Rais Samia anatengenezewa shida/ugumu ili asigombee 2025?

Kitu ambacho kwa sasa tunatafakari mkataba utakavyoumiza vijana wetu wajuu, hatutaki kelele.
 

Attachments

  • 69480.jpg
    14.9 KB · Views: 1

Nyie mtu wa dini yenu akichemsha ni lazima mjitetee kwa udini! [emoji849] Sasa hapa kwa Samia dini inaingia vipi? Mpango ndiye aliyemwambia aingie mkataba na DP World? Acheni kuchonganisha watu.
 
Comment ya hovyo kuwahi kuisoma kutoka kwako
 
Comment ya hovyo kuwahi kuisoma kutoka kwako
Huwa nashindwa kuelewa kwa waislamu kwa nini huwa wanahisi kuonewa sababu ya uislamu na si kitu kingine? Magufuli ma hata viongozi wengi wa wakristo wakitukanwa na kushambuliwa sijawahi kuona mtu anasema wanashambuliwa na kutukanwa sababu ni wakristo

Dini imetengenezea waumini wake kutojiamini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…