Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupiga marufuku mazao namuunga mkono...
La Bandari wanaompinga wote wanajua kabisa ukweli bandari hazijauzwa ...anabadilishwa muendeshaji kutoka Ticts aliekaa miaka 25 kuja huyo Dpworld...
Kilichopo ni fitina Tu za kisiasa..
Kampeni ya kumchafua asigombee 2025...
Polycarp Pengo +Dr Slaa na Mgombea wao wanaemtaka 2025...ndo wako behind ya hizi fitina..
Kumbuka anything happening Kwa Samia..anae rithi ni Philip Mpango...
Mkatoliki aliesomea seminary...
We are watching.....
Comment ya hovyo kuwahi kuisoma kutoka kwakoKupiga marufuku mazao namuunga mkono...
La Bandari wanaompinga wote wanajua kabisa ukweli bandari hazijauzwa ...anabadilishwa muendeshaji kutoka Ticts aliekaa miaka 25 kuja huyo Dpworld...
Kilichopo ni fitina Tu za kisiasa..
Kampeni ya kumchafua asigombee 2025...
Polycarp Pengo +Dr Slaa na Mgombea wao wanaemtaka 2025...ndo wako behind ya hizi fitina..
Kumbuka anything happening Kwa Samia..anae rithi ni Philip Mpango...
Mkatoliki aliesomea seminary...
We are watching.....
Huwa nashindwa kuelewa kwa waislamu kwa nini huwa wanahisi kuonewa sababu ya uislamu na si kitu kingine? Magufuli ma hata viongozi wengi wa wakristo wakitukanwa na kushambuliwa sijawahi kuona mtu anasema wanashambuliwa na kutukanwa sababu ni wakristoComment ya hovyo kuwahi kuisoma kutoka kwako