Rais Samia anashauriwa kutengua uteuzi wa Hassan Bomboko Haraka iwezekanavyo

Rais Samia anashauriwa kutengua uteuzi wa Hassan Bomboko Haraka iwezekanavyo

Vichaa nini
Mungu awape watoto makahaba mjue uchungu wake
Hamjui kwa kufanya hivi ni ujumbe kwa kizazi chetu kijacho (watoto wetu)
Maadili yanaporomoka sana siku hizi
Tunatengeneza kizazi cha sodoma na gomora
Hata kama hatuipendi serikali ya CCM tusiwe watu wa kupinga kila kitu ni ujinga
Mimi natamani operation hii iwe nchi nzima kwa jina la Yesu ✋
Mmekosa kazi za kufanya, kuna mtoto kakamatwa pale
 
Wilaya ya ubungo wanaojiuza watafute biashara nyingine wataendelea kukamatwa hakuna kula kwa dezo ,wenzao wanatembeza matunda,nguo,viatu,uji,nk mwendo wa spana tu
Wewe kweli ni Makal.....Wewe unaona wanakula kwa dezo na wewe tega hizo shimo hapo uone moto wake..Hacheni kumshangilia huyu Dc kwa kukosa kazi za kufanya anakimbilia Makahaba.
Tunataka viongozi wenye kuleta Maendeleo sio kutaka sifa...yaani huyu na kujipiga vipodozi anaweza pambana na Fupa lilomshinda Makamba snr?
 
Shida siyo Raisi. Shida kubwa ya kwanza na muhimu zaidi ni katiba ya vyama vyote yaani mpya . Nje ya hapo piga gitaa hadi nyuzi zikatike lakini halitasikika.
 
Acheni ujinga mnatetea dhambi ukahaba
Ukahaba ni dhambi, wewe aliyekuambia dhambi ni nani?

After all , ukahaba ni dhambi pekee hapo Tanzania;? aidha, kimsingi kama ni dhambi, ni nani mwenye jukumu la kuhukumu dhambi? Au umetumwa na Mungu wako kumsaidia kuhukumu dhambi maana yeye amechoka, stupid is as stupid does .

Among ya watu waliokamatwa, wengine walikamatwa kimakosa Na ni aibu kwa familia, hili unaliwekaji.

Ukahaba ni kazi, wasajiliwe na wawekewe mazingira mazuri si inawateja, na wateja ndio sisi ndio nyie, tujifunze perspective za maisha.

Wewe hapo ulipo, umekuwa Na watu wangapi kwenye mahusiano yako, weka idadi hapa nikuoneshe ukahaba wako

Dhambi dhambi mungu ni babako wewe au msaidizi wako , ?
 
Kama kiongozi ambae ni presidential appointment anaweza kuwa mpumbavu kiasi cha kutoa oda za kudhalilisha watu maana yake ujumbe umfikie Rais Samia na huyu mtu hapaswi kuendelea kuwa ofisini as we speak!

Hivi jeshi la polisi have no room to reason kutokana na orders za hawa makarai ya kisiasa?

Haiwezekani nchi ikawa inaendeshwa kama familia ya mtu binafsi. , na hizo nafasi za DC , CCM mnazichukulia kama ni nafasi zenu na huwa mnawapa watu very low IQ ambao wengine hata form 6 hawajamaliza.

Kwanini Rais anateua nafasi za U DC? Why

Kwanini hizi nafasi zisiingizwe kwenye mchakato wa utumishi, watanzania wenye Qualification waombe na kufanyiwa interview, watanzania wenye akili na maelimu kwa sasa ni wengi mno, kwanini mnaendelea kutoa nafasi kama hizo kwa wasanii na watu wajinga , why manahodhi snaa position just kwa manufaa ya CCM ?

CCM Tupo Karne 21 to 22, msipobadlika na kuchange some of the useless regimen , na mka adopt the new code, you guys very soon mnakuwa kwenye death bed

USA, they go back and realized hatuwezi kuendelea na biashara ya utumwa, huko mbeleni hawa jamaa wataamka na kudai haki zao, lazima to abolish utumwa ili baadae mambo yasiwe mengi. They did .

A man was not born as a typical slave and you will not be able to enslave him forever, unless unahitaji bloodshed huko mbeleni.

