kati ya watu 200+ atakosa genuine 25 kuunda jipya.Umeelewa nini niliandika, nimesema kipindi anaingia , kwa sasa hatawezaje vunja Bunge,
Lakini pia akivunja baraza Mawaziri bora anawatoa wapi CHINI ya bunge hili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kati ya watu 200+ atakosa genuine 25 kuunda jipya.Umeelewa nini niliandika, nimesema kipindi anaingia , kwa sasa hatawezaje vunja Bunge,
Lakini pia akivunja baraza Mawaziri bora anawatoa wapi CHINI ya bunge hili
Anatikisq au anapiga porojo?Ngoja tuone
Ninachojua J J Mnyika anatikisa huko Kusini
Nafikili kwanza atumie zile nafsi kumi ambazo anamamlaka nazo kuteua Watu makini ubunge then uwaziri kwenye Wizara nyeti,kati ya watu 200+ atakosa genuine 25 kuunda jipya.
sana sana awazamishe tu huyu,Kaka mwigulu tuvushe
Mjambiani mpuuziBinafsi sitegemei kuona lolote la maana kutoka kwa huyu mama yetu..
Lisemwalo lipo, au kama halipo linakuja😁Wote ni mabro na masis halivunjiki
Wewe jiaminishe hivyo hivyo tu😁Hawezi kuvunja baraza
Rais akitaka kuvunja baraza la mawaziri anaitisha mkutano? 😂😂😂😂😂😂😂Wewe jiaminishe hivyo hivyo tu😁
Tuonane hapa JF, leo baada ya saa 2 usiku, itakapokuwa imetolewa taarifa rasmi, ya nini kilichojiri kwenye kikao hicho cha Baraza la mawaziri😄Rais akitaka kuvunja baraza la mawaziri anaitisha mkutano? 😂😂😂😂😂😂😂
kwa tz ipo hivyo ili asipigiwe kura ya no confidenceRais akitaka kuvunja baraza la mawaziri anaitisha mkutano? 😂😂😂😂😂😂😂
Mie nipo katika subira.Toa Mwigulu Nchemba tupa kule.
Toa Nape Nnauye mpeleke Mtamba Swala akawe Mheshimiwa Mtendaji wa Kata.
Toa January Makamba, peleka kwa Civilian Coin a.k.a deogratius Nalimi akawe Garden boy
Hata hivyo hana options nyingi. Wengi waliomo Bungeni hawana sifa za kuwa mawaziri..... Kwa hiyo akitoa makapi anaweza makapi mengine.Hana uwezo wa kuvunja Baraza la Mawaziri kwasababu Mawaziri wengi ni Team Msoga.
Team Msoga ndio ilimsaidia sana kufika alipofika.
Hana mizizi iliyochimbia huku Tanganyika
Mwisho ni Mama,sifa kubwa za WaMama ni huruma,kulea,kubembeleza na kudekeza.
Umeisomaee..ahahahah enzi za akina Gray Pombea, Kazunguruzi n.kDaaaaah zamanii saanaaa hii miamba aisee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Watu wa magufuli wepi? Si aliwatoa wote kina lukuvi kabudi kalemani polepole bashiru ndugai etc akaweka wakwake kina mikamba, michemba, bashi, nepi na yule mtoto wa bulicheka wa msoga? Sasa nini tena?? HahahahHakutakiwa endelea na watu wa Magufuli
Mkuu hawa watangazaji wakongwe sana wako wapi siku hizi🤣🤣🤣🤣
Yako wapi sasa utabiri wako?Tuonane hapa JF, leo baada ya saa 2 usiku, itakapokuwa imetolewa taarifa rasmi, ya nini kilichojiri kwenye kikao hicho cha Baraza la mawaziri[emoji1]