika tuyalinde
 
29 August 2021
Nairobi, Kenya

CAF Women Champions League (CECAFA) zonal , PVP Burundi 1 - 4 Simba Queens Tanzania highlights.​


Source : FKF TV
 
Wapemba wanayaita machuchu ,zile za hawa wacheza mpira wa kike zimekaa kama chuchu yaani bado kama ndio zinachipuwa.ni mazoezi tu ndo yanawafanya wanakuwa vijeba.
 
31 August 2021
Nairobi

MICHUANO YA SOKA LA WANAWAKE KUELEKEA MAKUNDI CAF , KANDA YA CECAFA

LADY DOVES 0 : 0 SIMBA QUEENS



Timu bingwa ya ligi ya Uganda vs Simba Queens timu bingwa ya ligi ya wanawake Tanzania kuwania nafasi kuelekea michuano ya Klabu Bingwa ya CAF kwa wanawake.

Source : FKF TV
 
03 September 2021
Nairobi, Kenya

SIMBA QUEENS 10 - 0 FAD Club



SIMBA QUEENS vs FAD Club Tous les buts et faits saillants de la Ligue des champions féminine de la CAF Éliminatoires CECAFA 2021
 
We faller kuna wakati uliomba radhi nilijua umebadikika kumbe bado umejaza mavi kichwani, karibu na endelea
Mimi naitwa Kahtaan.
Mimi kuwakaripia Wala viti moto ni kujaribu kuwasaidia.
Sijatukana mtu hapa miss Glenn .
Relax
Darasa lzm tutoe otherwise JF itajazwa utumbo wa nguruwe kila page
Nikutakie jioni njema.
 
Sawa mkuu The List naona baada ya life ban na kimya cha muda mrefu umekuja na ID mpya.

Mzee wa Imbecile. [emoji23][emoji23][emoji23]
Unafahamu maana ya Life Ban.
Or is it a language barrier causing trouble sweet jelebi.

Na nani Ana ID mpya. Mi na wewe tunafahamiana kweli?
 
Halafu anajidai kutaka kuweka pini wengine wasigombee uRais 2025, iwe yeye tu, tuendelee na karaha kama hizi kwa miaka mingine 5?!! Haiwezekani. Wanaume mjiandae tu kuchukua kiti chenu.
Na alokwambia kiti cha urais Tanzania ni mali ya wanamme mumeo au buzi lako unalolichuna.
Paka wa mitaani wahedi.
 
Back
Top Bottom