Kwani kunashidoSema hawa wadada, wamepata watetezi bana, wametetewa sana.....
Ndio ujue na wao ni kimbilio la wanyonge.Sema hawa wadada, wamepata watetezi bana, wametetewa sana.....
Sera za cdmYaani kila kitu tu jitu linapinga ka lishetani tu
Zamani kwenye sheria za Dini zote waislam na wakristo
Wazinzi walikuwa wanapokea nawe mpaka kufa
Sasa ndio adhabu hii??
Bora mchawi kuliko kahaba
Kahaba ni mchawi anayetembea kea miguu mchana kweupe
Huyu alikuwa UVCCM Ukerewe takataka hiiHivi walimuokota wapi, au alitokea uvccm?
naunga mkono.Vichaa nini
Mungu awape watoto makahaba mjue uchungu wake
Hamjui kwa kufanya hivi ni ujumbe kwa kizazi chetu kijacho (watoto wetu)
Maadili yanaporomoka sana siku hizi
Tunatengeneza kizazi cha sodoma na gomora
Hata kama hatuipendi serikali ya CCM tusiwe watu wa kupinga kila kitu ni ujinga
Mimi natamani operation hii iwe nchi nzima kwa jina la Yesu [emoji113]
Hata wewe ukidakwa tutakuteteaSema hawa wadada, wamepata watetezi bana, wametetewa sana.....
Unaweza kuzuia sumu isifanye kazi kwa kuilamba?naunga mkono.
nawashangaa baadhi ya wakuu wa wilaya na mikoa wanashangaaa tu. Safisheni biashara haramu ya ukahaba kwenye maeneo yenu.
biashara ya kuuza uchi ni kinyume na maadili yetu.
Nshakuambia tangu jana it cost nothing kuwa mstaarabu.Hata wewe ukidakwa tutakutetea
Wewe umepewa lini hivyo virusi?Malaya na wateja wao wanateseka sana.
Tunamuomba Mkuu wa Wilaya kamwe asirudi nyuma. abane hivyo hivyo.
Malaya wanaeneza virusi vya ukimwi kwa nguvu kazi.
Tena ikiwezekana tunamuomba Rais amateue awe Mkuu wa Mkoa ili akomeshe vitendo vya ukahaba Jijini.
tangu operesheni ianze Ubungo, Malaya wote sasa wameanza kufanya kazi halali, wengine wamerudi vijijini kufanya kazi halali, wengi sasa wanaogopa kuaibika.
Hongera sana DC wa Wilaya ya Ubungo. Wananchi wema wapo pamoja naye lakini Mungu atamlinda. endelea kuchapa kazi.
Hamna shida 😁Kwani kunashido
Hivi bado hujaolewaNshakuambia tangu jana it cost nothing kuwa mstaarabu.
Huwezi kamwe kumaliza tatizo la ukahaba kwa kuzunguka mitaani kukamata watu! Huo ni uongo na ni cheap politics hakuna kitu hapo.naunga mkono.
nawashangaa baadhi ya wakuu wa wilaya na mikoa wanashangaaa tu. Safisheni biashara haramu ya ukahaba kwenye maeneo yenu.
biashara ya kuuza uchi ni kinyume na maadili yetu.
Sahihi.Huwezi kamwe kumaliza tatizo la ukahaba kwa kuzunguka mitaani kukamata watu! Huo ni uongo na ni cheap politics hakuna kitu hapo.
Mngekua na akili mngeanza kwa kutafuta kiini cha tatizo la kwanini wadada wengi wanaona njia pekee ya kujipatia kipato ni kujiuza. Na hao walioko mitaani ni asilimia chini ya 10 ya wanaojiuza.
Anataka kuhamisha Bahari ya Antaktica wakati anazaliwa ameikuta na atakufa ataiacha yaan huyu Mbuzi wa kafara anataka kuikausha Bahari ya Mediterranean wakati ilikuwepo tangu Mwaka 1 yaan tangu KK huko leo ni 2024 kitumbili kimoja kinajifanya kinataka kimshinde Yesu wakati Yesu mwenyewe aliwaacha waendelee akapita kusulubiwaHuwezi kamwe kumaliza tatizo la ukahaba kwa kuzunguka mitaani kukamata watu! Huo ni uongo na ni cheap politics hakuna kitu hapo.
Mngekua na akili mngeanza kwa kutafuta kiini cha tatizo la kwanini wadada wengi wanaona njia pekee ya kujipatia kipato ni kujiuza. Na hao walioko mitaani ni asilimia chini ya 10 ya wanaojiuza.
Nimekuuliza umeolewa Mrembo nataka nikuletee PosaNshakuambia tangu jana it cost nothing kuwa mstaarabu.
Kinachotakiwa afuate Sheria na hatuna Sheria inayokataza ukahaba.Malaya na wateja wao wanateseka sana.
Tunamuomba Mkuu wa Wilaya kamwe asirudi nyuma. abane hivyo hivyo.
Malaya wanaeneza virusi vya ukimwi kwa nguvu kazi.
Tena ikiwezekana tunamuomba Rais amateue awe Mkuu wa Mkoa ili akomeshe vitendo vya ukahaba Jijini.
tangu operesheni ianze Ubungo, Malaya wote sasa wameanza kufanya kazi halali, wengine wamerudi vijijini kufanya kazi halali, wengi sasa wanaogopa kuaibika.
Hongera sana DC wa Wilaya ya Ubungo. Wananchi wema wapo pamoja naye lakini Mungu atamlinda. endelea kuchapa kazi.
Hawauzi wanabaki nazohata hao malaya wakipigwa picha wanaficha sura zao wakijua kuwa matendo yao hayafai kwenye jamii.
tusiwachekee hawa nyau, waende wakalime. sio kuuza uchi.
Huwezi kuwakamata watu wazima wawili wakiwa kitandani kwa tuhuma za prostitution.Yaani kila kitu tu jitu linapinga ka lishetani tu😑
Zamani kwenye sheria za Dini zote waislam na wakristo
Wazinzi walikuwa wanapigwa kwa mawe mpaka kufa
Sasa ndio adhabu hii??
Bora mchawi kuliko kahaba
Kahaba ni mchawi anayetembea kwa miguu mchana kweupe