Watu smart na wenye akili waliona hili that is why today , we have developed countries ambazo viongozi wetu ndio wanakuja kushangaa miji, akiwemo Samia.

Huko kwetu nchi nzima imejaa mabango kudanganya watanzania, ameweza ametimiza!

Do we really need huu uchafuzi wa mji mzima kuweka mabango kwa vitu nonsense, kama mtu anafanya kazi in a serious note, tuone output , sio kwenye mabango, hizo ni justification za kisiasa, and truly , it is not the right time to mislead watanzania na hizi cheap politics;

Tanzania is very very poor country yenye viongozi matajiri, shame .

Nafasi za UDC
Nafasi za Ukuu wa Mikoa
CEO wa mashirika ya umma
Wenyeviti wa bodi

Wekeni utumishi watanzania wenye sifa waombe; haya mambo ya ma PDF ,yamepitwa na wakati na ni ukiritimba wa Hali ya juu wenye masilahi binafisi na yameleta makarai mengi sana kwenye Ofisi za Umma.

Pia Soma
Mkuu kwenye suala la "sugar gap" wamegusa maslahi ya watu wachache wenye mamlaka ndani ya mfumo rasmi. Hesabu imeshapigwa katika suala hili la biashara ya ukahaba ndani ya mfumo usiokuwa rasmi lakini ni "extra legal", na pia ni lenye kugusa maslahi ya wadau wengi sana!

Ukigusa maslahi ya mwenye mamlaka, ni lazima atayagusa ya kwako pia ili aweze kukutoa kwenye reli. Kashfa ya vibali vya sukari inahamishwa taratibu katika mijadala, na badala yake mijadala inahamia katika fukuzana hii mpya ya Tom & Jelly katika biashara ya udangaji.
 
Wewe kweli ni Makal.....Wewe unaona wanakula kwa dezo na wewe tega hizo shimo hapo uone moto wake..Hacheni kumshangilia huyu Dc kwa kukosa kazi za kufanya anakimbilia Makahaba.
Tunataka viongozi wenye kuleta Maendeleo sio kutaka sifa...yaani huyu na kujipiga vipodozi anaweza pambana na Fupa lilomshinda Makamba snr?
Kwanza t
Malaya na wateja wao wanateseka sana.
Tunamuomba Mkuu wa Wilaya kamwe asirudi nyuma. abane hivyo hivyo.
Malaya wanaeneza virusi vya ukimwi kwa nguvu kazi.
Tena ikiwezekana tunamuomba Rais amateue awe Mkuu wa Mkoa ili akomeshe vitendo vya ukahaba Jijini.

tangu operesheni ianze Ubungo, Malaya wote sasa wameanza kufanya kazi halali, wengine wamerudi vijijini kufanya kazi halali, wengi sasa wanaogopa kuaibika.

Hongera sana DC wa Wilaya ya Ubungo. Wananchi wema wapo pamoja naye lakini Mungu atamlinda. endelea kuchapa kazi.
i am sorry by saying kwamba wewe ni mjinga! Are you she or he ?

By the way ….kazi halali ni ipi, ? Do you think unaweza kuzuia ukahaba kwa hizo operesheni mbuzi.

Ukahaba ni kazi halali na inapeleka watoto shule na kuna viongozi wengi serikalini walisomeshwa kwa wazaz wao kufanya Ukahaba either wa kujipanga njiani au wa kukaa nyumbani na kutumika kwa matumizi with cash . Wewe umechunguza ulikuaje kuaje?

Sasa kuwa na akili;
Kuna watoto wengi hawana madawati ubungo, kuna shida ya maji eneo la ubungo, na matukio mengi, ajikite huko kufanya maendeleo. Ukiona amefanya hilo tukio ujue hana kazi za kufanya. Kama serikali itamuacha hapo Ofisini, kuna tatizo kubwa ahead
Amedhalilisha watu , and some people might choose to do the same
 
Mkuu kwenye suala la "sugar gap" wamegusa maslahi ya watu wachache wenye mamlaka ndani ya mfumo rasmi. Hesabu imeshapigwa katika suala hili la biashara ya ukahaba ndani ya mfumo usiokuwa rasmi lakini ni "extra legal", na pia ni lenye kugusa maslahi ya wadau wengi sana!

