cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawa makahaba watokomezwe Ili Hawa kataa NDOA wakose pa kukimbilia wakalipe mahari, wakaoe na kujua thamani ya mke.
Naungana na DC.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawa makahaba watokomezwe Ili Hawa kataa NDOA wakose pa kukimbilia wakalipe mahari, wakaoe na kujua thamani ya mke.
Naungana na DC.
Mkuu, umeongea kwa jaziba sana ila sijaelewa point yako ni ipi? Waaachie wanaojiuza au utaratibu umekosewa? Au hii biashara ihalalishwe kabisa?Kama kiongozi ambae ni presidential appointment anaweza kuwa mpumbavu kiasi cha kutoa oda za kudhalilisha watu maana yake ujumbe umfikie Rais Samia na huyu mtu hapaswi kuendelea kuwa ofisini as we speak!
Hivi jeshi la polisi have no room to reason kutokana na orders za hawa makarai ya kisiasa?
Haiwezekani nchi ikawa inaendeshwa kama familia ya mtu binafsi. , na hizo nafasi za DC , CCM mnazichukulia kama ni nafasi zenu na huwa mnawapa watu very low IQ ambao wengine hata form 6 hawajamaliza.
Kwanini Rais anateua nafasi za U DC? Why
Kwanini hizi nafasi zisiingizwe kwenye mchakato wa utumishi, watanzania wenye Qualification waombe na kufanyiwa interview, watanzania wenye akili na maelimu kwa sasa ni wengi mno, kwanini mnaendelea kutoa nafasi kama hizo kwa wasanii na watu wajinga , why manahodhi snaa position just kwa manufaa ya CCM ?
CCM Tupo Karne 21 to 22, msipobadlika na kuchange some of the useless regimen , na mka adopt the new code, you guys very soon mnakuwa kwenye death bed
USA, they go back and realized hatuwezi kuendelea na biashara ya utumwa, huko mbeleni hawa jamaa wataamka na kudai haki zao, lazima to abolish utumwa ili baadae mambo yasiwe mengi. They did .
A man was not born as a typical slave and you will not be able to enslave him forever, unless unahitaji bloodshed huko mbeleni.
Watu smart na wenye akili waliona hili that is why today , we have developed countries ambazo viongozi wetu ndio wanakuja kushangaa miji, akiwemo Samia.
Huko kwetu nchi nzima imejaa mabango kudanganya watanzania, ameweza ametimiza!
Do we really need huu uchafuzi wa mji mzima kuweka mabango kwa vitu nonsense, kama mtu anafanya kazi in a serious note, tuone output , sio kwenye mabango, hizo ni justification za kisiasa, and truly , it is not the right time to mislead watanzania na hizi cheap politics;
Tanzania is very very poor country yenye viongozi matajiri, shame .
Nafasi za UDC
Nafasi za Ukuu wa Mikoa
CEO wa mashirika ya umma
Wenyeviti wa bodi
Wekeni utumishi watanzania wenye sifa waombe; haya mambo ya ma PDF ,yamepitwa na wakati na ni ukiritimba wa Hali ya juu wenye masilahi binafisi na yameleta makarai mengi sana kwenye Ofisi za Umma.
Pia Soma
- Vita ya DC Ubungo na Makahaba: Mgongano wa sheria, haki na maadili
- Vigezo gani anavitumia DC wa wilaya ya Ubungo, Hassan Bomboko kuvamia kumbi za starehe na nyumba za wageni kukamata watu anaodai ni makahaba?
- Kuna kesi ya udhalilishaji kama wale walioonekana kwenye video ya kukamata makahaba watapata mwanasheria mzuri
- Vita ya DC Ubungo na Makahaba: Mgongano wa sheria, haki na maadili
Athari lazima zimekwepo; ila utekelezaji was kuwakamata ulikuwa wa kukurupuka.Kiasi imeathiri sana wauzaji na wanunuaji au sio.....
Walikamatwa mbona walikua watano, kuna mmoja mdingi na kitambi yake.....Athari lazima zimekwepo; ila utekelezaji was kuwakamata ulikuwa wa kukurupuka.
Halafu mbona hawakumkamata mnunuaji hata mmoja...?!
Mh... ndiyo nasikia kutoka kwako...! Ulimwona fizikali au picha?Walikamatwa mbona walikua watano, kuna mmoja mdingi na kitambi yake.....
Picha na vids, nshazifuta ningekuonesha.Mh... ndiyo nasikia kutoka kwako...! Ulimwona fizikali au picha?
Ww una fikra ndogo mno. Mithili ya pini. Mnaendekeza uchafuAkil yako ni ndogo mno
Wanawake walikuwa 25, walikuwa wanafanya sixsome?Walikamatwa mbona walikua watano, kuna mmoja mdingi na kitambi yake.....
Hawakua wamefikia hitimisho la biashara ilikua bado wanabargainWanawake walikuwa 25, walikuwa wanafanya sixsome?