St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,956
- 5,149
Uwezekano wa kuvunjwa baraza ni mkubwa sana.. Lengo ni kumuondoa yule sijui ni Mmakua, sijui Mmwera.. Hata sijui.. Ila hawawezi kumtoa mpaka wavunje baraza..Hana uwezo wa kuvunja Baraza la Mawaziri kwasababu Mawaziri wengi ni Team Msoga.
Team Msoga ndio ilimsaidia sana kufika alipofika.
Hana mizizi iliyochimbia huku Tanganyika
Mwisho ni Mama,sifa kubwa za WaMama ni huruma,kulea,kubembeleza na kudekeza.