jitombashisho
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 667
- 2,245
Mkuu ,tafuta HELA.Huku akitamani kukagua gwaride la 9 December Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameingiwa na wasiwasi wa ni namna gani wazungu waliompa pesa za Covid watamchukulia endapo ataandaa kusanyiko takatifu la kiwango kile la watu.
Duru za kweli kabisa zinatabanaisha kuwa huenda maadhimisho ya sherehe za uhuru wa Tanzania yasiwapo kwa hofu ya waliofadhili mabilioni ya shilingi ili Tanzania ipambane na Covid wataghadhabishwa kwalo.
Maoni yangu;
Cha mtu ni mavi!
Huna hakikaSherehe zipo tena kubwa sana!
Una hakika sina pesa?Mkuu ,tafuta HELA.
Tumebakiza siku 53 mwaka uishe.
Ustangukize mihemko sana kwenye vitu usivyo vijua.
Mimi ninaona una MIHEMKO tu.Una hakika sina pesa?
Nimekwambia ni sherehe za kihistoria!Huna hakika
Subiri 9/12 ifike ndiyo utajua nina mihemuko ama la.Mimi ninaona una MIHEMKO tu.
9/12 ni historia iliyo bayana lakini mama anawahofia wazungu endapo atakusanya umati wa watu.Nimekwambia ni sherehe za kihistoria!
Wazungu nao wameomba mwaliko!9/12 ni historia iliyo bayana lakini mama anawahofia wazungu endapo atakusanya umati wa watu.
Ulifikiri hatuna majibu ya wapuuzi kama wewe!Kafirwe na vibwengo ukalalwe sasa. Kumekucha
Sawa acha tuoneWazungu nao wameomba mwaliko!
Acha hizi mambo...za udaku!Huku akitamani kukagua gwaride la 9 December Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameingiwa na wasiwasi wa ni namna gani wazungu waliompa pesa za Covid watamchukulia endapo ataandaa kusanyiko takatifu la kiwango kile la watu.
Duru za kweli kabisa zinatabanaisha kuwa huenda maadhimisho ya sherehe za uhuru wa Tanzania yasiwapo kwa hofu ya waliofadhili mabilioni ya shilingi ili Tanzania ipambane na Covid wataghadhabishwa kwalo.
Maoni yangu;
Cha mtu ni mavi!
Bundle umemnunulia wewe ?Mkuu ,tafuta HELA.
Tumebakiza siku 53 mwaka uishe.
Ustangukize mihemko sana kwenye vitu usivyo vijua.
Cheki, usha panickKafirwe na vibwengo ukalalwe sasa. Kumekucha
Kajaa mwenyewe na kupaniki kapaniki mwenyewe aloooo!Cheki, usha panick
Unaanza kukimbia na chupi mkononi
Anakuwaga na shobo sana huyo jamaaKajaa mwenyewe na kupaniki kapaniki mwenyewe aloooo!
Sukuma gang mna wakati mgumu sana.Huku akitamani kukagua gwaride la 9 December Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameingiwa na wasiwasi wa ni namna gani wazungu waliompa pesa za Covid watamchukulia endapo ataandaa kusanyiko takatifu la kiwango kile la watu.
Duru za kweli kabisa zinatabanaisha kuwa huenda maadhimisho ya sherehe za uhuru wa Tanzania yasiwapo kwa hofu ya waliofadhili mabilioni ya shilingi ili Tanzania ipambane na Covid wataghadhabishwa kwalo.
Maoni yangu;
Cha mtu ni mavi!
lazima ujue ukweli maana wewe ni mwana kamati ya mapishiSherehe zipo tena kubwa sana!