Ukigusa maslahi ya mwenye mamlaka, ni lazima atayagusa ya kwako pia ili aweze kukutoa kwenye reli. Kashfa ya vibali vya sukari inahamishwa taratibu katika mijadala, na badala yake mijadala inahamia katika fukuzana hii mpya ya Tom & Jelly katika biashara ya udangaji.
Aisee
 
Vichaa nini
Mungu awape watoto makahaba mjue uchungu wake
Hamjui kwa kufanya hivi ni ujumbe kwa kizazi chetu kijacho (watoto wetu)
Maadili yanaporomoka sana siku hizi
Tunatengeneza kizazi cha sodoma na gomora
Hata kama hatuipendi serikali ya CCM tusiwe watu wa kupinga kila kitu ni ujinga
Mimi natamani operation hii iwe nchi nzima kwa jina la Yesu ✋
Huna Akili.

Hata developed countries wapo hao watu

Wekeni mazingira mazuri huwezi kupangianwatu nn cha kufanya for as long as hawafanyi offense .

Watanzania mpo kwenye kisiwa akili zenu ni ndogo sana
 
Nafasi ya mkuu wa wilaya na katibu tawala wilaya na wale makatibu tarafa hazina umuhimu kimuundo, kazi zao znaweza kufanywa na halmashauri za wilaya

khs huyo DC ngoja ile kesi iishe tuone kama ataweza kulipa fidia

hv Bashe bado ni waziri au amesha pigwa chini?
Hakika na seems hawana kazi za kufanya
 
Kama kiongozi ambae ni presidential appointment anaweza kuwa mpumbavu kiasi cha kutoa oda za kudhalilisha watu maana yake ujumbe umfikie Rais Samia na huyu mtu hapaswi kuendelea kuwa ofisini as we speak!

Hivi jeshi la polisi have no room to reason kutokana na orders za hawa makarai ya kisiasa?

Haiwezekani nchi ikawa inaendeshwa kama familia ya mtu binafsi. , na hizo nafasi za DC , CCM mnazichukulia kama ni nafasi zenu na huwa mnawapa watu very low IQ ambao wengine hata form 6 hawajamaliza.

Kwanini Rais anateua nafasi za U DC? Why

Kwanini hizi nafasi zisiingizwe kwenye mchakato wa utumishi, watanzania wenye Qualification waombe na kufanyiwa interview, watanzania wenye akili na maelimu kwa sasa ni wengi mno, kwanini mnaendelea kutoa nafasi kama hizo kwa wasanii na watu wajinga , why manahodhi snaa position just kwa manufaa ya CCM ?

CCM Tupo Karne 21 to 22, msipobadlika na kuchange some of the useless regimen , na mka adopt the new code, you guys very soon mnakuwa kwenye death bed

USA, they go back and realized hatuwezi kuendelea na biashara ya utumwa, huko mbeleni hawa jamaa wataamka na kudai haki zao, lazima to abolish utumwa ili baadae mambo yasiwe mengi. They did .

A man was not born as a typical slave and you will not be able to enslave him forever, unless unahitaji bloodshed huko mbeleni.

Watu smart na wenye akili waliona hili that is why today , we have developed countries ambazo viongozi wetu ndio wanakuja kushangaa miji, akiwemo Samia.

Huko kwetu nchi nzima imejaa mabango kudanganya watanzania, ameweza ametimiza!

Do we really need huu uchafuzi wa mji mzima kuweka mabango kwa vitu nonsense, kama mtu anafanya kazi in a serious note, tuone output , sio kwenye mabango, hizo ni justification za kisiasa, and truly , it is not the right time to mislead watanzania na hizi cheap politics;

Tanzania is very very poor country yenye viongozi matajiri, shame .

Nafasi za UDC
Nafasi za Ukuu wa Mikoa
CEO wa mashirika ya umma
Wenyeviti wa bodi

Wekeni utumishi watanzania wenye sifa waombe; haya mambo ya ma PDF ,yamepitwa na wakati na ni ukiritimba wa Hali ya juu wenye masilahi binafisi na yameleta makarai mengi sana kwenye Ofisi za Umma.

Pia Soma
Mh Samia, usimtengue, huyu Bomboko tunaye sana: Mnataka iwe ushindi kwa Mahahaba?
Nyumba ni madanguro na hazifanyi biashara za Guest house, sasa TRA waende wakadai EFD receipt siku ya ukamataji, waseme waliingia wateja wangapi na walilipa kiasi gani otherwise tuache upuuzi wa kudhalilisja wanawake, sasa hivi zinaa mnataka tuifanye halali, wadada wanauza "shoo" kwa elfu 2 kwa wanafunzi wa UDSM na elfu 5 kwa watumishi na madereva, hamuoni huruma?

