Rais Samia anashauriwa kutengua uteuzi wa Hassan Bomboko Haraka iwezekanavyo

Hawa makahaba watokomezwe Ili Hawa kataa NDOA wakose pa kukimbilia wakalipe mahari, wakaoe na kujua thamani ya mke.

Naungana na DC.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Bomboko kazia hapo hapo had wapoteanee, mxxxxxiiiiiiieeeeeew
 
Mkuu, umeongea kwa jaziba sana ila sijaelewa point yako ni ipi? Waaachie wanaojiuza au utaratibu umekosewa? Au hii biashara ihalalishwe kabisa?
 
Athari lazima zimekwepo; ila utekelezaji was kuwakamata ulikuwa wa kukurupuka.

Halafu mbona hawakumkamata mnunuaji hata mmoja...?!
Walikamatwa mbona walikua watano, kuna mmoja mdingi na kitambi yake.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…