Rais Samia anaweza kuvunja Baraza la Mawaziri

Rais Samia anaweza kuvunja Baraza la Mawaziri

mapessa

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2014
Posts
664
Reaction score
1,168
Historia huenda ikajirudia kwa Rais wa JMT kuchukua maamuzi aliyofanya Rais Mwinyi Mwaka 1990.

Baraza la Mawaziri linaweza kuvunjwa wakati wowote kuanzia sasa.
26918F80-156C-499B-A01B-F1E513BDF042.jpeg
 
Hana uwezo wa kuvunja Baraza la Mawaziri kwasababu Mawaziri wengi ni Team Msoga.

Team Msoga ndio ilimsaidia sana kufika alipofika.

Hana mizizi iliyochimbia huku Tanganyika

Mwisho ni Mama,sifa kubwa za WaMama ni huruma,kulea,kubembeleza na kudekeza.
 
Back
Top Bottom