Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Huu uzi wale chawa wa CHADEMA huwezi kuwaona wakiuchangia. Mbowe ana watu wake humu JF kutwa kucha wao na habari mbaya za serikali.Chini ya Samia viwanda ni π₯π₯
View: https://www.instagram.com/p/C_0XpmeIRUx/?igsh=MXFoeTlkbjAxbDh0Mg==
Wabongo badala ya kutafuta ajira kwenye viwanda hivi wapo bize kumchokonoa Rais na mipango yake.
Ni nyumbu wa Chadema ila Watanzania wako busy kuchangamkia fursaWabongo badala ya kutafuta ajira kwenye viwanda hivi wapo bize kumchokonoa Rais na mipango yake.
Kule Mtwara gesi inavunwa na urahisi wa kufanya biashara hiyo umeshawekwa na serikali, haya ni masuala yenye kutakiwa sisi kuyajadili kwa kina, mambo ya kimaendeleo.
Tunaendekeza siasa za kipuuzi ambazo ni sehemu ya kujaribu kuzivua hasira zetu za ndani tulizonazo.
Samia anajitahidi sana katika kubadili hali za kimaisha za Watanzania. Wale mabrotherman kina Makamba na Maharage walikosa mbinu za kupambana na mgao wa umeme akafanya la maana kuachana nao.Ni nyumbu wa Chadema ila Watanzania wako busy kuchangamkia fursa
Mbowe na watu wake hawawezi kuusoma huu uzi wao siku zote ni maongezi ya shari tu. Hizi ni fursa kwetu sisi Watanzania.
Ange ni tofauti na Kufanya.Magu na uwekezaji wa biashara na viwanda wapi na wapi?Legacy ya Magufuri haiwezi kufutika! Inawezekana hayo ambayo Maza anayafanya ndiyo Magu angeyafanya kama angekuwa hai.