#Bomboko tunaye sana.
 
Kwanza t

i am sorry by saying kwamba wewe ni mjinga! Are you she or he ?

By the way ….kazi halali ni ipi, ? Do you think unaweza kuzuia ukahaba kwa hizo operesheni mbuzi.

Ukahaba ni kazi halali na inapeleka watoto shule na kuna viongozi wengi serikalini walisomeshwa kwa wazaz wao kufanya Ukahaba either wa kujipanga njiani au wa kukaa nyumbani na kutumika kwa matumizi with cash . Wewe umechunguza ulikuaje kuaje?

Sasa kuwa na akili;
Kuna watoto wengi hawana madawati ubungo, kuna shida ya maji eneo la ubungo, na matukio mengi, ajikite huko kufanya maendeleo. Ukiona amefanya hilo tukio ujue hana kazi za kufanya. Kama serikali itamuacha hapo Ofisini, kuna tatizo kubwa ahead
Amedhalilisha watu , and some people might choose to do the same
Anatakiwa kulipa 36Bln na wakili kashangua shauri Mahakamani..
 
Kama kiongozi ambae ni presidential appointment anaweza kuwa mpumbavu kiasi cha kutoa oda za kudhalilisha watu maana yake ujumbe umfikie Rais Samia na huyu mtu hapaswi kuendelea kuwa ofisini as we speak!

Hivi jeshi la polisi have no room to reason kutokana na orders za hawa makarai ya kisiasa?

Haiwezekani nchi ikawa inaendeshwa kama familia ya mtu binafsi. , na hizo nafasi za DC , CCM mnazichukulia kama ni nafasi zenu na huwa mnawapa watu very low IQ ambao wengine hata form 6 hawajamaliza.

Kwanini Rais anateua nafasi za U DC? Why

Kwanini hizi nafasi zisiingizwe kwenye mchakato wa utumishi, watanzania wenye Qualification waombe na kufanyiwa interview, watanzania wenye akili na maelimu kwa sasa ni wengi mno, kwanini mnaendelea kutoa nafasi kama hizo kwa wasanii na watu wajinga , why manahodhi snaa position just kwa manufaa ya CCM ?

CCM Tupo Karne 21 to 22, msipobadlika na kuchange some of the useless regimen , na mka adopt the new code, you guys very soon mnakuwa kwenye death bed

USA, they go back and realized hatuwezi kuendelea na biashara ya utumwa, huko mbeleni hawa jamaa wataamka na kudai haki zao, lazima to abolish utumwa ili baadae mambo yasiwe mengi. They did .

A man was not born as a typical slave and you will not be able to enslave him forever, unless unahitaji bloodshed huko mbeleni.

Watu smart na wenye akili waliona hili that is why today , we have developed countries ambazo viongozi wetu ndio wanakuja kushangaa miji, akiwemo Samia.

Huko kwetu nchi nzima imejaa mabango kudanganya watanzania, ameweza ametimiza!

Do we really need huu uchafuzi wa mji mzima kuweka mabango kwa vitu nonsense, kama mtu anafanya kazi in a serious note, tuone output , sio kwenye mabango, hizo ni justification za kisiasa, and truly , it is not the right time to mislead watanzania na hizi cheap politics;

Tanzania is very very poor country yenye viongozi matajiri, shame .

Nafasi za UDC
Nafasi za Ukuu wa Mikoa
CEO wa mashirika ya umma
Wenyeviti wa bodi

Wekeni utumishi watanzania wenye sifa waombe; haya mambo ya ma PDF ,yamepitwa na wakati na ni ukiritimba wa Hali ya juu wenye masilahi binafisi na yameleta makarai mengi sana kwenye Ofisi za Umma.

Pia Soma
Cha ajabu alivyo mkatili ni wanawake wenzake wanadhalilishwa na yeye hasemi kitu yupo tu. Arusha Makonda amemdhalilisha afisa wa serikali mwanamke Samia yeye haikumgusa yupo tu, hivi anaweza kweli kulinda mali za nchi hii na Waarabu na wezi wengine wa kimataifa?!
 
Back
Top Bottom